Tanzania ina Jeshi la Zimamoto na Uokoaji! Kuna mtu kaliona wakati huu wa mafuriko?

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Mimi ningeteuliwa kuwa kamanda wa kikosi cha zimamoto na uokoaji, jambo la kwanza ningeomba kibali cha kuunda vikosi maalum hata vinne, kwa ajili ya zimamoto na uokoaji wakati nchi inasubiri kuwa na kikosi nchi nzima, Rufiji haupo, Kilosa haupo.

Ndio maana hata kwenye gwaride hamkuwepo leo siku ya Muungano
 
Kwanza kabisa nichukue FURSA hii kumshukuru Mama Samia....
 
Binafsi sijawahi shuhudia msaada wa jeshi hilo kwenye maafa au majanga.

Ingawa ninatambua jeshi hilo lipo hapa nchini
 
Kwan sababu ya mafuriko ni nin hasa kwa hapa dar...
 
Wanmsubiri kijana Majaliwa aliyeokoa abiria wa Precision amalize mafunzo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…