Tanzania imepokea bilioni 67.82 kutoka Serikali ya Ujerumani kupitia Benki yake ya Maendeleo ya KfW

hujajibu swali, je siku hizi mabeberu hawasupport tena ushoga hadi mnakubali pesa zao? Umesahau kuwa magufuli alisema sisi ni dona kantre?
Mwehu hawezi kuwa reference,afu lini aliwahi kataa msaada?
 
kwani kuna ulazima gani wa kuzielekeza huko waliko kukusudia,kwanini tusizielekeze kwenye miradi ya kimkakati ambayo itatusaidia mbeleni kuliko wao wanavyotaka.mfano mwendazake alikua anadiverge pesa za misaada katika miradi mingine ambayo ni pamoja na upanuzi wa mabandari,ujenzi wa vituo vya afya,hospitali za kikanda,kuboresha mashule n.k
 
Umeona tatizo ni mazao hayazalishwi au soko?
Soko limekosekana wapi, au hujui kuuza?

Na kama unajua kuuza, hayo mazao yako wapi?

Huwezi kusema kwa sasa kwamba Tanzania kunazalishwa mazao yanayokosa soko. Kukosa soko ni kutojua kuuza tu, basi!

Nimekujibu kifupi kama ulivyouliza swali kifupi na kimafumbo. Natumaini unao uelewa wa kutosha kupata picha kamili toka kwenye jibu hilo fupi.
 
Hivi hiyo bln 67.82 ikigawanywa kwa watu mln 50,kila mtu atapata bei gani?
Mi naona mara moja moja serikali infetufanyia suprise igawie kila mtanzania,chake aitumie ajuavyo..kama mm nkipata ntaipigia mtungi
Poa tu ni mimi
Mshana Jr

Ova
Kila mtu atapata buku tu
 
Mnghh!! Kasi kama kasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…