MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Huu ndio mfano ambao unaonyesha vipi unaweza kuwa na raslimali nyingi lakini unyimwe akili, na pia vipi unaweza kuwa na raslimali chache, lakini upewe ubongo wa kuwaza mbinu za kuzalisha hadi uongoze ukanda wote.
Kenya ndio yenye ng'ombe wachache ukilinganisha na Tanzania na Uganda, lakini la kushangaza tunaongoza likija kwenye uzalishaji wa maziwa. Yaani Kenya imo katika mataifa matatu Afrika yanayoongoza kwa uzalishaji wa maziwa, mataifa mengine yakiwa Sudan na Misri, hivyo ina maana hata mijitu kama Afrika Kusini ipo nyuma yetu.
Hongera sana Wakenya kwa bidii hii yetu, pia nimefurahi jinsi Wakenya wengi wameanza kuchangamkia maparachchi, imekua ngumzo kote kote kwenye runinga zote na vituo vya redio, Mchina lazima tumlishe ili tujenge zaidi
--------------------------------------------------------------------
Tanzania ranks third in Africa in terms of cattle population after Sudan and Ethiopia. And the split of the war-torn Sudan into two countries---North and South---has placed Tanzania second after Ethiopia.
It is estimated that there are over 21.3 million cattle in Tanzania, where 680,000 are dairy cattle with the capacity to produce 1.65 billion litres annually, making the country the third milk producer in East Africa after Kenya and Uganda.
Kenya, Sudan and Egypt also rank among the top milk-producing countries on the continent, all contributing significantly to Africa’s 13.4 million dairy farms.
www.thecitizen.co.tz
Kenya ndio yenye ng'ombe wachache ukilinganisha na Tanzania na Uganda, lakini la kushangaza tunaongoza likija kwenye uzalishaji wa maziwa. Yaani Kenya imo katika mataifa matatu Afrika yanayoongoza kwa uzalishaji wa maziwa, mataifa mengine yakiwa Sudan na Misri, hivyo ina maana hata mijitu kama Afrika Kusini ipo nyuma yetu.
Hongera sana Wakenya kwa bidii hii yetu, pia nimefurahi jinsi Wakenya wengi wameanza kuchangamkia maparachchi, imekua ngumzo kote kote kwenye runinga zote na vituo vya redio, Mchina lazima tumlishe ili tujenge zaidi
--------------------------------------------------------------------
Tanzania ranks third in Africa in terms of cattle population after Sudan and Ethiopia. And the split of the war-torn Sudan into two countries---North and South---has placed Tanzania second after Ethiopia.
It is estimated that there are over 21.3 million cattle in Tanzania, where 680,000 are dairy cattle with the capacity to produce 1.65 billion litres annually, making the country the third milk producer in East Africa after Kenya and Uganda.
Kenya, Sudan and Egypt also rank among the top milk-producing countries on the continent, all contributing significantly to Africa’s 13.4 million dairy farms.
Secret to making TZ dairy industry more productive
Tanzania ranks third in Africa in terms of cattle population after Sudan and Ethiopia. And the split of the war-torn Sudan into two countries---North and South---has placed Tanzania second after