Tetesi: Tanzania inalipwa mabilioni ya fedha toka nje ambazo zimefanywa siri na serikali hazina rekodi, tumenunulia ndege, na kujenga SGR na Stiegler nk

Hapa hujanyoosha popote juu ya "upotoshaji" unaodai mleta mada anaufanya. Badala yake unabwabwaja mambo tofauti kabisa!
Hukuweka chochote kinachoonyesha upotoshaji ni upi, na ukweli ni upi. Mmesoma shule za wapi kiasi hata kuelewa mada mnashindwa?

Hivi nyinyi walevi mnatokea wapi?
 
Kweli kabisa..point..
 
Najaribu kujiuliza lakini sipati jibu! hizo fedha nyingi zinazotolewa kwa siri na bila mfumo rasmi wowote was serikali zitalipwa vipi na serikali (tz) zijazo kwa hao wanao zitowa ?

Ina maana watoaji wanatapeliwa!

Kama wanajenga na kufanya miradi mikubwa ya maendeleo ni vizuri na huo ni uzalendo, labda ulitaka iweje ?

Wazifiche hizo fedha ughaibuni !!!

Nchi masikini kama tZ. cha kupambana hapo(helium) ni kupata tuu kodi yetu ya haki kwa hao watao wekeza na kufanya nao mikataba sahihi yenye tija siyo ya akina Mangungu!

Suala nyeti kiasi hicho lataka utulivu , tujifunze toka kwa majirani zetu eg . DRC

Tufanye kazi kwanza biashara kubwa kama hiyo unazoshindana na nchi zilizokwisha endelea kama USA ni .......... wakati sisi hatuna technolog,wataalamu wala wazoefu ni ngumu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya wee! Huu uzi bado upo nilidhani umeshafungwa
 
Mwanzo mlidai JPM alikuwa anakusanya malimbikizo ya kodi za awamu ya tatu, hamkuishia hapo mkaenda kuchongea kwenye taasisi kubwa za fedha ili tunyimwe mikopo nalo halikusaidia miradi inaendelea kuota kama uyoga na hakuna kuishiwa.Mmegundua serikali inaendelea kuanzisha miradi mikubwa kwa pesa zake sasa unaanza ngonjera za Herium. Bavicha mnakaazi by the way mmepata mgombea urais ??? Kisulisuli kinawaangukia kuanzia june
 
Ni napata ukakasi......bring mkeka kuonesha malipo......Mimi ni opposition, some good things I note with great honor and applaud...... What troubles me though ni uhai wa watu wetu na hali zetu!
 
Nasikia kuna Heluin zaidi imegundulika. Bado inaweza isitusaidie
 
Recall:

Tutaongea kila kitu na kukitilia shaka lakini sio suala la uwepo wa gesi ya Helium Tanzania. Hadi sasa waliosimamisha uchimbaji sio Helium One, ni serikali. Na kumbuka taarifa kuhusu uwepo wa hiigesi sio za Helium One
 
Sasa kwa Nini iwe hivyo?
 
Baadhi ya Watanzania shida

Pesa ikiingia kwa siri akauti ya serikali shida ikitumiwa kwa siri shida

Sioni tatizo hela ikiingia akaunti za serikali kwa siri sababu kutoka lazima kuwe.na official signatories na official procedures

Kuingia ziingie tu is not a big deal
 
Hizi ziliingia akaunti ipi ?

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…