Tanzania inahitaji Rais anayejiamini na mwenye uhakika wa Jambo lake na Maamuzi yake


Sasa wewe unachotaka ni nini? Kila awamu ni kulalama tu. Wewe unafikiri marais wanatokea mbinguni? Ni malaika? Ni binadamu wenzetu tu. Wanaweza wakawa hodari kwa hili, lkn pia wakawa na udhaifu kwa lile. Tumuache mama apige kazi. Muache atufanyie yale ambayo ataweza kufanya. Tusianze kukomaa na kuangalia mapungufu. Hayo kila mmoja anayo. Kubwa tumuunge mkono na kumshauri pale inapobidi.
 
Nitolee hapa huu Ubongo wako wa Inzi.
 
Kwani misimamo yake imetofautiana na mwendazake? Mbona alikuwepo enzi hizo, na alikuwa na team hiyo? Basi nakuja kuamini kile kilichokuwa kinasemwa kuhusu the close relationship ya mzee wa Msoga na Madame.
Mkuu watu hawajui kuwa madam ni kachili wa Honorable kikwete toka enzi hizo mama mbunge
 
Wewe ni mtoto mdogo sana, haya mambo yamekuzidi umri.
 
Anaetawala Tanzania sasa hivi ni kivuli cha Kayafa pomoja na Mrisho kutoka Msoga!🚶🚶🚶
 
I'm very worried na uwezo wa mama wa kufuatilia mambo, kama wasaidizi wake watakuwa si wazalendo, mama atakuwa anaingizwa chaka several time.
MAMA SHOULD BE PAYING ATTENTION TO THE DETAILS, AKILI ZA KUAMBIWA ACHANGANYE NA ZAKE. JAKAYA NI JANGA LA KITAIFA, ALISABABISHA NCHI HII KUIBWA SANA.
 
Ule usemi wa kutesa kwa zamu ndiyo huu sasa!! waliolia majuzi leo wanacheka, hakuna kusikitika haka ka mchezo huwa hakatakagi hasira ndugu zangu, Mama endelea ku Over-whole Engine yote - hiyo crankshaft inatakiwa kuchongwa size 25 ndiyo tuirudishie...

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…