Haijalishi. Tz imefuzu.Uganda,tayari walishafuzu so imefanyika plan ili Tz waende kutoa gundu ila naamini Uganda wangekuwa na point 5 ,Tz tusingevuzu.
Vijana msidanganyike Uganda wamecheza chini ya kiwangu coz hawakuwa na cha kupoteza.
Wangefungwa wangeenda na wangeshinda wangeenda.
Katika kundi lao hakuna timu ambayo ingeweza kufikia point 13.
Ukitaka kujua kuna mipango subiri mashindano yaanze utaelewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uganda,tayari walishafuzu so imefanyika plan ili Tz waende kutoa gundu ila naamini Uganda wangekuwa na point 5 ,Tz tusingevuzu.
Vijana msidanganyike Uganda wamecheza chini ya kiwangu coz hawakuwa na cha kupoteza.
Wangefungwa wangeenda na wangeshinda wangeenda.
Katika kundi lao hakuna timu ambayo ingeweza kufikia point 13.
Ukitaka kujua kuna mipango subiri mashindano yaanze utaelewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
hii mechi ya leo ingekuwa ya kutimiza ratiba tu kama tungemfunga lesotho, tatizo AMUNIKE na watu wake wa kubeti wanapanga beki tupu mechi ambayo tunahitaji ushindi, tena anajibu kabisa mimi naangalia nidhamu ushindi baadae huyu kocha wa kufukuzaUganda,tayari walishafuzu so imefanyika plan ili Tz waende kutoa gundu ila naamini Uganda wangekuwa na point 5 ,Tz tusingevuzu.
Vijana msidanganyike Uganda wamecheza chini ya kiwangu coz hawakuwa na cha kupoteza.
Wangefungwa wangeenda na wangeshinda wangeenda.
Katika kundi lao hakuna timu ambayo ingeweza kufikia point 13.
Ukitaka kujua kuna mipango subiri mashindano yaanze utaelewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Timu nyingi zilizopita ni za kawaida na Stars ina wachezaji wazuri na wanaocheza Timu zinazofanya vizuri hapa au nje ya Nchi ingekua hatujawahi kuangalia hayo mashindano mngetudanganya sana...
Uwe mzalendo kwa taifa lako. Hata kama si nchi.. basi kwa timi yako ya taifa..Uganda,tayari walishafuzu so imefanyika plan ili Tz waende kutoa gundu ila naamini Uganda wangekuwa na point 5 ,Tz tusingevuzu.
Vijana msidanganyike Uganda wamecheza chini ya kiwangu coz hawakuwa na cha kupoteza.
Wangefungwa wangeenda na wangeshinda wangeenda.
Katika kundi lao hakuna timu ambayo ingeweza kufikia point 13.
Ukitaka kujua kuna mipango subiri mashindano yaanze utaelewa.
Sent using Jamii Forums mobile app