Tanzania imepiga hatua kwenye kupungua njaa na utapia mlo, ila bado kuifikia Kenya

Tanzania imepiga hatua kwenye kupungua njaa na utapia mlo, ila bado kuifikia Kenya

Hunger does not need a mere survey to be revealed, kuna msemo wa kiswahili unasema "adui yako muombee njaa" means adui yako mkuu mbele ya njaa ni lazima awe rafiki yako tu as long as una chakula.

You can't put Tanzania on the same lane with Kenya in food security, nyie serikali yenu hutoa ruzuku kwa viwanda vya unga ili muuziwe unga kwa bei rahisi sasa kuna Taifa imara kweli ambalo linatoa subsides kwenye chakula kwa wananchi wake?

Every year mnapokea misaada ya chakula kutoka mataifa mbali mbali, Tanzania among your greatest food donors (we sell 50% of all foods you are consuming at the very lowest price) that's donating.

Tanzania wakulima wanalalamika kulima mahindi lakini bei ndogo sana, this season gunia la mahindi liliuzwa kwa KES 435, how this is possible in Kenya?
Tukubali uhalisia wa mambo, dawa ata ikiwa chungu inabidi kumeza ili maumivu yatokomee mkuu! Hili la njaa sio la kuchekana
 
Buku saba wa Lumumba wakishiba ubwabwa Dar wanabweteka bila kujua nchi ina njaa.
Mbeya tanzania ni mkoa wenye changamoto ya utapia mlo but kila chakula kipo,Tz kikubwa kinachochangia ni Education/attitude of some people towards some food ex.kuna mikoa ukila unga wa dona(unshelled maize flour) unaonekana maskini but ndiyo unga wenye nutrients nyingi,Bukoba wao chakula=ndizi.
 
Mechi tarehe 7 mkuu, inaonyesha hata hukuisoma taarifa ile 🙂
Tukubali uhalisia wa mambo, dawa ata ikiwa chungu inabidi kumeza ili maumivu yatokomee mkuu! Hili la njaa sio la kuchekana
Huku ni Ruvuma, hilo ni shamba la mtanzania mmoja tu analima shayiri, mahindi, ngano mkifika hii stage nishtue.

20190310_044854png.png
20190310_044753png.png
kilimojoint+InstantSave841ac.jpg
 
Huku ni Ruvuma, hilo ni shamba la mtanzania mmoja tu analima shayiri, mahindi, ngano mkifika hii stage nishtue.

View attachment 1042060View attachment 1042061View attachment 1042062
Brother large scale farming sio kitu kigeni ata upande huu does that mean the farmer feeds the whole tz? NO stop burying your head in the sand wakati kunachomeka! Fanya juhudi wajibisha Serikali yako tuangamize njaa, ukosefu wa elimu, afya na miundo mbinu bora! Tukifanikisha haya, EAC will rule!!!
 
Back
Top Bottom