YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Hakuna cha kuunga mkono Palestina wapalestina waturudishie kwanza watoto wetu wawili wakiwa hai wazima wa Afya waliotekwa na wapalestina HamasHivi bado hujui kuwa ile Tanzania yenye viongozi wenye maono na misimamo imara ilizikwa na Nyerere? Leo nimesoma mpaka raia Macron wa France amesema Israel iache kuua watoto wa kipalestina. Mimi nashanga watanzania wajinga wasio na utu bali wanashabikia uuaji huu. Imagine uko nyumbani kwako na watoto wako hujafanya kosa lolote mara paa nyumba inapigwa na bomu na familia yako yote inateketea. Maandamo ya kina Ponda waliyokataza yanaonyesha jinsi tulivyo na serikali ya wababaishaji na waoga.
Hakuna cha kucheka nao au kulia nao kwa sasa Walete watu kwanza waliowateka na wanaowashikilia.Hatuwezi kuangulia kilio msiba wa wapalestina wakati wanashikilia mateka watu wetu
Waambieni wapalestina watupe watu wetu watanzania wenzetu
Sisi tuna uchungu na watu wetu Mollel na Mtenga wanaoshikiliwa na Hamas