Tanzania imefunguka, amani ipo ya kutosha

Tanzania imefunguka, amani ipo ya kutosha

Nyabukika

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2022
Posts
1,440
Reaction score
1,046
Waswahili wanasema mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni kiukweli Rais Samia Suluhu amefanikiwa kuifungua nchi sasa Tanzania kuna amani ya kutosha ukilinganisha na miaka 5 iliyopita polisi alikuwa hawezi kusogeleana na vyama vya upinzani lakini sasa amani imetawala polisi ni rafiki wa vyama vyote pia anafanya kazi yake ya kulinda raia na mali zao kiukweli kwa hili Mama ameupiga mwingi.

Nikikumbuka zamani tungelikua na kesi zaidi ya 5 kuhusu watu wasiojulikana au mabomu ya machozi, risasi nk; lakini toka mikutano ianze siasa imekua ya amani na adabu ya kutosha hawatumii tena maneno yasiyofaa majukwaani Rais Samia Suluhu ameifungua Tanzania kisiasa sasa wanasiasa wanafanya siasa safi.

1677581219666.png
 
Chadema wanakuwa too comfortable kama mwanamke aliewekwa ndani bila ndoa. Watarudi hapa 2025 kulalamika.
 
Huyu mtoa post anakula na kulala kwao ndio mana kachagua kazi ya kujitoa akili kusifia pasiposifika.

Kawa chawa
 
Waswahili wanasema mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni kiukweli Rais Samia Suluhu amefanikiwa kuifungua nchi sasa Tanzania kuna amani ya kutosha ukilinganisha na miaka 5 iliyopita polisi alikuwa hawezi kusogeleana na vyama vya upinzani lakini sasa amani imetawala polisi ni rafiki wa vyama vyote pia anafanya kazi yake ya kulinda raia na mali zao kiukweli kwa hili Mama ameupiga mwingi.

Nikikumbuka zamani tungelikua na kesi zaidi ya 5 kuhusu watu wasiojulikana au mabomu ya machozi, risasi nk; lakini toka mikutano ianze siasa imekua ya amani na adabu ya kutosha hawatumii tena maneno yasiyofaa majukwaani Rais Samia Suluhu ameifungua Tanzania kisiasa sasa wanasiasa wanafanya siasa safi.


View attachment 2532575
Mh naomb wazee wa legacy mje mtoe ufafanuz ni lini nchi ilifungwa na haikua na aman kwa wapinzani!
 
Back
Top Bottom