Tanzania inamuhitaji Jaoa De Havelange katika soka, Jamal Malinzi ni chaguo sahihi.

Tanzania inamuhitaji Jaoa De Havelange katika soka, Jamal Malinzi ni chaguo sahihi.

Mpira wa Miguu, pia uitwao Soka au Kandanda ni aina ya mchezo wa mpira ambapo timu mbili za wachezaji kumi na mmoja hushindana kwa kupigania umiliki wa mpira na kuingiza mpira katika wavu wa wapinzani Wachezaji hucheza kwa miguu; pia wanaruhusiwa kutumia sehemu nyingine za mwili ila mikono hairuhusiwi kutumiwa. Mlinda mlango ndiye anayeruhusiwa kutumia mikono. Wachezaji wengine wanaweza kutumia mikono iwapo mpira ni wa kurushwa baada ya kutoka nje ya uwanja.

Naam shirikisho la mpira wa miguu duniani limepitia vipindi vingi na vigumu sana katika ramani ya ulimwengu,

Wale wanaofuasilia kwa karibu siasa za soka duniani hawatoshangaa ninapomtaja Havelange kama kiongozi mashuhurialiyeongoza shirikisho hili la FIFA kwa mda mrefu zaidi duniani,

Kuongoza kwamda mrefu hakukuja kwa hila wala bahati mbaya wala bahati nzuri bali uthabiti wa uongozi wake vilikuwa tu mbele ya wajumbe 2004 wa FIFA wenye dhamana ya kuchagua kiongozi wa chombo hicho dunia,

Jaoa De Havelange alikuwa ni mtu mwenye msimamo katika kazi na hakuendrshwa wala kutetereshwa na yeyote,

Katika kitabu chake kiitwacho 'How the Stole the Game', Havelange anasema kuwa yeye katika utendaji ndani ya fifa hakutetereshwa wala kumhofia yeyote,

Anasema "katika maisha yangu mtu ambae ningepeana miadi na nikamsubiri mahali angalau kwa dakika kumi ni Papa wa Roma na Malkia wa Uingereza tu"

Anasema wengine ilikuwani lazima wafuate sheria na kanuni za fifa na kuheshimu mda na ahadi,

Hivyo ni vibyagizo tu vya wasifu wa Mzee Havelange,

Tukirejea katika siasa za soka la bongo ambalo kimsingi linakua kwa mang'amung'amu ya bahati tu, hakika tunamhitaji mhafidhina wa kweli atakaetuongoza katiks kilele cha ubora wa soka halisi,

Nimetafakari kwa kina sana katika siku hizi chache zilizosalia kuelekea uchaguzi mkuu ndani ya shirikisho letu la mpira wa miguu TFF,

Katika wagombea wa nafasi ya urais yupo Jamal Malinzi na Athuman Nyamlani


Kama taifa linahitaji mageuzi ya kweli katika soka la dunia ya leo basi tuwaambie wajumbe wa wanaohusika na uchaguzi huu kuwa tunahitaji Havelange wa Tanzania,

Tunahitaji mtu ambae anauzoefu wa utawala wa soka, na tunahitaji mtu ambae yupo katika ulimwengu wa dunia ya tatu,

Hatutaki mtu atakaetumia tff kufanikisha biashara zake, hatutaki mtu atakaetumia tff kufanya biashara haramu hasa za madawa ya kulevya,


Jamal Malinzi amekuwa katika anga za soka kwa mda mrefu tena akihudumu katika ngazi ya juu kabisa ya soka nchini kupitia klabu,

Jamali Malinzi tunamjua fika kuwa ni mfanyabiashara halali wa shughuli za usafirishaji na ni mlipa kodi stahiki wa TRA,

Athumani Nyamlani simjui kwaundani katika anga la soka nchini, na sijui uhalali wa pato lake

Lakini ninachochojua nikuwa anaungwa mkono na genge la wezi
a matapeli nchini wakiongozwa na mtoto wa kigogo wa ccm,

Dhamira yao kuu ni kuhakikisha biashara zao za madawa ya kulevya zinaendelra kupitis TFF.


Mimi kutoka moyoni nimuunga mkono ndugu Jamal Malinzi,

Na kwa uwezo wangu, nitatumia njia zangu zote za siasa ya soka kuhakikisha taifa linampata Jamal Malinzi aka Havelange kuokoa soka letu na viana wetu wanaogeuzwa makontena huku soka likididimia kila uchao,
Labda Malinzi ni chagauo sahihi kwako wewe na Yanga... nenda na Twitter kule ukampigie kampeni
 
Yericko nakuheshimu sana humu jukwaan ingekuwa vyema kama ungempigia kampeni malinzi bila kuchafua upande wa pili wa mshindan wake hzo ni tuhuma na kama una uthibitsho weka hapa Jukwaan tu
 
Yericko nakuheshimu sana humu jukwaan ingekuwa vyema kama ungempigia kampeni malinzi bila kuchafua upande wa pili wa mshindan wake hzo ni tuhuma na kama una uthibitsho weka hapa Jukwaan tu
Umesoma mwaka wa Uzi huu ulipotoka au unakurupuka tuu kisa Malinzi sio chaguo lako?

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
 
Ni wakati wa kumuweka Nyamlani. Makosa yalishafanyika na watu wengi walikuwa na imani nae.

Nyamlani ni mzoefu na kipindi kile TFF ya Tenga haikuwa na migogoro.
Ni mara elfu mia ya Malinzi kuliko Nyamlani,Nyamlani tunamfahamu vizuri sana tunasubiri kampeni zianze rasmi tumwage mchele kwenye kuku wengi.

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
 
Ni wakati wa kumuweka Nyamlani. Makosa yalishafanyika na watu wengi walikuwa na imani nae.

Nyamlani ni mzoefu na kipindi kile TFF ya Tenga haikuwa na migogoro.
Naona hii ID yako imeanzishwa juzi 18June2017 na ina post mbili mpaka sasa na zote ni za kumponda Malinzi tuu. Team Nyamlani tunatarajia mtafungua IDs mpya nyingi sana lakini sisi tupo mathubutu sababu hatuna shaka na utendaji wa Malinzi.

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
 
Naona hii ID yako imeanzishwa juzi 18June2017 na ina post mbili mpaka sasa na zote ni za kumponda Malinzi tuu. Team Nyamlani tunatarajia mtafungua IDs mpya nyingi sana lakini sisi tupo mathubutu sababu hatuna shaka na utendaji wa Malinzi.

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Dogo mie sio popoma kama wewe unayelipwa. Naangalia maslahi ya taifa na mchezo wa soka. Inakera kila siku timu ya taifa inafanya vibaya na huyo mjomba wako au ndio wewe Malinzi kil*za amekaa anachofanya akijulikani.
Infact acha kuchunguza ID za watu .Kama nimejiunga jana au juzi ni ya kwangu sio yako.
 
Ni mara elfu mia ya Malinzi kuliko Nyamlani,Nyamlani tunamfahamu vizuri sana tunasubiri kampeni zianze rasmi tumwage mchele kwenye kuku wengi.

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
ukimfahamu,usipomfahamu Mimi hainiusu. Zaidi utahadithia umbea kama shilawadu

Malinzi ni changanyikeni na kabisa bora hata achukue Madega kuliko huyo asiejielewa.Simkubali hata kidogo- hafai hafai -hafai
 
Dogo mie sio popoma kama wewe unayelipwa. Naangalia maslahi ya taifa na mchezo wa soka. Inakera kila siku timu ya taifa inafanya vibaya na huyo mjomba wako au ndio wewe Malinzi kil*za amekaa anachofanya akijulikani.
Infact acha kuchunguza ID za watu .Kama nimejiunga jana au juzi ni ya kwangu sio yako.
Povu lala nini?njaa zitawamaliza vijana au kwakuwa ndio ajira hamma ukaamua kuchukua fursa ya kufungua ID mpya mahsusi kwa kumponda Malinzi na kumsifia huyo anaekulipa. Eti una uchungu na timu ya Taifa inafanya vibaya ulitaka Malinzi aingie uwanjani acheze kama timu ya taifa inapewa kila inachohitaji bila kukosa wala kupunjwa. Malinzi kaliona hili ndio maana ameamua kudeal na watoto/vijana wadogo maana hapo ndio msingi imara wa timu ya Taifa yenye mafanikiobya muda mrefu bali kwa kuwa watu kama nyie mmepewa vijisenti kumpinga Malinzi hamuwezi kuliona hili but muda ndio utawaumbua.

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
 
ukimfahamu,usipomfahamu Mimi hainiusu. Zaidi utahadithia umbea kama shilawadu

Malinzi ni changanyikeni na kabisa bora hata achukue Madega kuliko huyo asiejielewa.Simkubali hata kidogo- hafai hafai -hafai
Hautamuelewa Malinzi kamwe kwa kuwa akili yako ishatekwa na njaa.

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom