Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
[emoji599] Tanzania imepaa hadi namba saba !
Taifa lipo mikono salama kisoka
Baada ya klabu ya Yanga kufuzu robo fainali CAF Confederations cup, Nchi ya Tanzania imeongeza point 7.5 na kuwa na jumla ya point 46.5 kwenye CAF association ranking.
Poit hizo 46.5 zimetengenezwa na vilabu vitatu vya Tanzania kama ifuatavyo ;
[emoji2405] 10 = Young Africans
[emoji2405] 35 = Simba
[emoji2405] 1.5 = Namungo
Ndani ya msimu mmoja Yanga imekusanya points (10) Yaani.
2.5 = Kufuzu makundi
7.5 = Robo fainali
Kutokana na points hizo kwa sasa Tanzania tunashika nafasi ya (7) Afrika.
1. [emoji1173] Morocco
2. [emoji1093] Egypt
3. [emoji1026] Algeria
4. [emoji1221] South Africa
5. [emoji1249] Tunisia
6. [emoji1078] Dr Congo
7. [emoji1241] Tanzania
NB: Kwenye viwango vipya vya vilabu Afrika Yanga atasogea hadi kwenye top 18... Na atasogea tena iwapo atafuzu nusu fainali.
Source: Shafii daudah, (2022)
[emoji119]
Credit: Asanteni Simba & yanga
Taifa lipo mikono salama kisoka
Baada ya klabu ya Yanga kufuzu robo fainali CAF Confederations cup, Nchi ya Tanzania imeongeza point 7.5 na kuwa na jumla ya point 46.5 kwenye CAF association ranking.
Poit hizo 46.5 zimetengenezwa na vilabu vitatu vya Tanzania kama ifuatavyo ;
[emoji2405] 10 = Young Africans
[emoji2405] 35 = Simba
[emoji2405] 1.5 = Namungo
Ndani ya msimu mmoja Yanga imekusanya points (10) Yaani.
2.5 = Kufuzu makundi
7.5 = Robo fainali
Kutokana na points hizo kwa sasa Tanzania tunashika nafasi ya (7) Afrika.
1. [emoji1173] Morocco
2. [emoji1093] Egypt
3. [emoji1026] Algeria
4. [emoji1221] South Africa
5. [emoji1249] Tunisia
6. [emoji1078] Dr Congo
7. [emoji1241] Tanzania
NB: Kwenye viwango vipya vya vilabu Afrika Yanga atasogea hadi kwenye top 18... Na atasogea tena iwapo atafuzu nusu fainali.
Source: Shafii daudah, (2022)
[emoji119]
Credit: Asanteni Simba & yanga