Tanzania inaongoza kwa ajali sekta ya ujenzi

Tanzania inaongoza kwa ajali sekta ya ujenzi

fangfangjt

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2008
Posts
571
Reaction score
139
tanzania ni moja ya nchi Africa zinazo ongoza kwa ajali kwenye sekta ya ujenzi hasa majengo. Hii inatokana wafanyakazi kutokua na mafunzo hafifu pamoja na kutokua na vifaa vya taaluma hiyo. Ajali nyingi zina husisha wajenzi kudondoka kutoka kwenye majengo.

Source RadioONE NIPASHE.
 
tanzania ni moja ya nchi Africa zinazo ongoza kwa ajali kwenye sekta ya ujenzi hasa majengo. Hii inatokana wafanyakazi kutokua na mafunzo hafifu pamoja na kutokua na vifaa vya taaluma hiyo. Ajali nyingi zina husisha wajenzi kudondoka kutoka kwenye majengo.

Source RadioONE NIPASHE.

mkuu ......kwenye red...... sikubaliani na wewe
 
tanzania ni moja ya nchi Africa zinazo ongoza kwa ajali kwenye sekta ya ujenzi hasa majengo. Hii inatokana wafanyakazi kutokua na mafunzo hafifu pamoja na kutokua na vifaa vya taaluma hiyo. Ajali nyingi zina husisha wajenzi kudondoka kutoka kwenye majengo.

Source RadioONE NIPASHE.

Mkuu hapo kwenye red, hii ni nadharia ya wapi hii?? Mbona sikuelewielewi vile!! Hapo kwenye red
 
Mkuu hapo kwenye red, hii ni nadharia ya wapi hii?? Mbona sikuelewielewi vile!! Hapo kwenye red

hata mimi nimebaki nimeduwaa, hii twnde kushoto na kulia kwa wakati mmoja.
 
tanzania ni moja ya nchi Africa zinazo ongoza kwa ajali kwenye sekta ya ujenzi hasa majengo. Hii inatokana wafanyakazi kutokua na mafunzo hafifu pamoja na kutokua na vifaa vya taaluma hiyo. Ajali nyingi zina husisha wajenzi kudondoka kutoka kwenye majengo.

Source RadioONE NIPASHE.

Data Mkuu,data. Nchi nyingine hali ikoje
La sivyo this is heresay.
 
Back
Top Bottom