Tanzania inajifunza nini kufuatia kifo cha Osama - Google Earth/Map


Ndiyo maana mtu mmoja nikaona kwenye hicho kituo cha komedy hapo Tanzania kinachoitwa eti mjengoni au mjengo tukufu wanasema ID zinasaidia nikawajibu ID ni 0.0001% katika ulinzi wa nchi yetu na uraia na utaifa.

Ila Kwa sababu ya akili ndogo kuongoza akili kubwa humo mjengoni watu wakarukaruka na kulala kwenye viti vya kuzunguka na baade wakazinduka na kupiga makofi.

Ila uhalisia wake ni sawa na bure.
 
Osama hajafa.. Period

Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…