Tanzania inaweza kuwa ni Tanganyika bila Zenj: ( T)-- Azania

Tanzania inaweza kuwa ni Tanganyika bila Zenj: ( T)-- Azania

Nicholas

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2006
Posts
25,260
Reaction score
7,204
Wababodi ktk pitapita zangu ktk wikipedia na page nyingine nimegundua kuwa Tanzania inaweza kuwa Tan kutoka Tanganyika na ~zania kutoka Azania .Azania ya zamani ambayo ilibeba visiwa vingi na pwani ya africa mashariki.

Najaribu angalia mbunifu wa Neno Tanzania ambaye akina Ritz na wadini wengine ( wanaotafuta dini yao ktk kila kitu wa udi na uvumba ili wajiaminishe kuwa dini yao ni ya kweli) walifikia mpa sifa kupitia minajili ya dini anaweza kuwa hakufikiria km Zanzibar ni nchi at all. Inanishawishi kuona hili Tan+Azania.

Mwenye fikra mbadala ya uwezekano wa huyo jamaa mbunifu anayepewa sifa kufikiri kupata Tanzania toka ktk zanzibar na Tanganyika.Kwanini mimi naona chance ya kujenga jina Tanzania kwa fikra za tunachoaminishwa ni very narrow.Au inawezekana siye aliyebuni hilo jina,ila alikuwa ktk List ya waliolipenda.
 
Wababodi ktk pitapita zangu ktk wikipedia na page nyingine nimegundua kuwa Tanzania inaweza kuwa Tan kutoka Tanganyika na ~zania kutoka Azania .Azania ya zamani ambayo ilibeba visiwa vingi na pwani ya africa mashariki.

Najaribu angalia mbunifu wa Neno Tanzania ambaye akina Ritz na wadini wengine ( wanaotafuta dini yao ktk kila kitu wa udi na uvumba ili wajiaminishe kuwa dini yao ni ya kweli) walifikia mpa sifa kupitia minajili ya dini anaweza kuwa hakufikiria km Zanzibar ni nchi at all. Inanishawishi kuona hili Tan+Azania.

Mwenye fikra mbadala ya uwezekano wa huyo jamaa mbunifu anayepewa sifa kufikiri kupata Tanzania toka ktk zanzibar na Tanganyika.Kwanini mimi naona chance ya kujenga jina Tanzania kwa fikra za tunachoaminishwa ni very narrow.Au inawezekana siye aliyebuni hilo jina,ila alikuwa ktk List ya waliolipenda.

Kwa nini imekuwa shida kurudisha Jina Tanganyika?

Kwa nini hatutaki jina Tanganyika?

Jaji Warioba amefunguka leo. Amesema kitu ambacho wengi hatukuwahi kukisiskia. Amesema:

"Unajua Serikali ya Muungano na Tanganyika ilikuwa pamoja, sasa ukianzisha Serikali ya Tanganyika, lazima kwenye mpangilio muanze kugawana hata wafanyakazi kwa kuwa wafanyakazi hao walikuwa ni wa Muungano. Hapo ndiyo mtaamua wafanyakazi gani watakwenda katika Serikali ya Tanganyika, watakaobaki katika Muungano na wale watakaokwenda Zanzibar." link Warioba: Ikulu kugawanywa - Kitaifa - mwananchi.co.tz

Serikali ya Tanganyika imo ndani ya Serikali ya Muungano. Tume inapendekeza serikali ya Tanganyika ijivue GAMBA.
Hili Tanganyika ndio jina la nchi yetu.Ndilo jina tulilotumia kuingia mkataba wa Muungano na Zanzibar. Kwa nini tunatafuta kila aina ya sababu,ulalamishi kulikataa jina halali la mshiriki/mbia mmoja wa muungano?

Kuna ubaya gani katika jina Tanganyika ambao wengi wetu hatuuelewi?
Kwa nini Nicholas hutaki turudie jina Tanganyika?
Jina Tanganyika lina kasoro? Zipi?

Tanzania ni hatimiliki ya Tanganyika na Zanzibar.

Je kama Rasimu itapitishwa na kuwepo Shirikisho, huoni kuwa Tanzania bado litakuwa ndio jina la Shirikisho?

Utawezaje kuwa na Tanzania mbili?

Au unashauri Tanganyika ichukue jina la Tanazania?

Mimi napendekeza turudishe Tanganyika ili liendane na lile ziwa Tanganyika.
 
Kwa nini imekuwa shida kurudisha Jina Tanganyika?

Kwa nini hatutaki jina Tanganyika?

Jaji Warioba amefunguka leo. Amesema kitu ambacho wengi hatukuwahi kukisiskia. Amesema:

"Unajua Serikali ya Muungano na Tanganyika ilikuwa pamoja, sasa ukianzisha Serikali ya Tanganyika, lazima kwenye mpangilio muanze kugawana hata wafanyakazi kwa kuwa wafanyakazi hao walikuwa ni wa Muungano. Hapo ndiyo mtaamua wafanyakazi gani watakwenda katika Serikali ya Tanganyika, watakaobaki katika Muungano na wale watakaokwenda Zanzibar." link Warioba: Ikulu kugawanywa - Kitaifa - mwananchi.co.tz

Serikali ya Tanganyika imo ndani ya Serikali ya Muungano. Tume inapendekeza serikali ya Tanganyika ijivue GAMBA.
Hili Tanganyika ndio jina la nchi yetu.Ndilo jina tulilotumia kuingia mkataba wa Muungano na Zanzibar. Kwa nini tunatafuta kila aina ya sababu,ulalamishi kulikataa jina halali la mshiriki/mbia mmoja wa muungano?

Kuna ubaya gani katika jina Tanganyika ambao wengi wetu hatuuelewi?
Kwa nini Nicholas hutaki turudie jina Tanganyika?
Jina Tanganyika lina kasoro? Zipi?


Tanzania ni hatimiliki ya Tanganyika na Zanzibar.

Je kama Rasimu itapitishwa na kuwepo Shirikisho, huoni kuwa Tanzania bado litakuwa ndio jina la Shirikisho?

Utawezaje kuwa na Tanzania mbili?

Au unashauri Tanganyika ichukue jina la Tanazania?

Mimi napendekeza turudishe Tanganyika ili liendane na lile ziwa Tanganyika.

In fact sio km sitaki ila nimejaribu kuonyesha uongo wa kwanza ktk Jina lenyewe,Halafu ningefuatia uliza kwanini wafanye hivyo?Je malengo yao yamefikiwa ktk hilo? Na hayo malengo yao yana faida gani kwa taifa?
 
Wababodi ktk pitapita zangu ktk wikipedia na page nyingine nimegundua kuwa Tanzania inaweza kuwa Tan kutoka Tanganyika na ~zania kutoka Azania .Azania ya zamani ambayo ilibeba visiwa vingi na pwani ya africa mashariki.

Najaribu angalia mbunifu wa Neno Tanzania ambaye akina Ritz na wadini wengine ( wanaotafuta dini yao ktk kila kitu wa udi na uvumba ili wajiaminishe kuwa dini yao ni ya kweli) walifikia mpa sifa kupitia minajili ya dini anaweza kuwa hakufikiria km Zanzibar ni nchi at all. Inanishawishi kuona hili Tan+Azania.

Mwenye fikra mbadala ya uwezekano wa huyo jamaa mbunifu anayepewa sifa kufikiri kupata Tanzania toka ktk zanzibar na Tanganyika.Kwanini mimi naona chance ya kujenga jina Tanzania kwa fikra za tunachoaminishwa ni very narrow.Au inawezekana siye aliyebuni hilo jina,ila alikuwa ktk List ya waliolipenda.

Swali dogo tu Master junior Nicholas, hivyo unajuwa kuwa hivyo visiwa unavyovitaja vilikuwa ni sehemu ya Zanzibar? Iwapo tunataka kutumia historia!
 
In fact sio km sitaki ila nimejaribu kuonyesha uongo wa kwanza ktk Jina lenyewe,Halafu ningefuatia uliza kwanini wafanye hivyo?Je malengo yao yamefikiwa ktk hilo? Na hayo malengo yao yana faida gani kwa taifa?

Unakusudia kusema yule mhindi wa Tanga alitudanganya?

Link jina
 
Swali dogo tu Master junior Nicholas, hivyo unajuwa kuwa hivyo visiwa unavyovitaja vilikuwa ni sehemu ya Zanzibar? Iwapo tunataka kutumia historia!

Sidhani Kama Zenj iliwahi kuwa kubwa kuliko Azania.Azania ilianzia somalia kushuka na pwani hadi msumbiji na visiwa vyote vinavyoangalia pwani.Zanzibar haijawahi kufikia huo ukubwa na ilipewa jina na mwarabu...ila azania ni wagiriki.So wala sihitaji jua unachoniuliza.Ni bora tuu ungetoa maelezo yako na reference kuliko kuuliza swali nami nikujibu ndio uendelee andika maelezo yako.Ni km ukute website imeandikwa [ENTER] ktk home page.

Halafu ujipe shija na kuji expose kila mahali ...master Junior ndio nini?Ndio ku belittle?Lissu aliwaambia wabunge kuwa kanunu zinawataka wawaite wabunge kwa prefix ya mheshimiwa......kwa hiyo kujaribu bilittle au kumkuza mtu ili ujipe advantage haikusaidii sana.
 
Unakusudia kusema yule mhindi wa Tanga alitudanganya?

Link jina

haha...hata mwenyewe hakuthubutu jifagilia kwa hilo hadi akina Ritz, majina yao ya kitumwa na kunyenyekea ujinga km wala mirungi walipomtazama kwa jicho la dini.Walipomtazama kwa jicho linalotafuta chochote popote ili wapate jipa matumaini ktk dini kwa kusema unaona....hiki na hiki,kimetaja hiki ktk dini yetu...

Ila ni ngumu sana kupata Tanganyika na Zanzibar ktk "Tanzania". Hata ukiruhusu maneno abnormal km "Mbwa" "badala MMBWA" Ila hapa unaweza pata Tan +Zania.Na pengine ikamaanisha Tanganyika +Azania.

Sipani clue ni wapi wazo la lilipelekea kuwa namna hii....kufupisha jina si kigezo kwani kuna miji na nchi zenye majina marefu kuliko yetu na yanatamkika.Huyu jamaa hakuwa na chochote chenye kubeba umaana wa taifa...alikusanya maneno bila kujali muungano ila jina la kutamkika tuu.Na hii inaweza pia ibua maswali km ni yeye kweli.
 
Sidhani Kama Zenj iliwahi kuwa kubwa kuliko Azania.So wala sihitaji jua unachoniuliza.Ni bora tuu ungetoa maelezo yako na reference kuliko kuuliza swali nami nikujibu ndio uendelee andika maelezo yako.Ni km ukute website imeandikwa [ENTER] ktk home page.

Halafu ujipe shija na kuji expose kila mahali ...master Junior ndio nini?Ndio ku belittle?Lissu aliwaambia wabunge kuwa kanunu zinawataka wawaite wabunge kwa prefix ya mheshimiwa......kwa hiyo kujaribu bilittle au kumkuza mtu ili ujipe advantage haikusaidii sana.

Wacha niague hapo! Nahisi kama hili hlijuwi na limeharibu uongo wako. Kama hutaki kujibu ni hiyari yako lakini message sent, that is matters!
 
Wacha niague hapo! Nahisi kama hili hlijuwi na limeharibu uongo wako. Kama hutaki kujibu ni hiyari yako lakini message sent, that is matters!

Unataka sema nini hata ktk red? That Matters,That is matter, au?Kwa kujibaraguza mpo juu...unapropose swali badala ya kuuliza?Unaniomba nijibunie swali wrong?RIP...
 
Mtapapurana sana tu watanganyika mwaka huu,zanzibar haitaji jengine pungufu ya mamlaka kamili,endeleeni kutafuta majina ya kujiita.
 
haha...hata mwenyewe hakuthubutu jifagilia kwa hilo hadi akina Ritz, majina yao ya kitumwa na kunyenyekea ujinga km wala mirungi walipomtazama kwa jicho la dini.Walipomtazama kwa jicho linalotafuta chochote popote ili wapate jipa matumaini ktk dini kwa kusema unaona....hiki na hiki,kimetaja hiki ktk dini yetu...

Ila ni ngumu sana kupata Tanganyika na Zanzibar ktk "Tanzania". Hata ukiruhusu maneno abnormal km "Mbwa" "badala MMBWA" Ila hapa unaweza pata Tan +Zania.Na pengine ikamaanisha Tanganyika +Azania.

Sipani clue ni wapi wazo la lilipelekea kuwa namna hii....kufupisha jina si kigezo kwani kuna miji na nchi zenye majina marefu kuliko yetu na yanatamkika.Huyu jamaa hakuwa na chochote chenye kubeba umaana wa taifa...alikusanya maneno bila kujali muungano ila jina la kutamkika tuu.Na hii inaweza pia ibua maswali km ni yeye kweli.
Nicholas
Pitia hiyo link Jina ndio uendelee ku-rap!

Kama inakuwia vigumu au kama huna muda. Mhindi(Ga-ba-cho-li) anasema,
Alichukua Tan ya Tanganyika pia Alichukua Zan ya Zanzibar na kumalizia na herufi za jina lake Iqbal Ahmadiya IA
Jamaa alifanya "usanii" tu kama kawaida yetu wabongo.

Tan-Zan-IA, Tanzania Hutaki unaacha!
 
Swali dogo tu Master junior Nicholas, hivyo unajuwa kuwa hivyo visiwa unavyovitaja vilikuwa ni sehemu ya Zanzibar? Iwapo tunataka kutumia historia!

Na hata hiyo Tanganyika yenyewe ilikuwa part ya himaya ya Zanzibar, inaonekana haelewi historia huyo, anababia-babia tu.
 
Nicholas
Pitia hiyo link Jina ndio uendelee ku-rap!

Kama inakuwia vigumu au kama huna muda. Mhindi(Ga-ba-cho-li) anasema,
Alichukua Tan ya Tanganyika pia Alichukua Zan ya Zanzibar na kumalizia na herufi za jina lake Iqbal Ahmadiya IA
Jamaa alifanya "usanii" tu kama kawaida yetu wabongo.

Tan-Zan-IA, Tanzania Hutaki unaacha!
Nimesoma,mara nyingi sana tangu ikiwa hapa JF,ndio maana nikalisema mapema.ila mtu anaweza sema apendacho muda wowote...na anaweza tumia coincidence tuu...na pengine anaweza asiwe yeye mbunifu wa hayo.

Babako anaweza sikuambie ilikuweje akazaa na mamako kwa vile sasa hivi atmosphere imebadilika na anahisi kuna politics ndani yake.Inawezekana hakuwahi mpenda ila alikuwa njaa kali,akapata msosi na dose, anaweza kuwa limbaka, inaweza kuwa hakuwahi na option nyingine.Ila leo anaweza kuambia mambo mengi sana ...

Kuna vingi vinatia mashaka ndio maana nikaleta hiyo changamoto hapa.
 
Na hata hiyo Tanganyika yenyewe ilikuwa part ya himaya ya Zanzibar, inaonekana haelewi historia huyo, anababia-babia tu.

Hahaa........Tanganyika ilikuwa hadi Rwanda na Burundi ,ingekuwa vipi himaya ya Zenj?Au wizi na udhalilishaji wa wawaarabu ulivuka ndio unakuaminisha hivyo?Basi tuseme na congo ni sehemu ya Rwanda?Au africa ni sehemu ya China?
 
Kwa nini imekuwa shida kurudisha Jina Tanganyika?

Kwa nini hatutaki jina Tanganyika?

Jaji Warioba amefunguka leo. Amesema kitu ambacho wengi hatukuwahi kukisiskia. Amesema:

"Unajua Serikali ya Muungano na Tanganyika ilikuwa pamoja, sasa ukianzisha Serikali ya Tanganyika, lazima kwenye mpangilio muanze kugawana hata wafanyakazi kwa kuwa wafanyakazi hao walikuwa ni wa Muungano. Hapo ndiyo mtaamua wafanyakazi gani watakwenda katika Serikali ya Tanganyika, watakaobaki katika Muungano na wale watakaokwenda Zanzibar." link Warioba: Ikulu kugawanywa - Kitaifa - mwananchi.co.tz

Serikali ya Tanganyika imo ndani ya Serikali ya Muungano. Tume inapendekeza serikali ya Tanganyika ijivue GAMBA.
Hili Tanganyika ndio jina la nchi yetu.Ndilo jina tulilotumia kuingia mkataba wa Muungano na Zanzibar. Kwa nini tunatafuta kila aina ya sababu,ulalamishi kulikataa jina halali la mshiriki/mbia mmoja wa muungano?

Kuna ubaya gani katika jina Tanganyika ambao wengi wetu hatuuelewi?
Kwa nini Nicholas hutaki turudie jina Tanganyika?
Jina Tanganyika lina kasoro? Zipi?

Tanzania ni hatimiliki ya Tanganyika na Zanzibar.

Je kama Rasimu itapitishwa na kuwepo Shirikisho, huoni kuwa Tanzania bado litakuwa ndio jina la Shirikisho?

Utawezaje kuwa na Tanzania mbili?

Au unashauri Tanganyika ichukue jina la Tanazania?

Mimi napendekeza turudishe Tanganyika ili liendane na lile ziwa Tanganyika.


Wabeeja sana ngosha!!!!! Tanganyika yangu iiiyoooo inarudi!
 
Nimesoma..ila mtu anaweza sema apendacho muda wowote...na anaweza tumia coincidence tuu...na pengine anaweza asiwe yeye mbunifu wa hayo. Kuna vingi vinatia mashaka ndio maana nikaleta hiyo changamoto hapa.

Nico sikiza. Historia ya dunia imejaa mataifa yamejifunza kutokana na makosa. Katika baadhi ya makosa ambayo sisi wananchi wa Tanganyika tunatakiwa kukubali kama makosa ni hili la Kuingia ubia na matapeli wanaitwa Zanzibar. Tapeli ni mtu anayejitajirisha kwa mali yako wewe kwa ulaghai. Tumewalea Wazanzibari kwa karibia miaka 50 sasa pasipo kupata kitu pale. Tumewalinda, tumewalisha, tumewatetea katika mengi huku chao kikiwa chao na chetu kikiwa chetu sote. Na hakuna hata kauli moja ya shukrani kutoka kwa hawa matapeli. Huu ni ujinga kwa upande wetu!

Tumesoma nini katika historia hii?

Nyerere alipata madaraka katika umri mdogo. Kijana akiwa kwenye umri wa miaka kati ya 21 hadi huko 38, 39 huwa umri ambao vijana wanakuwa idealistic sana. Nyerere alipata kazi kubwa mno kabla ya perfect maturity. Alikuwa bado yupo katika hii bracket ya binadamu idealistic and often unrealistic; ni umri wa kuamini unaweza fanya kitu hakiwezekani. Nyerere alibeba mawazo ya Pan Africanism kutoka African Student Unions vyuo vikuu vya Uingereza na kwingineko Ulaya akataka ku-implement yale mawazo kwa spidi ya radi. Mengine yalikuwa hayawezekani that quick.

Nadhani Karume alikuwa kavuka huu umri. Ndo maana pamoja na elimu yake ya vitabuni kuonekana ndogo, alikuwa na elimu dunia kubwa zaidi kuliko Nyerere. Binafsi naona Karume alimzidi ujanja Nyerere. Huu muungano ulijengwa katika mazingira ya Watanganyika kutapeliwa sana. Jomo Kenyatta alikuwa na Umri mkubwa zaidi kuliko Nyerere wakati hili hitaji la kuungana lilipoletwa. Kenyatta alikataa upuuzi huu. Nyerere angekuwa na umri wa miaka 50 wakati muungano huu unafanyika pengine angekataa, au hata angeelekeza serikali moja. Zanzibar walihitaji ulinzi wa karibu sana wakati ule kuliko sasa na hitaji hili lingewalazimisha kuboresha terms. Utaingiaje katika union ubaki na wimbo wako wa taifa, bendera yako ya taifa, cort of arms yako na watu wa upande mmoja wakose haki ya kumiliki ardhi upande wa pili? Huu kama si utapeli ni nini? Hitaji la ulinzi bado lipo kwa sasa pale Zannzibar, lakini mazingira yamebadilika watalindwa na EAC, watalindwa na AU, watalindwa kwa mtindo ambao tunamlinda Kabila sasa. We don't need Zanzibar.

Tumejifunza katika historia kwamba Tumewalinda watu wa Zanzibar, tumewalisha watu wa Zanzibar, Tumewapa hifadhi ya ardhi watu wa Zanzibar, tumewatetea kisiasa watu wa Zanzibar kwa karibu miaka hamsini pasipo shukrani kutoka kwao.

Nico. tenda wema nenda zako. Tanganyika ni jina zuri. Tanganyika ni nchi nzuri. Achana na Tanzania, achana na hawa matapeli wa kisiasa kwa amani.
 
watanganyika tujiandae tuu kuwabana ktk eneo la bahari,.
 
TAN = Tanganyika
ZAN = Zanzibar
IA = SomalIA, AlgerIA, NamibIA, EthiopIA, NigerIA, LiberIA, ZambIA,

Ukiondoa Zanzibar kwenye jina hili nchi yetu itaitwa TANIA.
And we deserve the name kwa sababu mambo mengi ya muhimu tunafanya UTANI.

To move the world we must first move ourselves - Socrates
 
Hahaa........Tanganyika ilikuwa hadi Rwanda na Burundi ,ingekuwa vipi himaya ya Zenj?Au wizi na udhalilishaji wa wawaarabu ulivuka ndio unakuaminisha hivyo?Basi tuseme na congo ni sehemu ya Rwanda?Au africa ni sehemu ya China?

Tatizo lako hujui Uarabu ni nini wala Waarabu ni nani, na pia huelewi Uafrika ni nini na nani.

Nyinyi ndio wale mnaojazwa ujinga na mnaukubali bila hata ya kufikiri, hint; Jee unajuwa kuwa Waarabu wengi wako Afrika kuliko kwingine kokote duniani? Jee, unajuwa kuwa Waarabu hawakuja Afrika? Jee, unajuwa kuwa Zanzibar (land of the zenj) ilikuwa ni sehemu kubwa sana ya Afrika na makao yake makuu yalikuwa hapo Unguja?

Historia huijui au huitaki kuijuwa ni ile ile uliyojazwa nayo katika shule zile-zile (za Father Kit Cunningham) ndio zinakufanya usijielewe hata nafsi yako.

Kina nyinyi mimi huwaita "wabaguzi wa ujinga". Mmejazwa ujinga wa kujibaguwa na kila siku mnaimba kuwa wazungu wana "divide and rule" lakini hamjijui kuwa ndicho hichohicho mlichojazwa nacho. Akili zenu zimefungwa, macho yenu hayaoni, masikio hayasikii na midomo haisemi, nyoyo zimejaa maradhi na hamzidishiwi ila maradhi.
 
Back
Top Bottom