Tanzania inaweza kuwa ni Tanganyika bila Zenj: ( T)-- Azania

TAN = Tanganyika
ZAN = Zanzibar
IA = SomalIA, AlgerIA, NamibIA, EthiopIA, NigerIA, LiberIA, ZambIA,

why not libyA,africA, kenyA,ugandA,angolA,?

Na mimi naongezea CCM...Chama Cha Mafisadi....nimesea?Km issue ni kupata kinachomatch.....Nami nime Match na Mafisadi ni maCCM na wana Kinga san CCM.
 

Unaweza thibitishia jukwaa sielewi?Mwehu wewe kwa taarifa yako ni area ambayo nina extensive knowledge kuliko mlivyoweza ota na kufikiri.

Hiyo ndio hiding place ya waislam....siku zote wengine hawautambui uislam na maandiko ya kiislama na effect zake kwa waislam.

Acha wehu hembu andika unachotaka andika kipewe majibu na si kujificha kijinga hivyo kuwa sijui.Maccm nao wamekopa huo ujinga,yakikutana na CDM yanaishia kusema kuwa wengine hawajui,sijui hawana uzoefu,sijui wanatukana.Hembu acha uliberali na face reality.Otherwise mtakuwa miserable daima.

Waarabu hawakuja Africa?Nani kakuambia wewe utakuwa mwarabu,ndio waligundua ,janja ya kuwashika watumwa wao ktk imani na kuwaambia "Islam ni asili ya mwafrica". By the way,,, kilwa ilikuwa maarufu kabla ya uislam na ktk maandiko ya kala kabisa ya warumi ,na wagiriki yanaisema hivyo..na hiyo ndio iliyokuwa azania..kabla ya waarabu kuja iita zenj.
 
Unataka sema nini hata ktk red? That Matters,That is matter, au?Kwa kujibaraguza mpo juu...unapropose swali badala ya kuuliza?Unaniomba nijibunie swali wrong?RIP...


"That is what it always matters!"

Sasa wewe unauwa au unafisha?

Kuuliza si ujinga kama unavyofikiri, kama jambo linakukwaza niulize the way you like na nipo kukujibu accordingly.
 
"That is what it always matters!"

Sasa wewe unauwa au unafisha?

Kuuliza si ujinga kama unavyofikiri, kama jambo linakukwaza niulize the way you like na nipo kukujibu accordingly.

Naweza ona na kukuelewa jinsi ulivyojikaza andika haya.
 
Mkuu wazo lako murua kwelikweli. Sisi watanganyika watoto wetu wanaijua tanzania tu. Halafu jina tanganyika hadi leo hatujui waingereza walilitoa wapi. Kwa hiyo wazenj wakikitoa basi sisi tuende jina tanzania kwa msingi huo uliopendekeza.... Safi sana mkuu.
 
Mkuu Nicholas wazo lako murua kwelikweli. Sisi watanganyika watoto wetu wanaijua tanzania tu. Jina tanganyika hata hatujui waingereza walilitoa wapi. Kwa hivyo wazenj wakikitoa tuende jina tanzania kwa msingi huo unaoupendekeza yaani Tan+Azania. Safi sana mkuu.
 

Naona povu linakutoka.

Si unaona ulivyo mbumbumbu? unauingiza Uislaam kwenye Uarabu. Nilikwambia huujui Uarabu ni nini wala Uafrika ni nini.

Huijui Kilwa wala Azania, umejazwa ujinga wa ubaguzi, kiasi ukitwajwa Uarabu wewe tayari umeshauingiza Uislaam. Hujui kuwa Waarabu ndio walioupinga kwanza Uislaam. Nnna uhakika huna ilm hiyo.

Kwa kukujuza tu, Uarabu haukuja Afrika, hivi unajuwa hata maana ya Afrika? naona u-finyu sana katika uelewa na unachokijuwa ni ule ubaguzi wa ujinga uliojazwa nao shule zile zile, unazijuwa zipi.

Pata darsa dogo hapa:

Arab"iya" = Caravan, "Arab" peoples of the Caravan, ie wahamahamaji.
Africa = Afri"t", kaitafute maana ya Afrit ni nini utajuwa kwa nini unaitwa Mwafrika na kwa ujinga uliojazwa wewe unakubali mbiombio na kuona kuwa ni sifa nzuri. Laiti ungelijuwa.
 

Wabeeja sana ngosha!!!!! Tanganyika yangu iiiyoooo inarudi!

Safi sana tunahitaji nini kutoka kwa hawa jamaa wabaguzi wenye dini isiyo wahitaji wenye dini na imani zingine wenye baba zao matapeli wasioshukurani nenda ilala wamejaa ukifika unguja wachomewa biashara yako manufaa gani tunapata. Jina tu linatufanya tuhangaike wanatukana hadhalani serikali yao haijali. Tanganyika iwe ni lazima rasimu ya katiba hii itufikishe kwenye ufumbuzi NI MATUSI KWA WATANGANYIKA KUWA NA UWAKILISHI WA BUNGE LENYE UWIANO WA 50 KWA 20 kwa watu milioni 42 kwa 1 (42,000,000 kwa 1,000,000) nani ametuloga hata tukose akili wacha waende zao tubaki na Tanganyika yetu.
 
"tumewalinda" kwa adui yupi?

Mara baada ya mapinduzi ulinzi ulikuwa lazima kwa sababu adui alikuwa nani?. Au hujui historia ya mapinduzi?
Kwa nini usiweke 'i' hapo kwenye blue...Zomba? Lakini pia historia imeonesha visiwa vingi ndani ya bahari ya hindi vyenye mamlaka kamili vimekuwa unstable sana. Seychelles mapinduzi yamefanyika mara kibao. Hivi majuzi tumepeleka kombania kumrudisha kiongozi kwenye tuvisiwa fulani huko baharini.

Hivi...kama siyo Tanganyika kuwepo Zanzibar, ile siku Muunguja mmoja akiitwa Salmin Amour alipotamka kwamba Mpemba kuingia Ikulu ni sawa na Mbwa kuingia Msikitini msingechapana makonde kweli nyie? Halafu leo akili yako inakutuma kuuliza "tumewalinda kwa adui yupi?" Nikikwambia tumewalinda kwa adui wa hapohapo Zenji kama Salmin Amour vile...utaniambia nini? Nikikwambia tumewafanya mkaelewana pande mbili zisizoelewana, utaniambia nini? au unataka kuniambia Unguja na Pemba mumekuwa marafiiiiki sana tangu ile siku ya mapinduzi hadi hii leo?

Tunawapa Mamlaka kamili mnayotaka; Haina shida hiyo. Hata ingewezekana kesho tungepiga mdundiko tusherehekee kuondokana na kadhia hii inaitwa Zanzibar. Omba nisiwe katika nafasi ya kuamua la kufanya siku Unguja na Pemba mnaanza kuchapana makonde kwa sababu nina uhakika kabisa siku hiyo inakuja! Mafuta ni ya Pemba, si ya Unguja. Nitaziba masikio na macho Mtanganyika mie mchapane weeee mpaka akili zenu zifunguke. Nipo hapa nasubiri. Nasikilizia wale Mbwa wasiotakiwa msikitni watapoanza kuvuna mafuta yao wakatakiwa kuyagawa mafuta haya--kama mafuta yenye wapo anyway. Manake hata hilo nalo limekaa kama mtu anahesabu vifaranga na mayai bado hayajatotolea. Watu wa Zanzibar ni watu wa ajabu sana....
 

Soma kidogo historia, uielewe: Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru! | Zanzibar na Mapinduzi ya Afrabia


Bado hujajibu, adui alikuwa nani?
 
Ondoa tongotongo machoni wewe. Hii hoja hapa chini inajibu maswali yako yote kwa Mtizamo wangu mie.
Kama unatafuta majibu kwa mitizamo mingine katafute majibu huko:

Mara baada ya mapinduzi ulinzi ulikuwa lazima kwa sababu adui alikuwa nani?. Au hujui historia ya mapinduzi?
Kwa nini usiweke 'i' hapo kwenye blue...Zomba? Lakini pia historia imeonesha visiwa vingi ndani ya bahari ya hindi vyenye mamlaka kamili vimekuwa unstable sana. Seychelles mapinduzi yamefanyika mara kibao. Hivi majuzi tumepeleka kombania kumrudisha kiongozi kwenye tuvisiwa fulani huko baharini.

Hivi...kama siyo Tanganyika kuwepo Zanzibar, ile siku Muunguja mmoja akiitwa Salmin Amour alipotamka kwamba Mpemba kuingia Ikulu ni sawa na Mbwa kuingia Msikitini msingechapana makonde kweli nyie? Halafu leo akili yako inakutuma kuuliza "tumewalinda kwa adui yupi?" Nikikwambia tumewalinda kwa adui wa hapohapo Zenji kama Salmin Amour vile...utaniambia nini? Nikikwambia tumewafanya mkaelewana pande mbili zisizoelewana, utaniambia nini? au unataka kuniambia Unguja na Pemba mumekuwa marafiiiiki sana tangu ile siku ya mapinduzi hadi hii leo?

Tunawapa Mamlaka kamili mnayotaka; Haina shida hiyo. Hata ingewezekana kesho tungepiga mdundiko tusherehekee kuondokana na kadhia hii inaitwa Zanzibar. Omba nisiwe katika nafasi ya kuamua la kufanya siku Unguja na Pemba mnaanza kuchapana makonde kwa sababu nina uhakika kabisa siku hiyo inakuja! Mafuta ni ya Pemba, si ya Unguja. Nitaziba masikio na macho Mtanganyika mie mchapane weeee mpaka akili zenu zifunguke. Nipo hapa nasubiri. Nasikilizia wale Mbwa wasiotakiwa msikitni watapoanza kuvuna mafuta yao wakatakiwa kuyagawa mafuta haya--kama mafuta yenye wapo anyway. Manake hata hilo nalo limekaa kama mtu anahesabu vifaranga na mayai bado hayajatotolea. Watu wa Zanzibar ni watu wa ajabu sana....


Soma kidogo historia, uielewe: Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru! | Zanzibar na Mapinduzi ya Afrabia
Bado hujajibu, adui alikuwa nani?
 
Hizo elimu za nyota(horoscope) zinawasumbua...bora mngesoma astronomy...nimekuambia thibitisha wapi sijui Arabism na Islamism unajifanya hujaelewa.

Azania ni term iliyoanzishwa na watu wa nje ya africa ila si waarabu, na walivyoisema alisema kwa reference za mto unaomwaga maji baharini ktk ukanda wa EA.na haiwezi kuwa pangani, kwa sababu nyingine ila iliwakilisha vyema Kilwa .na huko palipatikana fedha za kale na vitu vingine vya warumi.

Kurefer ktk islam na si Arabs ni jambo sahihi kwa vile waarabu kabla ya uislam walikuwa na mahusiano tofauti sana na dunia, ukilinganisha na siku za baada ya Uislam.Pi andicho kinachoongeza mijadala hapa.Kwani ndio mnapigana mkidhani vitu fulani muaminivyo kuhusu uislma ni sahihi.

Waarabu walikuwa sahihi sana kuupinga uslam ingawa Enthiopia walifanya ujinga na hadi leo unawacost.Mfalme wa Ethiopia kumkaribisha na kumpa hifadhi Mohamed na majeshi kulimponza sana.Na hilo watalijutia sana wahabeshi...sasa hivi nchini kwao hakuna mwislam hata mwenye shukrani kwa hilo...wapo busy kuingamiza nchi yao.

Kwa kukujuza tu, Uarabu haukuja Afrika, hivi unajuwa hata maana ya Afrika? naona u-finyu sana katika uelewa na unachokijuwa ni ule ubaguzi wa ujinga uliojazwa nao shule zile zile, unazijuwa zipi.
Wewe mwehu sana unadhani kila mtu anamezeshwa?kumezeshwa mmezoea nyie ndio manakariri maandiko eti kuyahifadhi..ndio maana vita ya Badr iliwaacha na mistari pungufu...karne hii mnakarii na computers ,na vitabu vya kuhifadhi kila kitu.Bado mnajifanya kuwa hard disk.

Yaani kikisemwa kitu ambacho kinaonyesha upuuzi wa waarabu ,wewe unasema ubaguzi.kweli dini yako imekushida kubaya.Kwa mwarabu mtu mwingine asiye qurayish hata ashike dini kivipi bado si equal.Nanyi mnalijua hilo ndio maana mnatumika sana.

Historia ya waarabu km ilivyoandikwa na wenyewe na watu wengine inaonyesha wazi Waarabu ni wageni Africa km wengine..Muhamad ktk quran anawasema "vichwa vyao" tena anatumia "...hata Abysinian...wenye vichwa km....".Dharau ya kwanza kwa mwafrica.Neno "...Zenj..."Limetumika kusema nchi ya watu weusi".haya yote yanaonyesha kuwa Africa ilikuwa foreign kwa waarabu

Halfu unasemaje zenj ni yasili ya mwarabu?At least ungesema nchi km Misri kwa ukaribu wangeweza kuw awlianzisha mahusinao muda mrefu.Kwani waarabu walifanya biashara na wayahudi na wengine.Na tayari walikuw ana Wakristu wengi tuu hadi Mecca yenyewe.
Kwa hiyo wakiwa wa Caravana ndio wana uhalali wa kukutawala na kukuuza?Halafu wapi nimeona sifa na kujazwa ujinga?Mna milions of ways z akuwafanya muwe watumwa.Waislam n autumwa ni damu damu...wana vitu vingi sana vya kuwazuia fikra zao,wana vitu vingi wamewekewa ili wasikombolewe.Wanaambiwa wengine wana hila,fitna,husda, na mengine,basi wakitoka nje wakikutana na kitu kimoja wanabaki si unaona.Mbaya hizo tuhuma ndizo zinawatafuna wao wenyewe kuliko.....

Masikini weee..."Mnahitaji jua kweli na weli iwaweke huru".Jesus` "Injil" is the most Liberating word ever.

HUku kufananisha ujinga hauna maana,waafric ahwakujipa jina wenyewe, kw ahiyo fikra za wageni ziliwapa mjina mengi tuu..kwa hiyo acha elimu za sheikh yahaya ktk vitu real.Tunaongelea Watu na nchi na si nyota hapa.Mimi naweza kuita "kilaza"..50 years hilo jina haliweze tumika kukuhalalishia nchi yoyote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…