Tanzania imetoa vyeti vya uraia kwa wakimbizi wa Burundi zaidi ya laki moja

Kamyamya

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2012
Posts
560
Reaction score
572
Juzi jioni akiwa Tabora katika matukio muhimu kitaifa,rais alitoa tamko la kihistoria la kuwapa uraia wakimbizi 162000.


Chanzo: Michuzi
 
Tar.14,10,2014 Mh.rais ametoa tamko la kihistoria la kuwapa uraia wakimbizi 162000.waliotoka burundi tangu 1972.....!!??
 
Tar.14,10,2014 Mh.rais ametoa tamko la kihistoria la kuwapa uraia wakimbizi 162000.waliotoka burundi tangu 1972.....!!??

Kuna pros and con's,faida na hasara,tunaweza kuwatumia kama agents wetu katika nchi walizotoka kwa maana ya kupandikiza utawala tunaoutaka katika nchi zao,au wao wakawa mapandikizi kwetu kwa kufanya intelligence
 
Jamvini, huu uraia unaotolewa kwa kundi kuuuuubwa la watu una dhamira gani kama si kuandaa wapiga kura kwa ajili kupitisha katiba ya 666 pamoja na uchaguzi ujao? Ni mbinu ya "chama" maana kinajua kimeshapoteza imani yetu. Kinajua katiba yao tutaikataa. Na pia hofu ya uchaguzi 2015.
 
Nchi ya kwanza duniani kutoa uraia kwa watu wengi kwa mara moja. Tz noma sana yani watu 162,000 toka Burundi wamepewa tuu uraia, hivi wamelipia bei gani kwanza?


BBC
 

Lazima wafanyiwe management nzuri,hawa wanyarwanda na warundi huwa hawasahau kwao na ni mabingwa was hujuma. Angalia kagame,kaishi Tanzania,kawa mkuu mkuu wa intelligence wa la Uganda lakini hatimaye karudi kwao!!!!!,baadhi waliishi Kongo tangu miaka ya hamsini,hawakuridhika,wakataka kuunda taifa jingine ndani ya Kongo,cha kufanya ni kuhakikisha hawakai eneo moja kama sasa, wasambazwe sehemu mbalimbali,hats kama kuna taifa linataka kuwatumia kwa hujuma mbalimbali zikiwamo za kijeshi lishindwe,wasikae mpakani karibu na nchi zao za asili kwa wingi mkubwa,na tatu TISS iwatumie baadhi kama maajenti na iwapeleke huko walikotoka,
 
Wale "Wasomali" wa kule Handeni walikuwa wangapi? Kama hii ni mara yenu ya kwanza kuona/kusikia kundi kubwa la wakimbizi wakipewa uraia basi bado Watanzania tuna safari ndefu ya kujifunza kufuatilia yanayotokea nchini.
 
....Nashangaa hawa watu wapwani wasiojua tabia ya hawa jamaa,hakika mmeliwa,warundi, wanyarwanda sio watu wa mchezo,mjiandae na uhalifu wa bunduki........inakuwaje unasema unawapa uraia watu ambao unasema walikuwa wanakaa hapa tanzania kwa miaka 42!....Nashangaa sana nchi hii ardhi hatuna,rasimalin ni ndongo lakini mnawazoa tu wapakistan,waarabu,wapalestine,kongo,kenya,rwanda,burundi......shauri lenu........maana ni ujinga tu,au kujipendekeza kwa wafadhili au mmeoa huko sasa mnahalalisha ili isionekane mmeoa TX,huko ofisi kuu kuna kasuku!
 
binadamu wote ni sawa na Afrika ni moja. Mwafrika ana haki ya kuishi popote pale atakapoona panamfaa ndani ya Afrika, wabaguzi pekee ndo wanalilia na kutukuza vimipaka hivi vilivyowekwa na wakoloni
 
Bora wapewe Tu watu tokea mwaka 72 enzi za mwalimu wapo nchini wameshakuwa wanyamwezi hao.
 

Du nchi ya Tanzania ardhi hakuna, wewe utakuwa mgeni wa Tanzania.
 
This is a good gesture, Kenya should also do the same for the Makonde community from Mozambique who have been hereb for 60 years now. Somehow though the Mozambique government still want them back and may be this is what is causing the delay.
 
ktk dunia hii ya ubapari hakuna zaidi ya haki ya uraia.....maana yake ni kuwa Rais ameingiza vibaka kibao katka umaskini huu.....sijuin itakuwaje huko lakini hawa watu sasa wanaingia ktk jamii hii kufanya vurugu....kwani hamkumbuki mauji ya mbwa polisi na polisi binadamu kule mbezi si tuliambiwa ni warundi?........hatutaki wageni njaa hao
 
This is a good gesture, Kenya should also do the same for the Makonde community from Mozambique who have been hereb for 60 years now. Somehow though the Mozambique government still want them back and may be this is what is causing the delay.

And some somali and eritrea people residing at kenya for a long time
 
Wakimbizi hawa walikuwa Kambi gani?maana mtoa habari amerudia tu kuwa Rais ametoa vyeti vya uraia bila kutaja kambi ipi. Kuna Kambi hapo Tabora na hata Katavi. Kama ambavyo wengi wametia shaka ni kweli kwamba Warundi ni waovu. Nenda Kigoma kutokea Tabora, wamezagaa na ndiyo wanaofanya ujambazi kote huko. Huo ni
 
Kwa jicho langu la tatu naona muheshiwa ameongeza idadi ya majambazi wanaotumia silaha nchini kwetu, hawa hawa ndio watekaji wa mabasi ya abiria.
 
Mshirika wa muungano Zanzibar sidhani kama wanashuriwa juu ya suala muhimu kama hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…