Tanzania imeanza vizuri katika mashindano ya wabunge

Jumanne Mwita

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2014
Posts
530
Reaction score
1,446
Tanzania imeanza vizuri katika mashindano ya wabunge yanayoendelea Bujumbura nchini Burundi baada ya kung`ara katika mchezo wa Volleyball.

Kwenye mchezo wa Volleyball, wabunge wa Tanzania wamewashinda watani wao wa jadi kutoka Uganda seti 3–1 upande wa wavulana na wasichana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…