Satisfier
Member
- Nov 24, 2016
- 54
- 78
Wadau,
Natumaini hamjambo.
Nina mdogo wangu wa kike nilimpeleka hospitali moja ya wanawake, lakini madaktari wengi niliokuta ni wa kiume.
Picha hii haikuwa ngeni kwangu kwani niliwahi kupeleka mchango wa vifaa vya hospitali k
v. vitanda mimi pamoja na wafanyakaza wenzangu, lakini idara za wanawake madaktari waliotupokea ni wa kiume.
Kwahiyo si ajabu Nchi ina upungufu wa madaktari wa kike ila ni ishu ambayo haijawa noticed.
Maoni yenu tafadhari.
Natumaini hamjambo.
Nina mdogo wangu wa kike nilimpeleka hospitali moja ya wanawake, lakini madaktari wengi niliokuta ni wa kiume.
Picha hii haikuwa ngeni kwangu kwani niliwahi kupeleka mchango wa vifaa vya hospitali k
v. vitanda mimi pamoja na wafanyakaza wenzangu, lakini idara za wanawake madaktari waliotupokea ni wa kiume.
Kwahiyo si ajabu Nchi ina upungufu wa madaktari wa kike ila ni ishu ambayo haijawa noticed.
Maoni yenu tafadhari.