Tanzania imezizima, dunia imetaharuki kwa kuwa Magufuli alifanya yale wanadamu waliyotarajia kama kiongozi. Je, yupo atakayeweza kuvaa viatu vyake?

Miaka mitatu iliyopita nilikutana na mzee mmoja, tukaketi chini akanipa soga.../

Alisema wangapi walikuwepo namba moja, leo wamebaki chini ni vioja... watu wamewasahau
Sio wote tutakao sahauliwa mkuu.Wengine tutakumbukwa kwa yale mazuri au hata mabaya tuliyowafanyia binadamu wenzetu.Wewe utakumbukwa kwa lipi?
 
Ukijikita kwenye propaganda unageuka kuwa mjinga kwa watu wenye uelewa. Wakati wa Nyerere tuliambiwa hatuwezi kupata rais kama Nyerere, leo hii mnatuambia hatuwezi kupata rais kama Magufuli! Hivi mbona mnatuchanganya, au nyie ndio mmechanganyikiwa?
Sijasema hatuwezi kupata mwingine mkuu yupo.Swali ni kwamba je tutampata?Huyu tulishampata.
 
Sina haja ya kukujibu,Watanzania kwa uwingi wao na vitendo vyao wamekujibu.

Yote ulivyo orodheshwa hayana uhalisia wowote, yamechangiwa na chuki na husuda.
 
Sijasema hatuwezi kupata mwingine mkuu yupo.Swali ni kwamba je tutampata?Huyu tulishampata.

Yeye mwenyewe alijigeuza kuwa adui wa kupatikana kiongozi sahihi, kwahiyo hata akipatikana asiye sahihi, yeye ni sehemu ya hilo tatizo.
 
Sina haja ya kukujibu,Watanzania kwa uwingi wao na vitendo vyao wamekujibu.

Yote ulivyo orodheshwa hayana uhalisia wowote, yamechangiwa na chuki na husuda.

Hakuna kitu kibaya kama kukwepa ukweli, na hili sio tatizo lako tu, bali wote wanaomsifia Magufuli hawataki kusikia ukweli halisi kuhusu mapungufu na madhara ya utawala wake, bali wanataka tuimbiwe sifa tu ambazo hazina uwiano na ukweli uliopo.
 
Uzuri wa sisi wananchi hua tunachambua chenga na mchele.
Tunaangalia tu,JPM was a really hero.Mimi sijawahi Ina niseme tu kweli.
Na wengi tumemuunga mkono JPM na si chama baada ya kutushawishi.

Mama Samia suluhu tutampa moyo wetu baada ya kuona akifanya mazuri,hatutoi uaminifu wetu kwa mtu kizembe.

JPM ALITUCHOTA,SI WAKUBWA SI WADOGO,DINI ZOTE,KASKAZKNI KUSINI MASHARIKI MPAKA MAGHARIBI,NJE YA MIPAKA YA TZ,AFRICA NA WAPENDA HAKI NA MAENDELEO DUNIA NZIMA.

HAKIKA JPM WEWE NI GOOD LEADERSHIP NILOISOMA NA KUIIMBA KWENYE MADARASA YANGU YOTE,NA NILIHISI TU NI KWA AJILI YA KUJIBIA MITIHANI KUMBE NI KWELI HUTOKEA GOOD LEADERSHIP NA NCHI IKAJENGEKA.

bado nae delea kuamini TZ Ni TAJIRI NA TUMEONESHWA HASWA
 
Sina haja ya kukujibu,Watanzania kwa uwingi wao na vitendo vyao wamekujibu.

Yote ulivyo orodheshwa hayana uhalisia wowote, yamechangiwa na chuki na husuda.
Ukweli unatabia ya kujitenga na Uongo siku zote,naona wameanza kufunga vihadithi vyao eti oooh madictator hujijengeaga uaminifu kwa wananchi ili wapendwe.Wamesahau maneno yao kua JPM hakubaliki na watu na Sasa wamepigwa na butwaa,wamezoea siasa maji taka na Uongo Uongo mwingi,wakafanye kazi na wao basi na si kutegemea siasa kuendesha maisha yao
 
Ngoja nimwambie kitu
Ukishakufa utapewa kila aina ya sifa
Mfano Ruge kuna watu walikuwa hawamfahamu au kumuona, lakini siku amefariki watu tulijazana barabarani kwasababu vyombo vya habari vilimtangaza sana
Ni hivyo yaani
 
Maisha yanasonga,shughuli zinasonga,ibada zinaendelea na kula watu wanaendelea kula.
 
Hata shetani ana wafwasi wake,sifa nyingi mmezipata kiburi kwisha amani iendelee.
 

Watu wasiojifahamu wana sauti kama wewe!! So unasema kwa kuwa JPM ametutoka basi ndio mwisho wa taifa la Tanzania???

Mnataja Mungu sana lakini ni kwa dhihaka. Sasa inaonekana unajua kuwa hakutakuwa na mtu mwingine!! Una uungu wowote wa kujua waTanzania wote wa sasa na wajao hawatatosha???
 
Zama zaje zimekwisha! Tunaendelea na na wengine!
 
Tupate tena muuaji, mtekaji, mtesaji na mwenye roho mbaya kama magu?
 
Umeniwekea maneno mdomoni mwangu.Taifa Tanzania litaendelea ila inawezekana not in the manner we would like.Ndio maana nimesema tumuombe Mungu Rais ajaye aipende nchi yake
 
Tupate tena muuaji, mtekaji, mtesaji na mwenye roho mbaya kama magu?
Mawazo haya umepandikiziwa akilini mwako,na kwa kuwa na wewe hujiongezi umeyachukulia kwamba ni kweli.Hakuna nchi yeyote duniani ambayo utafanya vitendo vya ku-sabotage nchi halafu ukaangaliwa tu,none.Uhuru una mipaka.

Finally ogopa sana mtu ambaye the West wanampenda,wana maslahi naye na ni saboteur.Angalia quotes za Marehemu Samora Machel👇.They speak all.
 

Attachments

  • IMG-20210320-WA0005.jpg
    48.8 KB · Views: 1
JPM alikuwa ni mpango mzima wa Mungu wa Mbinguni. Ukiona mkalimani anazomewa kwenye mazishi kwa kupotosha katika kutafasiri jua ya jayo yanafurahisha kama kutakosekana umakini kwenye maamuzi ya msingi ya Taifa hili.

Huyu mtu amepanda mbegu ambayo hamna wa kuififisha kirahisi rahisi tu. Si kwa wananchi wa Tanzania bali leo nimegundua kumbe hata kwa watu wengi dunia.

Viongozi Marais waliohudhuria mazishi leo Dodoma utaona hutuba zao zinaonesha wamelazimika kuja maana hata wananchi wao wanamkubaki JPM.

Wanasiasa matapeli na misheni taoni wanaofikria Magufuli kaondoka ndio watapata nafasi za kuzimua dilizi zao wanajidanganya saanaa.
 
Huwezi kunishawishi nimkubali muuaji, sheria na mahakama zipo, kama mtu ametenda kosa mfikishe mahakamani. Hizo propaganda za kizamani kuhusu west zimepitwa na wakati. Nchi zetu hizi bila misaada yao hatuwezi kujiendesha. Ila Mungu ni mkubwa, muuaji naye anakufa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…