Tanzania imepaa hadi namba saba viwango CAF!

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimecheka sana namna ambavyo mtoa mada anajaribu kuukwepa ukweli ila bado ume muandama kama kivuli..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu fafanua.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu fafanua.
Uzi unaanza anajaribu kuaminisha watu kuwa Yanga ndo ime-secure nafasi ya kupeleka timu nne kimataifa. Ukweli ni kwamba, nafasi ya timu nne kimataifa imeletwa na mnyama na ikawa maintained na mnyama na hata wao iliwabeba wakapasuka nje ndani dhidi ya Rivers united.

Pili, anajaribu kuaminisha watu kuwa utopolo kufuzu robo fainali ya kombe la mbuzi kumeihakikishia nchi kupeleka timu 4 kimataifa, ukweli ni kwamba wao hata wasingefuzu kabisa group stage bado nafasi ya timu 4 ingeendelea kuwepo, sababu nchi inayotufuatia ipo chini sana ki-point hivyo hawawezi kutufikia anytine soon.

Tatu, anajaribu kui-over credit Yanga wakati namba zinamkataa, hapo kwenye list yake ya timu tatu zilizo changia points ameanza na utopolo yenye point 10 na kufuatia na simba mwenye point 35, kama sio uwendawazinu ni nini.
 
Milango ya Yanga anaifungua Nabi na Mayele. Hatuhitaji milango ya Simba. Na April pale Lupaso tutawaua Tena Makolo this time ni Mzize na Mayele.
Kongolee Simba tunaendelea kuwafungulia milango
 
Uongo uongo ....timu zote zmechangia
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hili jukwaa linataka vichwa vigumu, ukiwa soft sharti utembee na panadol mfukoni.
Hataree[emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…