Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 1,278
- 797
Tanzania imekuwa na Gharama nafuu za kuunganisha Umeme kwa wananchi kupitia mwongozo wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na Mamlaka ya Udhibiti Huduma za Nishati na Maji (EWURA) ambapo gharama hizo hutofautiana kulingana na hali ya eneo.
Gharama ya kuunganisha umeme ni shilingi 320,960 kwa maeneo ya mijini huku kwa maeneo ya vijiji gharama ya kuunganisha umeme ni shilingi 27,000.
Pakua Samia App kupitia Play Store au App Store.
#samiaapp
#kaziiendelee
#tumejipatanamama
Gharama ya kuunganisha umeme ni shilingi 320,960 kwa maeneo ya mijini huku kwa maeneo ya vijiji gharama ya kuunganisha umeme ni shilingi 27,000.
Pakua Samia App kupitia Play Store au App Store.
#samiaapp
#kaziiendelee
#tumejipatanamama