Tanzania inaongoza kwa wingi wa ng'ombe EAC ila ya tatu kwa uzalishaji wa maziwa huku Kenya ikiongoza

Kenya ukinywa chai ya maziwa mgahawani lazima uilipie kodi yaani tax na makato yote

Lakini huku bongo unaamua unywe chai ya maziwa au rangi bila kulipa kodi
Huo ndo utofauti
Kenya ipi hiyo???
 
Ila Kenya your days are numbered tatizo hayo maziwa mnayojitambia mnanunua Kilimanjaro na arusha afu mnayaprosess ,Ila mkibaniwa mnalialia,my take Tanzania tujitambua tulikosea wapi mana inavyoonrkana Kenya is benefiting in advance ya resources za majirani majirani wanaanza kupiga pin sasa hivi naona wakenya uchumi wao wanatafutana ,example tourism, manufacturing and agro products
 
Ng'ombe wetu si wa maziwa ndio maana hawapo kwenye hiyo list, ila ni wa nyama ila bado hatumo kwenye list ya wauza minofu kwa wingi...This is funny though! 😂
 
Ng'ombe wetu si wa maziwa ndio maana hawapo kwenye hiyo list, ila ni wa nyama ila bado hatumo kwenye list ya wauza minofu kwa wingi...This is funny though! 😂
eti wanaenda porini na kuchinja kienyeji, kimyakimya na kugawa watu kumi ndio maana si rahisi kupata official data.
 
We sad fellow Kenyans, we have been witched long time ago, and who was behind all this calamities has already passed away, rendering improper curative methods.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…