GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Wakati fulani mtu fulani alihoji humu sababu ya Kenya na Uganda kuwa na raia wengi walio ughaibuni na baadhi ya wadau wakadai ni kwa sababu nchi zao hazina fursa kama Tanzania.
Kuna taarifa inayoonesha kuwa Kenya, Uganda, na Rwanda zina raia wake wengi wanaosoma vyuo vya nje kuzidi Tanzania. Tanzania inashika nafasi ya kumi barani Afrika huku nafasi ya kwanza hadi ya tatu zikishikiliwa na:
1. Nigeria
2. Ghana
3. Kenya
Kwa nini hivyo?
Kuna taarifa inayoonesha kuwa Kenya, Uganda, na Rwanda zina raia wake wengi wanaosoma vyuo vya nje kuzidi Tanzania. Tanzania inashika nafasi ya kumi barani Afrika huku nafasi ya kwanza hadi ya tatu zikishikiliwa na:
1. Nigeria
2. Ghana
3. Kenya
Kwa nini hivyo?