Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 17,005
- 20,425
Mpira wa Miguu, pia uitwao Soka au Kandanda ni aina ya mchezo wa mpira ambapo timu mbili za wachezaji kumi na mmoja hushindana kwa kupigania umiliki wa mpira na kuingiza mpira katika wavu wa wapinzani Wachezaji hucheza kwa miguu; pia wanaruhusiwa kutumia sehemu nyingine za mwili ila mikono hairuhusiwi kutumiwa. Mlinda mlango ndiye anayeruhusiwa kutumia mikono. Wachezaji wengine wanaweza kutumia mikono iwapo mpira ni wa kurushwa baada ya kutoka nje ya uwanja.
Naam shirikisho la mpira wa miguu duniani limepitia vipindi vingi na vigumu sana katika ramani ya ulimwengu,
Wale wanaofuasilia kwa karibu siasa za soka duniani hawatoshangaa ninapomtaja Havelange kama kiongozi mashuhurialiyeongoza shirikisho hili la FIFA kwa mda mrefu zaidi duniani,
Kuongoza kwamda mrefu hakukuja kwa hila wala bahati mbaya wala bahati nzuri bali uthabiti wa uongozi wake vilikuwa tu mbele ya wajumbe 2004 wa FIFA wenye dhamana ya kuchagua kiongozi wa chombo hicho dunia,
Jaoa De Havelange alikuwa ni mtu mwenye msimamo katika kazi na hakuendrshwa wala kutetereshwa na yeyote,
Katika kitabu chake kiitwacho 'How the Stole the Game', Havelange anasema kuwa yeye katika utendaji ndani ya fifa hakutetereshwa wala kumhofia yeyote,
Anasema "katika maisha yangu mtu ambae ningepeana miadi na nikamsubiri mahali angalau kwa dakika kumi ni Papa wa Roma na Malkia wa Uingereza tu"
Anasema wengine ilikuwani lazima wafuate sheria na kanuni za fifa na kuheshimu mda na ahadi,
Hivyo ni vibyagizo tu vya wasifu wa Mzee Havelange,
Tukirejea katika siasa za soka la bongo ambalo kimsingi linakua kwa mang'amung'amu ya bahati tu, hakika tunamhitaji mhafidhina wa kweli atakaetuongoza katiks kilele cha ubora wa soka halisi,
Nimetafakari kwa kina sana katika siku hizi chache zilizosalia kuelekea uchaguzi mkuu ndani ya shirikisho letu la mpira wa miguu TFF,
Katika wagombea wa nafasi ya urais yupo Jamal Malinzi na Athuman Nyamlani
Kama taifa linahitaji mageuzi ya kweli katika soka la dunia ya leo basi tuwaambie wajumbe wa wanaohusika na uchaguzi huu kuwa tunahitaji Havelange wa Tanzania,
Tunahitaji mtu ambae anauzoefu wa utawala wa soka, na tunahitaji mtu ambae yupo katika ulimwengu wa dunia ya tatu,
Hatutaki mtu atakaetumia tff kufanikisha biashara zake, hatutaki mtu atakaetumia tff kufanya biashara haramu hasa za madawa ya kulevya,
Jamal Malinzi amekuwa katika anga za soka kwa mda mrefu tena akihudumu katika ngazi ya juu kabisa ya soka nchini kupitia klabu,
Jamali Malinzi tunamjua fika kuwa ni mfanyabiashara halali wa shughuli za usafirishaji na ni mlipa kodi stahiki wa TRA,
Athumani Nyamlani simjui kwaundani katika anga la soka nchini, na sijui uhalali wa pato lake
Lakini ninachochojua nikuwa anaungwa mkono na genge la wezi
a matapeli nchini wakiongozwa na mtoto wa kigogo wa ccm,
Dhamira yao kuu ni kuhakikisha biashara zao za madawa ya kulevya zinaendelra kupitis TFF.
Mimi kutoka moyoni nimuunga mkono ndugu Jamal Malinzi,
Na kwa uwezo wangu, nitatumia njia zangu zote za siasa ya soka kuhakikisha taifa linampata Jamal Malinzi aka Havelange kuokoa soka letu na viana wetu wanaogeuzwa makontena huku soka likididimia kila uchao,
Naam shirikisho la mpira wa miguu duniani limepitia vipindi vingi na vigumu sana katika ramani ya ulimwengu,
Wale wanaofuasilia kwa karibu siasa za soka duniani hawatoshangaa ninapomtaja Havelange kama kiongozi mashuhurialiyeongoza shirikisho hili la FIFA kwa mda mrefu zaidi duniani,
Kuongoza kwamda mrefu hakukuja kwa hila wala bahati mbaya wala bahati nzuri bali uthabiti wa uongozi wake vilikuwa tu mbele ya wajumbe 2004 wa FIFA wenye dhamana ya kuchagua kiongozi wa chombo hicho dunia,
Jaoa De Havelange alikuwa ni mtu mwenye msimamo katika kazi na hakuendrshwa wala kutetereshwa na yeyote,
Katika kitabu chake kiitwacho 'How the Stole the Game', Havelange anasema kuwa yeye katika utendaji ndani ya fifa hakutetereshwa wala kumhofia yeyote,
Anasema "katika maisha yangu mtu ambae ningepeana miadi na nikamsubiri mahali angalau kwa dakika kumi ni Papa wa Roma na Malkia wa Uingereza tu"
Anasema wengine ilikuwani lazima wafuate sheria na kanuni za fifa na kuheshimu mda na ahadi,
Hivyo ni vibyagizo tu vya wasifu wa Mzee Havelange,
Tukirejea katika siasa za soka la bongo ambalo kimsingi linakua kwa mang'amung'amu ya bahati tu, hakika tunamhitaji mhafidhina wa kweli atakaetuongoza katiks kilele cha ubora wa soka halisi,
Nimetafakari kwa kina sana katika siku hizi chache zilizosalia kuelekea uchaguzi mkuu ndani ya shirikisho letu la mpira wa miguu TFF,
Katika wagombea wa nafasi ya urais yupo Jamal Malinzi na Athuman Nyamlani
Kama taifa linahitaji mageuzi ya kweli katika soka la dunia ya leo basi tuwaambie wajumbe wa wanaohusika na uchaguzi huu kuwa tunahitaji Havelange wa Tanzania,
Tunahitaji mtu ambae anauzoefu wa utawala wa soka, na tunahitaji mtu ambae yupo katika ulimwengu wa dunia ya tatu,
Hatutaki mtu atakaetumia tff kufanikisha biashara zake, hatutaki mtu atakaetumia tff kufanya biashara haramu hasa za madawa ya kulevya,
Jamal Malinzi amekuwa katika anga za soka kwa mda mrefu tena akihudumu katika ngazi ya juu kabisa ya soka nchini kupitia klabu,
Jamali Malinzi tunamjua fika kuwa ni mfanyabiashara halali wa shughuli za usafirishaji na ni mlipa kodi stahiki wa TRA,
Athumani Nyamlani simjui kwaundani katika anga la soka nchini, na sijui uhalali wa pato lake
Lakini ninachochojua nikuwa anaungwa mkono na genge la wezi
a matapeli nchini wakiongozwa na mtoto wa kigogo wa ccm,
Dhamira yao kuu ni kuhakikisha biashara zao za madawa ya kulevya zinaendelra kupitis TFF.
Mimi kutoka moyoni nimuunga mkono ndugu Jamal Malinzi,
Na kwa uwezo wangu, nitatumia njia zangu zote za siasa ya soka kuhakikisha taifa linampata Jamal Malinzi aka Havelange kuokoa soka letu na viana wetu wanaogeuzwa makontena huku soka likididimia kila uchao,