Tanzania inampiga Ufaransa kama Ngoma

Hapo unafaidi mpira na uumbaji wa Allah

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ukiwa mbali huwezi kutambua kama wanaume/wanawake wanacheza au lah! Mpira mkubwa sana unachezwa.
.
Ile ni carpet foitball sometimes.
.
Nigeria wamekuwa bora sana kwa kipindi kirefu.
.
Morocco wanakuja juu sana hivi sasa. Brazil wataalamu kwa muda mrefu.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Dah vya brazil vizuri sana nadhani ukienda huwezi kurudi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…