Jumanne Mwita
JF-Expert Member
- Nov 18, 2014
- 530
- 1,446
Tanzania imeanza vizuri katika mashindano ya wabunge yanayoendelea Bujumbura nchini Burundi baada ya kung`ara katika mchezo wa Volleyball.
Kwenye mchezo wa Volleyball, wabunge wa Tanzania wamewashinda watani wao wa jadi kutoka Uganda seti 3–1 upande wa wavulana na wasichana.
Kwenye mchezo wa Volleyball, wabunge wa Tanzania wamewashinda watani wao wa jadi kutoka Uganda seti 3–1 upande wa wavulana na wasichana.