Mkuu kuna mijitu ni ya ajabu sana!! Wanafikiri watz ni wajingawajingaACHENI KUCHEZEA WATU AKILI KWA KUCHANGANYA VITU VIWILI TOFAUTI,WAKOSOAJI WA DPW,WAPO WENGI NA WAPO HURU,HAO NI WAHAINI,KWA KUTOA KAULI HATARI,AMBAZO ZINAWEZA KUAMASISHA UMMA,KUPINDUA NCHI,KUPINDUA TAIFA WAKATI MWINGINE HAKUHITAJI SILAHA,AU MAJESHI,BALI KAULI CHOCHEZI AMBAZO ZITAUAMSHA UMMA KATIKA KUFANYA YA HOVYO"...
UZALENDO sio kukaa KIMYA.Mkuu kuna mijitu ni ya ajabu sana!! Wanafikiri watz ni wajingawajinga
Nchi haina ugumu Watawala ndiyo WagumuNchi ngumu hii
Acha ujinga dogo. 98% ya watanganyika tumeukataa huo mkataba wa kinyonyaji. Hao waliotekwa na kupewa kesi za magumashi ndio walikuwa front line wakiwapumulia kila dk ndio mkajidangayan kuwa mkiwashugulikia wao mnaweza mkauzima huu mtanange. Mmejidanganya sana na hicho kitendo cha kipumbavu mlichokifanya ndio mmechochea kuni kwenyeWarioba yupo HURU
Shivji yupo HURU
Tibaijuka yupo HURU
Lissu yupo HURU
Mbowe yupo HURU
NA WENGINE WENGI TU,
SWALI JE?,
-NI KWANINI HAO HAPO PEKEE WANASHIKILIWA?
Tusijitoe ubongo tukajaza kamasi ....
Upuuzi,aliyekudanganya ni nani? Kwani hujui kwamba Kuna vyanzo vingi vya kupata mikopo?Kwa mtindo huu wa kamata weka ndani bambikiza kesi,Mama SAMIA ataliingiza TAIFA kwenye Giza la kiuchumi ukizingatia yeye Hana mbinu mbadala za kuinua uchumi wa Nchi wazo kuu Kwake Ni kukopo tu Kisha pigs panga kidogo aweke kwenye mfumo wake iliyotoboka usio na manufaa kwa Tanzania yetu.
Kila kukicha dila inapanda na shs yetu inapiromoka.Na bado Hekima imekosekana kabisa kwa hili suala la Bandari ZETU.Mmebakia Kung:ang'nia tu Waarabu wa Dubai na dp world yao.
Dunia Sasa Ni Kijiji utakwepa wapi kulaumiwa wakati ukweli uko wazi ,Unawashika Hao Alina MWABUKUSI,MDUDE,MADELEKA NA DR SLAA Kwa lipi yaani.
Kupinduluwa???
Au mnataka JESHI Liiingilie Kati ili mjue kupinduluwa kukoje.
Tanzania haiwezi kujificha ili habari zake zisijulikane kila kitu Kiko wazi kelele Njema za kudai Bandari ZETU zisitolewe bure zimefika.Utanyimwa MIKOPO na Waarabu watakuacha tu,Maana huu Moto usipouangalia utakuwakia popote ulipo mpaka kwenye miguu,kitandani,bafuni hata kwenye vikao vyote hata vile vya Siri.
Waachie hao bila kuchelewa na wasidhurie Wala adiwrpo wa kupoteza maisha yso.
Zaidi ya hapo WENGI WATAAMIMINI WEWE NDIO ULIKUWA UNAMSHAURI VIBAYA MZEE MAGU.Ukuacha kuitwa Jina zuri la HESHIMA MAADAMU PRESEDENT ukaanza kuitwa DIKTETA hapo itakuwa imekula kwako.
Nchi hii Ina RASILIMALI nyingi Sana inakuwaje uchumi uanfukie mikononi mwako? Unatumiwa muda mwingi kuwakabili wanakukosoa Badala ya kujijenga NCHI YETU.
Usije ukasema Hatujawahi kukuambia-,
CHEO NI DHAMANA,Hasa hiki ulichokipata kwa kudra za mwenyezi MUNGU.
Penda watu wako unawaongoza,
Tanzania bado Ina UMASIKINI mwingi unaosababishwa na ninyi viongozi wachumia Tumbo zenu.Hakuna mikakati ya kuondoa UMASIKINI Ila mna mipango na mikakati ya kuongeza Masikini na wajinga ili muendelee kutawala.
Endeleeni kuliamsha,Bado kidogo Sana WATANZANIA wataamka usingizini wakiingia baranarani KUANDAMANA,
WEMBE MNAOULILIA UTAUPATA NA UTAWAKATA WENYEWE.
Jenga uchumi wa Nchi yetu achana na Siasa za kutesa WATANZANIA kwa Mambo halali na sahihi na ya kweli wanayoyadai.View attachment 2720405View attachment 2720406View attachment 2720407
98%,Takwimu hii umeipata wapi?,umepita kwa watumia bandari kariakoo ukapata ukweli juu shida za hapo bandarini,acha kufuata mkumbo Dogo!Acha ujinga dogo. 98% ya watanganyika tumeukataa huo mkataba wa kinyonyaji. Hao waliotekwa na kupewa kesi za magumashi ndio walikuwa front line wakiwapumulia kila dk ndio mkajidangayan kuwa mkiwashugulikia wao mnaweza mkauzima huu mtanange. Mmejidanganya sana na hicho kitendo cha kipumbavu mlichokifanya ndio mmechochea kuni kwenye
Hayo yametolewa ufafanuzi na wabobezi wa sheria zaidi ya hao kina tobo slaa waliowashikilia akili ila hamtaki kuelewa kwa vile mmeamua kuwa hivyo. Imeuzwa sh ngapi hamjibu!UZALENDO sio kukaa KIMYA.
Bandari zinatolewa bure bila muda wa Ukomo bado mnasherehekea.
Mmevimbiwa kiskili ninyi?
Sio bure!
Mna Nchi nyingine zaidi ya hii ambayo Mwarabu anakabidhiwa Lango kuu la uchumi wa Nchi upande wa bahari?
Hatima ya WATOTO WETU itakuwaje ?
ACHENI upuuzi wa kutetea Ufisadi.
Unajua ni wapuuzi kishenzi hawa watu98%,Takwimu hii umeipata wapi?,umepita kwa watumia bandari kariakoo ukapata ukweli juu shida za hapo bandarini,acha kufuata mkumbo Dogo!
Nadhani umemsikia slaa alichokitamka,tufunge mabishano!Hivi nyie mmelogwa na Nani?
Katika maisha Yangu sijawahi KUANDAMANA kabisa.
Lakini kusema tutaandamana ambali Ni jambo la kikatiba ndio kupindua Nchi?
KUANDAMANA walikosema bado Ni njia ya kushikiza DP WORLD asipewe Bandari ZETU bure.
Ni kutafuta haki walioinyiwa mahakamani.
Kwa maandamano ya AMANI.
Kumbe kutetea RASILIMALI zetu Ni uhaini.
Haitaweza kunyimwa mikopo hata kidogo, karibuni sana amnesty Intl,muje kuhakiki,tutakupeni kila aina ya ushirikiano pia msikilize kauli tata!,na vyote ili mjiridhishe!Inyimwe kabisa mpaka pale tutakapo pata Akili ya kujiongoza wenyewe na kuwa independent and self-sufficient.
Uafrika hasa utanzania ni laana.
Afadhali tuendelee kupata shida kuliko kusaini mkataba wa kijinga kama huo. Kidogo tukipatacho kina naafuu kuliko kuigawa mali yetu bure. Dogo hacha Upumbafu98%,Takwimu hii umeipata wapi?,umepita kwa watumia bandari kariakoo ukapata ukweli juu shida za hapo bandarini,acha kufuata mkumbo Dogo!
Nyerere alikataa madini yasichimbwe mpaka watanzania wananchi wasome na wapate Akili ya kujua thamani ya hayo madini lakini badala yake hao waliokuwa wanasubiriwa wasome kwanza wakaja kuyagawa madini kwa Nchi kupewa asilimia chache kabisa !! 3% 🙄Inyimwe kabisa mpaka pale tutakapo pata Akili ya kujiongoza wenyewe na kuwa independent and self-sufficient.
Uafrika hasa utanzania ni laana.
Huo mkataba sio wa kijinga,ispokuwa au tatizo ni nchi ina wajinga wengi kupitiliza!.Afadhali tuendelee kupata shida kuliko kusaini mkataba wa kijinga kama huo. Kidogo tukipatacho kina naafuu kuliko kuigawa mali yetu bure. Dogo hacha Upumbafu
Upumbqvu wa hali ya juu.ACHENI KUCHEZEA WATU AKILI KWA KUCHANGANYA VITU VIWILI TOFAUTI,WAKOSOAJI WA DPW,WAPO WENGI NA WAPO HURU,HAO NI WAHAINI,KWA KUTOA KAULI HATARI,AMBAZO ZINAWEZA KUAMASISHA UMMA,KUPINDUA NCHI,KUPINDUA TAIFA WAKATI MWINGINE HAKUHITAJI SILAHA,AU MAJESHI,BALI KAULI CHOCHEZI AMBAZO ZITAUAMSHA UMMA KATIKA KUFANYA YA HOVYO"...
Wa kijinga, utawapaje bandari zetu zote!?? Unawezaje kusaini mkataba unaosema hata kitoee nini huwezi kujitoa? Unawezaje kusaini mkataba ambo unakupa limit ya kufanya shughuli za kimaendeo ktk bandari zako mpaka uwaobe wao ruksa?Huo mkataba sio wa kijinga,ispokuwa au tatizo ni nchi ina wajinga wengi kupitiliza!.
hivi kwa utimamu wako, slaa na mwabukusi wapindue nchi/raisi!!? ni mwehu pekee ndo anaweza kuamini!! Mali, Niger, b. Faso , guinea ni jeshi ndilo lilifanya mapinduzi, na jeshi ndo linauwezo huo , sio raia , raia wanaweza kumtoa rais madarakani kupitia box la Kura. Otherwise Kama Bibi anaogopa kumalizwa nguvu uchaguzi ujao hapo nitakuelewa, na Kama ni hivyo ajipange kwa hoja sio kutumia nguvu za dola.Warioba yupo HURU
Shivji yupo HURU
Tibaijuka yupo HURU
Lissu yupo HURU
Mbowe yupo HURU
NA WENGINE WENGI TU,
SWALI JE?,
-NI KWANINI HAO HAPO PEKEE WANASHIKILIWA?
Tusijitoe ubongo tukajaza kamasi ....