Tanzania inahitaji Rais anayejiamini na mwenye uhakika wa Jambo lake na Maamuzi yake

Nafasi ya uraisi imemuangukia tu hakujiandaa kwa majukumu hayo mazito ya kazi ya lawama. sidhani kama ni sawa kuendelea kumjudge bado ana mengi ya kujifunza. Japokua binafsi naona still she is a weak president.

Very weak indeed, mpaka anatia hasira sana , yani yupo yupo kazubaa utadhan msukule wa kimbiji, yani haeleweki siku hadi siku
 
Acha kashfa! Usiingilie utendaji kazi, ni binadamu na hazuiwi kuteua na kutengua kulingana na taarifa azipatapo!
 

Kazi gani sasa anayoifanya? Mi sijaona bado
 
Shida siyo panga pangua, kateua yeye mwenyewe halafu kabla ya kuapisha mteule anatengua Tena!! Is this right?
 
Give her a break! Also, she has a right to choose her advisors based on own criteria. At the end of the day "the Buck Stops at Her Desk"
You must be an authentic 'Moron' on JF.
 
Unaonekana una hoja muhimu lkn unapayapaya mwisho una haribu. Una ushahidi gani kuwa Mheshimiwa Rais anamtegemea Mzee Kikwete katika maamuzi yake? Una uhakika gani Mheshimiwa hapewi ushauri wa kurosha na wasaidizi wake? Ni mapema sana kuelekeza tuhuma nzito kwa Mheshimiwa Rais. Sisi wengine tunamuamini na tunamuona kuwa yupo kwenye right truck. Kama nawe upo kwenye"... gang ulilolitaja, tulia dozi ikuingie vizuri".
 
Binafsi ana shida na hana Washauri pia.
 
Kwani misimamo yake imetofautiana na mwendazake? Mbona alikuwepo enzi hizo, na alikuwa na team hiyo? Basi nakuja kuamini kile kilichokuwa kinasemwa kuhusu the close relationship ya mzee wa Msoga na Madame.
 
Apunguze sana Uswahili, Uvivu na Soga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…