IKIRIRI
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 2,734
- 3,023
Uganda,tayari walishafuzu so imefanyika plan ili Tz waende kutoa gundu ila naamini Uganda wangekuwa na point 5 ,Tz tusingevuzu.
Vijana msidanganyike Uganda wamecheza chini ya kiwangu coz hawakuwa na cha kupoteza.
Wangefungwa wangeenda na wangeshinda wangeenda.
Katika kundi lao hakuna timu ambayo ingeweza kufikia point 13.
Ukitaka kujua kuna mipango subiri mashindano yaanze utaelewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vijana msidanganyike Uganda wamecheza chini ya kiwangu coz hawakuwa na cha kupoteza.
Wangefungwa wangeenda na wangeshinda wangeenda.
Katika kundi lao hakuna timu ambayo ingeweza kufikia point 13.
Ukitaka kujua kuna mipango subiri mashindano yaanze utaelewa.
Sent using Jamii Forums mobile app