mzeefursa
Member
- Sep 5, 2016
- 9
- 4
Katika kipindi hiki cha ujio wa simu za kupangusa(Ina maana smart phones). Mitandao ya kijamii imeshika nafasi kubwa sana kusambaza habari.
Sio kama zamani tulikuwa tunategemea redio,magazeti na TV ili kupata habari,lakin saiv watu wengi hawategemei vyanzo hivo pekee kuwa ndo source ya habari.
Saivi kuna facebook,whatsapp, instagram n.k..Mitandao hii ndo inaongoza sasa kwa habari
Kuna misemo mingi sana siku hizi inaibuka kila kukicha kwenye mitandao...mfano
>>Juzi kulikuwa na tukio la kupatwa kwa jua.sasa mtaani kila kitu ni kupatwa
http://bit.ly/2any6aK
>>Kuna kipindi Mugabe aliongoza kwa kuquote maneno...Kila sentensi fupi yenye mzaha ilionekana kuwa Mugabe ndio ameandika
>>>http://bit.ly/29TNtwg
************taendelea http://bit.ly/2any6aK *************
Sio kama zamani tulikuwa tunategemea redio,magazeti na TV ili kupata habari,lakin saiv watu wengi hawategemei vyanzo hivo pekee kuwa ndo source ya habari.
Saivi kuna facebook,whatsapp, instagram n.k..Mitandao hii ndo inaongoza sasa kwa habari
Kuna misemo mingi sana siku hizi inaibuka kila kukicha kwenye mitandao...mfano
>>Juzi kulikuwa na tukio la kupatwa kwa jua.sasa mtaani kila kitu ni kupatwa
http://bit.ly/2any6aK
>>Kuna kipindi Mugabe aliongoza kwa kuquote maneno...Kila sentensi fupi yenye mzaha ilionekana kuwa Mugabe ndio ameandika
>>>http://bit.ly/29TNtwg
************taendelea http://bit.ly/2any6aK *************