Tanzania iliwaza vyema, umeme mkubwa uliopita sokoni umeua watu 26 Kongo

Zipo njia kubwa na ndogo
Bagamoyo road pande zote mbili kuna njia kubwa za umeme.... HIGH VOLTAGE NI ILE SASA..... Achana na ule unaoenda Zanzibar hapana.... angalia umeme uliopo pembezoni mwa barabara zile nyaya 6 za juu kabisa... SASA NJOO TEGETA NA BUNJU UNIAMBIE KAMA UKIKATIKA WAYA WATSKUFA WATU WANGAPI?Anzia tu tegeta nenda boko malizia na pale bunju B..... HAPO SASA NJOO USEME NINI KITATOKEA.
 
unama
Nenda Mbagala Zakhiem na kituo kipya cha daladala kipo ukiachilia mbali soko. Kwahiyo wewe kazi yako kusifu usilolijua!
Unamaanisha kituo cha daladala kipo chini ya Grid ya TAIFA (high Voltage?)? kama sio unafiki weka ushahidi hapa wa picha
Kwa wale waliosomea Physikia wanaelewa kuwa madhara ya grid (umeme mkubwa) sio lazima waya ukatike. Hata kutumia muda mwingi chini ya zile nyaya sio salama...japo ni somo refu
 
Masoko ya Tanzania wapate somo kwa tukio hilo , hasa karume, boma, Mabibo , temeke nk
 
Mtoa mada huenda hujafanya uchuguzi kabla,ukisema shughuli za binadamu unajua mipaka yake?? Anyway nguzo za umeme(high volteg) kuna mda zinakross barabara kuu chukuli basi la abilia 50 likiguswa na waya kama sokoni huko kongo ilivotokea kudondokewa waya itakuwaje?? Hatuombi itokee ingawa ndo ivo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…