Kwa hiyo wevi wakitumia dola kupora rasilimali za nchi, wasipingwe, wasikataliwe? Ujinga mtupu.Dr salimin aliwah kusema.chezea ndevu usichezee dola. Dola ni kitu complex sana na unaonesha hujui mifumo inavyofanya kaz. Chezea ndevu sichezee dola
Huyu Salmini yuko wapi? Angejaaliwa kuja duniani leo hii angefanya UNGAMO kubwa sana!Dr salimin aliwah kusema.chezea ndevu usichezee dola. Dola ni kitu complex sana na unaonesha hujui mifumo inavyofanya kaz. Chezea ndevu sichezee dola
Unawapeleka lini mahakamani ili wahukumiwe kunyongwa?ACHENI KUCHEZEA WATU AKILI KWA KUCHANGANYA VITU VIWILI TOFAUTI,WAKOSOAJI WA DPW,WAPO WENGI NA WAPO HURU,HAO NI WAHAINI,KWA KUTOA KAULI HATARI,AMBAZO ZINAWEZA KUAMASISHA UMMA,KUPINDUA NCHI,KUPINDUA TAIFA WAKATI MWINGINE HAKUHITAJI SILAHA,AU MAJESHI,BALI KAULI CHOCHEZI AMBAZO ZITAUAMSHA UMMA KATIKA KUFANYA YA HOVYO"...
Pro~Chadema bana mara hawataki mikopo leo tena mnataka mikopo kwa hiyo mnataka serikali iendelee kupewa mikopo kina Slaa waachiwe?Kwa mtindo huu wa kamata weka ndani bambikiza kesi,Mama SAMIA ataliingiza TAIFA kwenye Giza la kiuchumi ukizingatia yeye Hana mbinu mbadala za kuinua uchumi wa Nchi wazo kuu Kwake Ni kukopo tu Kisha pigs panga kidogo aweke kwenye mfumo wake iliyotoboka usio na manufaa kwa Tanzania yetu.
Kila kukicha dila inapanda na shs yetu inapiromoka.Na bado Hekima imekosekana kabisa kwa hili suala la Bandari ZETU.Mmebakia Kung:ang'nia tu Waarabu wa Dubai na dp world yao.
Dunia Sasa Ni Kijiji utakwepa wapi kulaumiwa wakati ukweli uko wazi ,Unawashika Hao Alina MWABUKUSI,MDUDE,MADELEKA NA DR SLAA Kwa lipi yaani.
Kupinduluwa???
Au mnataka JESHI Liiingilie Kati ili mjue kupinduluwa kukoje.
Tanzania haiwezi kujificha ili habari zake zisijulikane kila kitu Kiko wazi kelele Njema za kudai Bandari ZETU zisitolewe bure zimefika.Utanyimwa MIKOPO na Waarabu watakuacha tu,Maana huu Moto usipouangalia utakuwakia popote ulipo mpaka kwenye miguu,kitandani,bafuni hata kwenye vikao vyote hata vile vya Siri.
Waachie hao bila kuchelewa na wasidhurie Wala adiwrpo wa kupoteza maisha yso.
Zaidi ya hapo WENGI WATAAMIMINI WEWE NDIO ULIKUWA UNAMSHAURI VIBAYA MZEE MAGU.Ukuacha kuitwa Jina zuri la HESHIMA MAADAMU PRESEDENT ukaanza kuitwa DIKTETA hapo itakuwa imekula kwako.
Nchi hii Ina RASILIMALI nyingi Sana inakuwaje uchumi uanfukie mikononi mwako? Unatumiwa muda mwingi kuwakabili wanakukosoa Badala ya kujijenga NCHI YETU.
Usije ukasema Hatujawahi kukuambia-,
CHEO NI DHAMANA,Hasa hiki ulichokipata kwa kudra za mwenyezi MUNGU.
Penda watu wako unawaongoza,
Tanzania bado Ina UMASIKINI mwingi unaosababishwa na ninyi viongozi wachumia Tumbo zenu.Hakuna mikakati ya kuondoa UMASIKINI Ila mna mipango na mikakati ya kuongeza Masikini na wajinga ili muendelee kutawala.
Endeleeni kuliamsha,Bado kidogo Sana WATANZANIA wataamka usingizini wakiingia baranarani KUANDAMANA,
WEMBE MNAOULILIA UTAUPATA NA UTAWAKATA WENYEWE.
Jenga uchumi wa Nchi yetu achana na Siasa za kutesa WATANZANIA kwa Mambo halali na sahihi na ya kweli wanayoyadai.View attachment 2720405View attachment 2720406View attachment 2720407
Tanzania haina sheria ya kunyonga,hawa watakuwa wamechanganyikiwa tu,mahakama itakuwa na maamuzi sahihi nao, binafsi Mimi kama Mimi crocodiletooth, ningewasweka Ndani kwa lengo la kuwafundisha namna NZURI ya kutumia ndimi zetu kwa usahihi,😀😀😀hasa unapokuwa unautaarifu umma jambo Fulani.Unawapeleka lini mahakamani ili wahukumiwe kunyongwa?
Kwa mtindo huu wa kamata weka ndani bambikiza kesi, mama samia ataliingiza taifa kwenye giza la kiuchumi ukizingatia yeye hana mbinu mbadala za kuinua uchumi wa nchi wazo kuu kwake ni kukopo tu kisha pigs panga kidogo aweke kwenye mfumo wake iliyotoboka usio na manufaa kwa tanzania yetu.
Kila kukicha dila inapanda na shs yetu inapiromoka. Na bado hekima imekosekana kabisa kwa hili suala la bandari zetu. Mmebakia kung'ang'ania tu Waarabu wa Dubai na DP world yao.
Dunia sasa ni kijiji utakwepa wapi kulaumiwa wakati ukweli uko wazi, unawashika hao alina mwabukusi, mdude, madeleka na dr slaa kwa lipi yaani. Kupinduluwa? Au mnataka jeshi liiingilie kati ili mjue kupinduluwa kukoje.
Tanzania haiwezi kujificha ili habari zake zisijulikane kila kitu kiko wazi kelele njema za kudai bandari zetu zisitolewe bure zimefika. Utanyimwa mikopo na waarabu watakuacha tu, maana huu moto usipouangalia utakuwakia popote ulipo mpaka kwenye miguu, kitandani, bafuni hata kwenye vikao vyote hata vile vya siri.
Waachie hao bila kuchelewa na wasidhurie wala adiwrpo wa kupoteza maisha yso. Zaidi ya hapo wengi wataamimini wewe ndio ulikuwa unamshauri vibaya Mzee Magu. Ukuacha kuitwa jina zuri la heshima maadamu presedent ukaanza kuitwa dikteta hapo itakuwa imekula kwako.
Nchi hii ina rasilimali nyingi sana inakuwaje uchumi uanfukie mikononi mwako? Unatumiwa muda mwingi kuwakabili wanakukosoa badala ya kujijenga nchi yetu.
Usije ukasema hatujawahi kukuambia:
Cheo ni dhamana, hasa hiki ulichokipata kwa kudra za mwenyezi Mungu. Penda watu wako unawaongoza,
Tanzania bado ina umasikini mwingi unaosababishwa na ninyi viongozi wachumia tumbo zenu.Hakuna mikakati ya kuondoa umasikini ila mna mipango na mikakati ya kuongeza masikini na wajinga ili muendelee kutawala.
Endeleeni kuliamsha, bado kidogo sana Watanzania wataamka usingizini wakiingia baranarani kuandamana,
Wembe mnaoulilia utaupata na utawakata wenyewe.
Jenga uchumi wa nchi yetu achana na siasa za kutesa watanzania kwa mambo halali na sahihi na ya kweli wanayoyadai.
View attachment 2720405View attachment 2720406View attachment 2720407
Madini ya Tanzanite yana patikana Tanzania pekee, lakini anaye ongoza kwa kuuza Tanzanite Worldwide ni India.Nyerere alikataa madini yasichimbwe mpaka watanzania wananchi wasome na wapate Akili ya kujua thamani ya hayo madini lakini badala yake hao waliokuwa wanasubiriwa wasome kwanza wakaja kuyagawa madini kwa Nchi kupewa asilimia chache kabisa !! 3% [emoji849]
Maajabu !!Madini ya Tanzanite yana patikana Tanzania pekee, lakini anaye ongoza kwa kuuza Tanzanite Worldwide ni India.
Kweli tuna laana..
Unatakiwa uwe Mpumbavu wa kiwango Cha juu Sana ili usikubaliane na ukweli kwamba BANDARI ZETU zinatolewa bure kwa Waarabu wa dp world.Upuuzi,aliyekudanganya ni nani? Kwani hujui kwamba Kuna vyanzo vingi vya kupata mikopo?
Mwisho beberu anatumikia maslahi hatumikii wapuuzi wachache kama hao uliowataja hapo Juu.
Hakuna laana SISI kuzaliwa kuwa Waafrika ama WATANZANIA laana inaletwa na mijizi na milafi isiyotosheka na mishahara yao.Inyimwe kabisa mpaka pale tutakapo pata Akili ya kujiongoza wenyewe na kuwa independent and self-sufficient.
Uafrika hasa utanzania ni laana.
Ulishawahi kuona wapi mhaini akapewa dhamana! Kweli uko serious ndgACHENI KUCHEZEA WATU AKILI KWA KUCHANGANYA VITU VIWILI TOFAUTI,WAKOSOAJI WA DPW,WAPO WENGI NA WAPO HURU,HAO NI WAHAINI,KWA KUTOA KAULI HATARI,AMBAZO ZINAWEZA KUAMASISHA UMMA,KUPINDUA NCHI,KUPINDUA TAIFA WAKATI MWINGINE HAKUHITAJI SILAHA,AU MAJESHI,BALI KAULI CHOCHEZI AMBAZO ZITAUAMSHA UMMA KATIKA KUFANYA YA HOVYO"...
Wewe Ni mwerevu mlikataa kwa kusema Ni makubaliano na sio mkataba.Wewe ndio mpumbavu,kama zimetolewa Bure Kwa hiyo Serikali itakuwa haikusanyi Kodi badala yake anakusanya DP World si ndio?
Mpumbavu kama wewe ndio unaweza amini hivyo
Inawezekana ulikuwa na point yenye maana lkn umeandika kwa hasira sana hadi ukapoteza mwelekeo.Kwa mtindo huu wa kamata weka ndani bambikiza kesi, mama samia ataliingiza taifa kwenye giza la kiuchumi ukizingatia yeye hana mbinu mbadala za kuinua uchumi wa nchi wazo kuu kwake ni kukopo tu kisha pigs panga kidogo aweke kwenye mfumo wake iliyotoboka usio na manufaa kwa tanzania yetu.
Kila kukicha dila inapanda na shs yetu inapiromoka. Na bado hekima imekosekana kabisa kwa hili suala la bandari zetu. Mmebakia kung'ang'ania tu Waarabu wa Dubai na DP world yao.
Dunia sasa ni kijiji utakwepa wapi kulaumiwa wakati ukweli uko wazi, unawashika hao alina mwabukusi, mdude, madeleka na dr slaa kwa lipi yaani. Kupinduluwa? Au mnataka jeshi liiingilie kati ili mjue kupinduluwa kukoje.
Tanzania haiwezi kujificha ili habari zake zisijulikane kila kitu kiko wazi kelele njema za kudai bandari zetu zisitolewe bure zimefika. Utanyimwa mikopo na waarabu watakuacha tu, maana huu moto usipouangalia utakuwakia popote ulipo mpaka kwenye miguu, kitandani, bafuni hata kwenye vikao vyote hata vile vya siri.
Waachie hao bila kuchelewa na wasidhurie wala adiwrpo wa kupoteza maisha yso. Zaidi ya hapo wengi wataamimini wewe ndio ulikuwa unamshauri vibaya Mzee Magu. Ukuacha kuitwa jina zuri la heshima maadamu presedent ukaanza kuitwa dikteta hapo itakuwa imekula kwako.
Nchi hii ina rasilimali nyingi sana inakuwaje uchumi uanfukie mikononi mwako? Unatumiwa muda mwingi kuwakabili wanakukosoa badala ya kujijenga nchi yetu.
Usije ukasema hatujawahi kukuambia:
Cheo ni dhamana, hasa hiki ulichokipata kwa kudra za mwenyezi Mungu. Penda watu wako unawaongoza,
Tanzania bado ina umasikini mwingi unaosababishwa na ninyi viongozi wachumia tumbo zenu.Hakuna mikakati ya kuondoa umasikini ila mna mipango na mikakati ya kuongeza masikini na wajinga ili muendelee kutawala.
Endeleeni kuliamsha, bado kidogo sana Watanzania wataamka usingizini wakiingia baranarani kuandamana,
Wembe mnaoulilia utaupata na utawakata wenyewe.
Jenga uchumi wa nchi yetu achana na siasa za kutesa watanzania kwa mambo halali na sahihi na ya kweli wanayoyadai.
View attachment 2720405View attachment 2720406View attachment 2720407
Kwani wewe akili huna hadi ukurupuke kufanya fujo kwa kauli ya Mdude?ACHENI KUCHEZEA WATU AKILI KWA KUCHANGANYA VITU VIWILI TOFAUTI,WAKOSOAJI WA DPW,WAPO WENGI NA WAPO HURU,HAO NI WAHAINI,KWA KUTOA KAULI HATARI,AMBAZO ZINAWEZA KUAMASISHA UMMA,KUPINDUA NCHI,KUPINDUA TAIFA WAKATI MWINGINE HAKUHITAJI SILAHA,AU MAJESHI,BALI KAULI CHOCHEZI AMBAZO ZITAUAMSHA UMMA KATIKA KUFANYA YA HOVYO"...