kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Walikuwepo ila hawaonyeshi wazi kwani raisi ni wa wote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo unapingana na ule usemi wa wenye akili Yanga ni wawili tu?
mkapa yanga,samia ni simbaTanzania imewahi kuwa na Rais shabiki wa Simba?
Nyerere - Yanga
Mwinyi - Yanga (hata kwenye mazishi wajukuu zake waliweka wazi)
Mkapa - ????
Kikwete - Yanga
Magufuli - Yanga (kuna siku alifurahi sana kuona Simba kafungwa, aliwapiga Simba kijembe "Kagera sugar wametoboa tundu la Simba" huku anacheka kiyanga anga
Samia - Yanga huyu, aliwaalika ikulu kwa kufika fainali kombe shirikisho, aliwapa ndege bure kwenda na kurudi, kununulia mashabiki tiket, nk. sherehe za uhuru wa Malawi alipendekeza Yanga waende nae huko japo kikosi kilijaa yanga toto
Eti hawezi kuwa Rais! Hao Marais Huwa unaamua wewe nani awe na nani asiwe!?
Huyu ni Sunderland yaan Simba, na alishawahi kulisema hilo mbele ya pressKikwete - Yanga
Mkuu Kuanzia kwa..Sir Edward Twinning-Sunderland (Simba)
Bwana mdogo Uto iliwahi kukodiwa na Manji enzi za rais Kikwete.Timu ambayo hawajui klabu yao imeuzwa au imekopeshwa hawezi kutoa watu makini.
Wanashangaa tuu mtu anasema ametumia 51bn kununua club na hakuna taarifa kwa wanachama wa club.
Namheshimu sana Rage kwa kuwapa jina lenu lileKwa hiyo unapingana na ule usemi wa wenye akili Yanga ni wawili tu?
Mheshimu Haji tafadhali [emoji23]
Siyo Mashabiki wa Yanga, ni walezi wa timu zote ila timu yoyote ikifanya vizuri anajumuika nayo. Samia alikwenda kufunga Wiki ya SimbaTanzania imewahi kuwa na Rais shabiki wa Simba?
Nyerere - Yanga
Mwinyi - Yanga (hata kwenye mazishi wajukuu zake waliweka wazi)
Mkapa - ????
Kikwete - Yanga
Magufuli - Yanga (kuna siku alifurahi sana kuona Simba kafungwa, aliwapiga Simba kijembe "Kagera sugar wametoboa tundu la Simba" huku anacheka kiyanga anga
Samia - Yanga huyu, aliwaalika ikulu kwa kufika fainali kombe shirikisho, aliwapa ndege bure kwenda na kurudi, kununulia mashabiki tiket, nk. sherehe za uhuru wa Malawi alipendekeza Yanga waende nae huko japo kikosi kilijaa yanga toto
Hv kweli kwa kariba ya mtu kama magu unahisi alikuwa fan wa mpira kweli??huwezi hata kuangalia vitu simple???Yaani kwa kauli hiyo tu ndio magu alikuwa yanga
Lisu hajawahi kuwa kolo ni mwananchi toka zamaniRaisi ajaye Tundu Antipas Lissu-Simba.[emoji847]
Sir Horace Byatt alikuwa Lunyasi lialia.Sir Edward Twinning-Sunderland (Simba)