Tanzania inamuhitaji Jaoa De Havelange katika soka, Jamal Malinzi ni chaguo sahihi.

Tanzania inamuhitaji Jaoa De Havelange katika soka, Jamal Malinzi ni chaguo sahihi.

Na hii ni dhana nzuri sana katika kukuza na kuthamini vipaji vya vijana wetu

Na kila siku tunasema kuwa,mfundishe mtu jinsi ya kuvua samaki ajitegemee, sio kumpa samaki ili aendelee kuwa tegemezi. Trust Fund itawafanya wachezaji wastaafu kujitegemea na kutatua matatizo yao wenyewe (Sisi Kwa Sisi Principle).
 
Na kila siku tunasema kuwa,mfundishe mtu jinsi ya kuvua samaki ajitegemee, sio kumpa samaki ili aendelee kuwa tegemezi. Trust Fund itawafanya wachezaji wastaafu kujitegemea na kutatua matatizo yao wenyewe (Sisi Kwa Sisi Principle).
Ninamuangalia leo Zamoyon Mogella na wengine mpaka inatia hurma
 
Tutayafanyaje hayo bila kupata viongozi thabiti kwanza?

Tumsimike kwanza Jamal kisha atuongoze kufanya hayo yote
Mkuu YN, Jibu sote tunalijua...Lakini tunsuasua na kusita kulianika !! 1. Piga booti(fukuza) wote, 2.Tuache ushirikina, 3.Tuondoe Siasa ktk.Michezo.... hapo tutaona mwangaza na mafanikio. Hayo yote kama nia na ari ipo.
 
Soma na uelewe ndugu yangu, kilichozungumziwa hapo ni kuweka misingi ya wachezaji kujichangia kama ilivyo wafanyakazi wengine ambao wana NSSF na PPF, wewe ulitaka nani awachangie? Pia jaribu kuelewa maana ya Trust Fund, wachezaji wetu wastaafu wanapata aibu kwa misaada ya public ambayo ni very embarrassing to them, angalia hio picha ya Jella Mtagwa akipewa hati ya kibanda...
Malinzi kaliona tatizo ila suluhisho lake hajalijua sawasawa. Kwanza sina uhakika Jella ameridhia picha yake itumike kwa kampeni. Hiyo trust fund kuna mahali imeshafanikiwa au it is his own invention? Mpira ni kazi kama kazi nyingine, wachezaji kama wanalipwa mishahara basi hata kiinua mgongo lazima wanacho. Tatizo la wachezaji wa Tanzania ni kutokuwa na bima na uwekezaji binafsi. Bima itamsaidia pindi akikatisha maisha yake ya soka kwa ajali, ilhali uwekezaji utamuingizia kipato baadaye. By the way, mimi siko upande wowote ila nilitamani TFF yenye muono sahihi wa soka.
 
Mkuu YN, Jibu sote tunalijua...Lakini tunsuasua na kusita kulianika !! 1. Piga booti(fukuza) wote, 2.Tuache ushirikina, 3.Tuondoe Siasa ktk.Michezo.... hapo tutaona mwangaza na mafanikio. Hayo yote kama nia na ari ipo.
Mkuu kwanza mimi huwa siamini katika kufukuza,

Ushirikina katika soka ni suala la dhahania tu halina uthibitisho kisayansi,

Siasa haziwezi kuondoka katika soka, jambo muhimu nikujua aina za siasa,

Soka lina siasa zake na ndizo huleta radha halisi ya soka,
 
kitu kimoja ninacho kionaq sijui kwa kweli kama malinzi atatoboa maana hawa kina nyamlan na tff wote kiujumla wamejipanga hasa kuhakikisha nyamlan anashinda.... cku ya uchaguz hakika kutakua na vitimbi vya kila aina tushingae uchaguz ukafanyika tofauti na mda!!! kwa kweli sion chance ya malinzi kushinda hata kama watanzania wengi ndio tunamuona ni sahihi!!!! always the bad guys win in this country!!!
 
Mkuu kwanza mimi huwa siamini katika kufukuza,

Ushirikina katika soka ni suala la dhahania tu halina uthibitisho kisayansi,

Siasa haziwezi kuondoka katika soka, jambo muhimu nikujua aina za siasa,

Soka lina siasa zake na ndizo huleta radha halisi ya soka,

kifupi ni CORRUPTION fro A to Z !!
 
Malinzi kaliona tatizo ila suluhisho lake hajalijua sawasawa. Kwanza sina uhakika Jella ameridhia picha yake itumike kwa kampeni. Hiyo trust fund kuna mahali imeshafanikiwa au it is his own invention? Mpira ni kazi kama kazi nyingine, wachezaji kama wanalipwa mishahara basi hata kiinua mgongo lazima wanacho. Tatizo la wachezaji wa Tanzania ni kutokuwa na bima na uwekezaji binafsi. Bima itamsaidia pindi akikatisha maisha yake ya soka kwa ajali, ilhali uwekezaji utamuingizia kipato baadaye. By the way, mimi siko upande wowote ila nilitamani TFF yenye muono sahihi wa soka.
Hata Uingereza ambako tunajifunza mambo mengi kuna hii kitu, kuna issue ya Gazza, jamaa ni muathirika wa ulevi uliopindukia lakini kwa kuwa ni mchezaji mstaafu ni wachezaji wenzake kupitia mfuko wao ndio wanamsaidia. Trust Fund ikipangiliwa vizuri itawaondolea adha si tu wachezaji wastaafu bali hata wale ambao wanapata majeraha ya muda mrefu yanayosababisha wao kuwa nje ya mpira kwa muda mrefu na hivyo kukosa bonasi ambazo kwa mpira wetu wa Tanzania ni muhimu sana katika uendeshaji wa maisha yao ya kila siku.
 
Naona yericko umeungana na zitto kumpgia debe malinzi. Lakini hebu thbtsha tuhuma za dawa za kulewa znazomkabili nyamlani
 
Naona yericko umeungana na zitto kumpgia debe malinzi. Lakini hebu thbtsha tuhuma za dawa za kulewa znazomkabili nyamlani
Thibitisha kwanza madai yako kuwa nimesema Nyamlani anauza dawa za kulevya,

Soma vema andiko langu mkuu, hakuna niliposema Nyamlani anauza madawa ya kulevya
 
Hivi mnawajua au mnawasikia wajumbe wa hili shirikisho, ni watu wasio na upeo mkubwa wa mambo, hali zao za maisha hovyoooo kwa maana nyingine wanautegemea huo huo mpira kuendesha maisha yao, wao hawachagui sera wala kiongozi bora wao wanaangalia nani ni mwenzio katika kutafuna hela za mpira na kuutumia mpira kwa manufaa yao.Hivyo basi naona MALINZI ni mtu sahihi sana kwa mabadiliko lakini wasiwasi wangu ni hao wajumbe.....ni bora malinzi aingie ata kwa kuhonga kuliko NYAMLANI aingie hili mpira uwe kijiwe cha wezi.
 
Nani wa kutuokolea soka letu? wajumbe waongozwe na dhamira za kweli vichwani na siyo nani katunisha zaidi mifuko yao, coz wakituletea viongozi bomu historia haitawaacha hivi hivi.
 
Nani wa kutuokolea soka letu? wajumbe waongozwe na dhamira za kweli vichwani na siyo nani katunisha zaidi mifuko yao, coz wakituletea viongozi bomu historia haitawaacha hivi hivi.
Na katika hilo Mungu awaongoze wajumbe wamchague Jamal Malinzi
 
Na hii ni dhana nzuri sana katika kukuza na kuthamini vipaji vya vijana wetu

Pamoja tutaweza
Chagua MALINZI
Chagua MABADILIKO
Mungu ibariki Afrika
Mungu ibariki Tanzania
Jamal Malinzi
Mgombea nafasi ya Urais
TFF
2013
Mpira ni afya, mpira ni burudani, mpira ni ajira kwa vijana!
 
Binafsi ninamuunga mkono Jamal Malinzi kuliongoza shirikisho la mpira Tanzania TFF kwakuwa naamini ana uwezo, ana vision na yuko determined kuleta mabadiliko ya kweli katika ustawi wa soka la Tanzania.

Kama wajumbe wa TFF wataamua kumchagua Nyamlani ni hakika kwamba soka letu litakuwa limeingizwa shimoni kwa miaka mine na hadi muda wake unaisha tutakuwa tumeumia kiasi cha kutosha.

Nimeshangazwa na hatua ya wapambe wa Nyamlani wanavyopita kwenye vyombo vya habari kumkashifu Jamal Malinzi, wapambe hao wakiongozwa na mchumia tumbo Abdul Kipenga wamekuwa wakiendesha kampeni za kipuuzi kabisa na ninashangaa ni kwanini kamati ya uchaguzi ya TFF imekaa kimya bila kuwakemea.
 
Last edited by a moderator:
Pamoja tutaweza
Chagua MALINZI
Chagua MABADILIKO
Mungu ibariki Afrika
Mungu ibariki Tanzania
Jamal Malinzi
Mgombea nafasi ya Urais
TFF
2013
Mpira ni afya, mpira ni burudani, mpira ni ajira kwa vijana!

Kwa afya ya soka na mstakabali wake tiba ni Jamal Malinzi
 
Binafsi ninamuunga mkono Jamal Malinzi kuliongoza shirikisho la mpira Tanzania TFF kwakuwa naamini ana uwezo, ana vision na yuko determined kuleta mabadiliko ya kweli katika ustawi wa soka la Tanzania.

Kama wajumbe wa TFF wataamua kumchagua Nyamlani ni hakika kwamba soka letu litakuwa limeingizwa shimoni kwa miaka mine na hadi muda wake unaisha tutakuwa tumeumia kiasi cha kutosha.

Nimeshangazwa na hatua ya wapambe wa Nyamlani wanavyopita kwenye vyombo vya habari kumkashifu Jamal Malinzi, wapambe hao wakiongozwa na mchumia tumbo Abdul Kipenga wamekuwa wakiendesha kampeni za kipuuzi kabisa na ninashangaa ni kwanini kamati ya uchaguzi ya TFF imekaa kimya bila kuwakemea.

Hao wapambe watapotea tu baada ya jumapili,

Mabadiliko ni sehemu muhimu kwa soka letu kwa sasa
 
Last edited by a moderator:
Mpira wa Miguu, pia uitwao Soka au Kandanda ni aina ya mchezo wa mpira ambapo timu mbili za wachezaji kumi na mmoja hushindana kwa kupigania umiliki wa mpira na kuingiza mpira katika wavu wa wapinzani Wachezaji hucheza kwa miguu; pia wanaruhusiwa kutumia sehemu nyingine za mwili ila mikono hairuhusiwi kutumiwa. Mlinda mlango ndiye anayeruhusiwa kutumia mikono. Wachezaji wengine wanaweza kutumia mikono iwapo mpira ni wa kurushwa baada ya kutoka nje ya uwanja.

Naam shirikisho la mpira wa miguu duniani limepitia vipindi vingi na vigumu sana katika ramani ya ulimwengu,

Wale wanaofuasilia kwa karibu siasa za soka duniani hawatoshangaa ninapomtaja Havelange kama kiongozi mashuhurialiyeongoza shirikisho hili la FIFA kwa mda mrefu zaidi duniani,

Kuongoza kwamda mrefu hakukuja kwa hila wala bahati mbaya wala bahati nzuri bali uthabiti wa uongozi wake vilikuwa tu mbele ya wajumbe 2004 wa FIFA wenye dhamana ya kuchagua kiongozi wa chombo hicho dunia,

Jaoa De Havelange alikuwa ni mtu mwenye msimamo katika kazi na hakuendrshwa wala kutetereshwa na yeyote,

Katika kitabu chake kiitwacho 'How the Stole the Game', Havelange anasema kuwa yeye katika utendaji ndani ya fifa hakutetereshwa wala kumhofia yeyote,

Anasema "katika maisha yangu mtu ambae ningepeana miadi na nikamsubiri mahali angalau kwa dakika kumi ni Papa wa Roma na Malkia wa Uingereza tu"

Anasema wengine ilikuwani lazima wafuate sheria na kanuni za fifa na kuheshimu mda na ahadi,

Hivyo ni vibyagizo tu vya wasifu wa Mzee Havelange,

Tukirejea katika siasa za soka la bongo ambalo kimsingi linakua kwa mang'amung'amu ya bahati tu, hakika tunamhitaji mhafidhina wa kweli atakaetuongoza katiks kilele cha ubora wa soka halisi,

Nimetafakari kwa kina sana katika siku hizi chache zilizosalia kuelekea uchaguzi mkuu ndani ya shirikisho letu la mpira wa miguu TFF,

Katika wagombea wa nafasi ya urais yupo Jamal Malinzi na Athuman Nyamlani


Kama taifa linahitaji mageuzi ya kweli katika soka la dunia ya leo basi tuwaambie wajumbe wa wanaohusika na uchaguzi huu kuwa tunahitaji Havelange wa Tanzania,

Tunahitaji mtu ambae anauzoefu wa utawala wa soka, na tunahitaji mtu ambae yupo katika ulimwengu wa dunia ya tatu,

Hatutaki mtu atakaetumia tff kufanikisha biashara zake, hatutaki mtu atakaetumia tff kufanya biashara haramu hasa za madawa ya kulevya,


Jamal Malinzi amekuwa katika anga za soka kwa mda mrefu tena akihudumu katika ngazi ya juu kabisa ya soka nchini kupitia klabu,

Jamali Malinzi tunamjua fika kuwa ni mfanyabiashara halali wa shughuli za usafirishaji na ni mlipa kodi stahiki wa TRA,

Athumani Nyamlani simjui kwaundani katika anga la soka nchini, na sijui uhalali wa pato lake

Lakini ninachochojua nikuwa anaungwa mkono na genge la wezi
a matapeli nchini wakiongozwa na mtoto wa kigogo wa ccm,

Dhamira yao kuu ni kuhakikisha biashara zao za madawa ya kulevya zinaendelra kupitis TFF.


Mimi kutoka moyoni nimuunga mkono ndugu Jamal Malinzi,

Na kwa uwezo wangu, nitatumia njia zangu zote za siasa ya soka kuhakikisha taifa linampata Jamal Malinzi aka Havelange kuokoa soka letu na viana wetu wanaogeuzwa makontena huku soka likididimia kila uchao,

Pamoja sana Yericko. Wajumbe jamani Sikilizeni Kilio Chetu. TUCHAGULIENI JAMAL EMIL MALINZI
 
Back
Top Bottom