Tanzania imepaa hadi namba saba viwango CAF!

Tanzania imepaa hadi namba saba viwango CAF!

[emoji599] Tanzania imepaa hadi namba saba !

Taifa lipo mikono salama kisoka

Baada ya klabu ya Yanga kufuzu robo fainali CAF Confederations cup, Nchi ya Tanzania imeongeza point 7.5 na kuwa na jumla ya point 46.5 kwenye CAF association ranking.

Poit hizo 46.5 zimetengenezwa na vilabu vitatu vya Tanzania kama ifuatavyo ;

[emoji2405] 10 = Young Africans
[emoji2405] 35 = Simba
[emoji2405] 1.5 = Namungo

Ndani ya msimu mmoja Yanga imekusanya points (10) Yaani.

2.5 = Kufuzu makundi
7.5 = Robo fainali

Kutokana na points hizo kwa sasa Tanzania tunashika nafasi ya (7) Afrika.

1. [emoji1173] Morocco
2. [emoji1093] Egypt
3. [emoji1026] Algeria
4. [emoji1221] South Africa
5. [emoji1249] Tunisia
6. [emoji1078] Dr Congo
7. [emoji1241] Tanzania

NB: Kwenye viwango vipya vya vilabu Afrika Yanga atasogea hadi kwenye top 18... Na atasogea tena iwapo atafuzu nusu fainali.

Source: Shafii daudah, (2022)

[emoji119]

Credit: Asanteni Simba & yanga
View attachment 2558994
Safi.Sasa,hebu weka ranks kwa kila timu.Kuna kauchawi fulani nataka nione.🤔🤔🤔🤔
 
Yanga buana, sasa si ungefungua uzi wa Yanga tu.. Sema tangu Manji aache kutoa viingilio vya bure uwanja wa taifa unapanda hadhi.
 
Uzi unaanza anajaribu kuaminisha watu kuwa Yanga ndo ime-secure nafasi ya kupeleka timu nne kimataifa. Ukweli ni kwamba, nafasi ya timu nne kimataifa imeletwa na mnyama na ikawa maintained na mnyama na hata wao iliwabeba wakapasuka nje ndani dhidi ya Rivers united.

Pili, anajaribu kuaminisha watu kuwa utopolo kufuzu robo fainali ya kombe la mbuzi kumeihakikishia nchi kupeleka timu 4 kimataifa, ukweli ni kwamba wao hata wasingefuzu kabisa group stage bado nafasi ya timu 4 ingeendelea kuwepo, sababu nchi inayotufuatia ipo chini sana ki-point hivyo hawawezi kutufikia anytine soon.

Tatu, anajaribu kui-over credit Yanga wakati namba zinamkataa, hapo kwenye list yake ya timu tatu zilizo changia points ameanza na utopolo yenye point 10 na kufuatia na simba mwenye point 35, kama sio uwendawazinu ni nini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan utopoloo wana chachawa had bas, khaaaaah.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hili jukwaa linataka vichwa vigumu, ukiwa soft sharti utembee na panadol mfukoni.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweliii
 
Data zimemkaba mleta uzi japo anajitaidi kurusha mateke na mikono kujinasua lakn hawapi
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Nawaza, ingekuwa vipi levels alizonazo Mnyama currently, zingefikiwa na utopwinyo!!?
Wangeshiriki vikao vyote vya bunge, milo yote wangekula magogoni, hovyo kabisa hili litimu
 
Back
Top Bottom