Rais ni mtu mkubwa sana, kauli yake sisi tunaiheshimu, yeye ndiye alituambia sisi wafanyakazi kuwa hazitaki kura zetu, na hakuna wakati mwingine wowote ambapo amekanusha kauli hiyo, sasa hawa wakuda wanaokanusha wanamtisha nani? Kauli ya mwungwana bado inasimama, HAZITAKI KURA ZA WAFANYAKAZI. Yeye alisema hata tungegoma kwa miaka minane asingeongeza kitu, hivyo hizo 260,000/- ni za Dr. Slaa, nahuyo ndiye mtu wetu. Dr. Slaa na wanyonge, JK na mafisadi, hakuna kulala mpaka kieleweke.