valet de chambre JF-Expert Member Joined Mar 12, 2017 Posts 1,044 Reaction score 1,112 Mar 4, 2024 #41 Grand Canyon said: Yanga =Njano na Kijani CCM=Njano na Kijani Do you get the point? Click to expand... Nani alianza, Yanga au CCM? Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Grand Canyon said: Yanga =Njano na Kijani CCM=Njano na Kijani Do you get the point? Click to expand... Nani alianza, Yanga au CCM? Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Sultan MackJoe Khalifa JF-Expert Member Joined Nov 24, 2022 Posts 6,782 Reaction score 14,148 Mar 4, 2024 #42 unajua kwanini inatokea hivyo,sababu kuu Yanga ni mtoto wa Tanu kwa sasa ndio CCM.kwa kifupi Yanga ni CCM pure.Simba ipo neutral. makamanda mashabiki wa Yanga mtajijua.
unajua kwanini inatokea hivyo,sababu kuu Yanga ni mtoto wa Tanu kwa sasa ndio CCM.kwa kifupi Yanga ni CCM pure.Simba ipo neutral. makamanda mashabiki wa Yanga mtajijua.
S stormryder JF-Expert Member Joined Mar 23, 2013 Posts 3,776 Reaction score 5,786 Mar 4, 2024 #43 hah said: Mbowe-Yanga Click to expand... Na Lissu... Alafu wako Chadema πππ
imhotep JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 55,997 Reaction score 88,219 Mar 4, 2024 #44 Yehoshafati said: Lisu hajawahi kuwa kolo ni mwananchi toka zamani Click to expand... Aliwahi kusema anazichukia sana sana Rangi za Kijani na Njano.
Yehoshafati said: Lisu hajawahi kuwa kolo ni mwananchi toka zamani Click to expand... Aliwahi kusema anazichukia sana sana Rangi za Kijani na Njano.