Naona povu linakutoka.
Si unaona ulivyo mbumbumbu? unauingiza Uislaam kwenye Uarabu. Nilikwambia huujui Uarabu ni nini wala Uafrika ni nini.
Huijui Kilwa wala Azania, umejazwa ujinga wa ubaguzi, kiasi ukitwajwa Uarabu wewe tayari umeshauingiza Uislaam. Hujui kuwa Waarabu ndio walioupinga kwanza Uislaam. Nnna uhakika huna ilm hiyo.
Hizo elimu za nyota(horoscope) zinawasumbua...bora mngesoma astronomy...nimekuambia thibitisha wapi sijui Arabism na Islamism unajifanya hujaelewa.
Azania ni term iliyoanzishwa na watu wa nje ya africa ila si waarabu, na walivyoisema alisema kwa reference za mto unaomwaga maji baharini ktk ukanda wa EA.na haiwezi kuwa pangani, kwa sababu nyingine ila iliwakilisha vyema Kilwa .na huko palipatikana fedha za kale na vitu vingine vya warumi.
Kurefer ktk islam na si Arabs ni jambo sahihi kwa vile waarabu kabla ya uislam walikuwa na mahusiano tofauti sana na dunia, ukilinganisha na siku za baada ya Uislam.Pi andicho kinachoongeza mijadala hapa.Kwani ndio mnapigana mkidhani vitu fulani muaminivyo kuhusu uislma ni sahihi.
Waarabu walikuwa sahihi sana kuupinga uslam ingawa Enthiopia walifanya ujinga na hadi leo unawacost.Mfalme wa Ethiopia kumkaribisha na kumpa hifadhi Mohamed na majeshi kulimponza sana.Na hilo watalijutia sana wahabeshi...sasa hivi nchini kwao hakuna mwislam hata mwenye shukrani kwa hilo...wapo busy kuingamiza nchi yao.
Kwa kukujuza tu, Uarabu haukuja Afrika, hivi unajuwa hata maana ya Afrika? naona u-finyu sana katika uelewa na unachokijuwa ni ule ubaguzi wa ujinga uliojazwa nao shule zile zile, unazijuwa zipi.
Wewe mwehu sana unadhani kila mtu anamezeshwa?kumezeshwa mmezoea nyie ndio manakariri maandiko eti kuyahifadhi..ndio maana vita ya Badr iliwaacha na mistari pungufu...karne hii mnakarii na computers ,na vitabu vya kuhifadhi kila kitu.Bado mnajifanya kuwa hard disk.
Yaani kikisemwa kitu ambacho kinaonyesha upuuzi wa waarabu ,wewe unasema ubaguzi.kweli dini yako imekushida kubaya.Kwa mwarabu mtu mwingine asiye qurayish hata ashike dini kivipi bado si equal.Nanyi mnalijua hilo ndio maana mnatumika sana.
Historia ya waarabu km ilivyoandikwa na wenyewe na watu wengine inaonyesha wazi Waarabu ni wageni Africa km wengine..Muhamad ktk quran anawasema "
vichwa vyao" tena anatumia "...hata Abysinian...wenye vichwa km....".Dharau ya kwanza kwa mwafrica.Neno "...Zenj..."Limetumika kusema nchi ya watu weusi".haya yote yanaonyesha kuwa Africa ilikuwa foreign kwa waarabu
Halfu unasemaje zenj ni yasili ya mwarabu?At least ungesema nchi km Misri kwa ukaribu wangeweza kuw awlianzisha mahusinao muda mrefu.Kwani waarabu walifanya biashara na wayahudi na wengine.Na tayari walikuw ana Wakristu wengi tuu hadi Mecca yenyewe.
Pata darsa dogo hapa:
Arab"iya" = Caravan, "Arab" peoples of the Caravan, ie wahamahamaji.
Africa = Afri"t", kaitafute maana ya Afrit ni nini utajuwa kwa nini unaitwa Mwafrika na kwa ujinga uliojazwa wewe unakubali mbiombio na kuona kuwa ni sifa nzuri. Laiti ungelijuwa.
Kwa hiyo wakiwa wa Caravana ndio wana uhalali wa kukutawala na kukuuza?Halafu wapi nimeona sifa na kujazwa ujinga?Mna milions of ways z akuwafanya muwe watumwa.Waislam n autumwa ni damu damu...wana vitu vingi sana vya kuwazuia fikra zao,wana vitu vingi wamewekewa ili wasikombolewe.Wanaambiwa wengine wana hila,fitna,husda, na mengine,basi wakitoka nje wakikutana na kitu kimoja wanabaki si unaona.Mbaya hizo tuhuma ndizo zinawatafuna wao wenyewe kuliko.....
Masikini weee..."
Mnahitaji jua kweli na weli iwaweke huru".Jesus` "Injil" is the most Liberating word ever.
HUku kufananisha ujinga hauna maana,waafric ahwakujipa jina wenyewe, kw ahiyo fikra za wageni ziliwapa mjina mengi tuu..kwa hiyo acha elimu za sheikh yahaya ktk vitu real.Tunaongelea Watu na nchi na si nyota hapa.Mimi naweza kuita "kilaza"..50 years hilo jina haliweze tumika kukuhalalishia nchi yoyote.