K Kamundu Platinum Member Joined Nov 22, 2006 Posts 7,823 Reaction score 10,857 Dec 5, 2024 #1 Tanzania ni nchi ambayo mtu analeta mashite za kubeti anaitwa mwekezaji wakati kazi yake ni kwenda vijijini kuchukuwa pesa ! Kuna wachina wanamachine za ku bet wanaitwa wawekezaji View: https://youtu.be/fzFNcqqzYrw?si=ac9WcSSGnSjgmLCM
Tanzania ni nchi ambayo mtu analeta mashite za kubeti anaitwa mwekezaji wakati kazi yake ni kwenda vijijini kuchukuwa pesa ! Kuna wachina wanamachine za ku bet wanaitwa wawekezaji View: https://youtu.be/fzFNcqqzYrw?si=ac9WcSSGnSjgmLCM
zerominus10 JF-Expert Member Joined Aug 25, 2022 Posts 8,142 Reaction score 13,721 Dec 5, 2024 #2 Point ya msingi ni ipi mkuu tuwekee wawekezaji wenye tija ni km wapi?
K Kajunjumelle JF-Expert Member Joined Aug 13, 2024 Posts 220 Reaction score 239 Dec 5, 2024 #3 Punguza papara,Mashite ndio kitu gani?