Tanzania inaweza kuwa ni Tanganyika bila Zenj: ( T)-- Azania

mimi hapa siongelei utanganyika au utanzaniaa..kuweka wazi ni kwamba.NImejaribu tazama km kweli anayeambia kuwa ndiye mbunifu wa hilo jina kweli alipata maneno ktk TANGANYIKA NA ZANZIBAR?

Tayari wavaa vibarakashehe walishaanza tumia hii km hoja ya kuwasaidia ktk claim kuwa kulikuwa na deliberately scheme y akuuondoa uislam ktk historia ya uhuru na ujenzi wa nchi.
 
Baniani mbaya kiatu chake dawa...






Kweli unaupeo mdogo....umeonyesha Nyerere akiwa ktk mazungumzo, JK na Membe wakiuza nchi....mwenye akili anapata Tafsiri yake.
 
Wakuu niwasalimie; baadaye niunge mkono au nisiunge mkono, mchango wangu ktk hili nimetambua kuna kasheshe za kitamaduni "Civilization conflict" hapo kuna wa Pwani na kule kuna wa Madongoporomka. Hakuna atakae mkubali mwinzie
kiurahisi, Mataifa ya wenzetu yanadevelope nasi tumebaki kukataana na kubaguwana hata tukirudi kuhistoriya tutajikuta wote siye ni wakufikia humu nchini. itabidi tukamuulize mfalme AFRIKASH huyu wa kwanza afrika!! atujibu masuali tunayo mengi sana.
kila la heri waBongo tujenge nchi letu.
 
Ukiondoa Zanzibar kwenye jina hili nchi yetu itaitwa TANIA.
And we deserve the name kwa sababu mambo mengi ya muhimu tunafanya UTANI.

To move the world we must first move ourselves - Socrates
Ha ha ha!!
Why Not Danganyika because always wapiga kura tunadanganyika kirahisi
 
Kweli unaupeo mdogo....umeonyesha Nyerere akiwa ktk mazungumzo, JK na Membe wakiuza nchi....mwenye akili anapata Tafsiri yake.

Unaijuwa Tanzania wakati wa Nyerere au unahadithiwa tu?
 

Ndio maana nikakwambia huelewi kitu na umejazwa ujinga wa ubaguzi. Neno "zenj" kwa maana kamili halimaanishi mtu mweusi, kwa kukupa darsa ili ujisaidie siku nyingine, maana ya "zenj" ni "pua pana" iliyobabataa, na hiyo hupatikana kwa Wabantu, ambao ni asilimia chache ya Waafrika, nadhani unaelewa Wabantu ni kina nani, mtu kama Nyerere anajulikana si Mbantu na wengine wengi Tanzania. Inaonesha wewe ni "zenj" na ukiwa Rwanda, Burundi au Congo utaitwa Mhutu haijalishi kabila yako ni nani, mradi tu unapuwa pana basi wewe ni mhutu. Ndio hao ambao hujulikana kama "zinji" Kiarabu.

U-mchache sana kieleimu ndio maana povu linakutoka, hapa umefika utapata tu darsa na litakuingia.

Kumbuka Waarabu hawakuja Afrika, Afrika ni kwao na lugha yao ndio inayotumika sana kuliko lugha yoyote katika Afrika na hiyo hiyo ndio unaipata katika Kiswahili kwa asilimia zaidi ya 60. Kumbuka.

Aliyekudanganya kuwa Waarabu walikuja Afrika kisha kufa lakini wewe bado hujafunguwa macho wala masikio wala sijui kama utayafunguwa kwa kuwa umefungwa kwenye ubongo kwa kushindiliwa na vitu visivyokuwepo leo vilivyokuwepo huvioni.
 

Nicho
Babaako alikuhadithia alivyofanya ukapatikana wewe?
Au hukumwamini babaako?
Mama je alisemaje?
 

Being a Muslim you are always likely to choose a wrong path.Umechagua characterics na si tafsiri ya Neno...kweli your such a low life creature that I wanst even supposed to exchange words with you here.
Hembu tusome hapa.
Zanj - Wikipedia, the free encyclopedia


Teh teh..kweli nyie ni watumwa waliowekewa wakfu.....muarabu Africa kuwe kwake halafu aondoke?Ndio Ilm mnayopewa hiyo.Na hakuna anayehoji kitu..you must be all dumb.

 
Unaijuwa Tanzania wakati wa Nyerere au unahadithiwa tu?

Nikupe somo tuu na maswali yako ya (NDIYO/SIYO )kama ya Kinana mikutanoni.Kuhadithia kunaweza nifikisha kujua km hadithi ni ya kweli na imeelezewa kwa usahihi kabisa....

Halafu wewe kimeo....kuhadithia ndio ushahidi aliokuwa akiutoa Mohamedi Said ktk Uongo na uchochezi wake.Na nyie mkakiri kuwa laihadithia na wazee wake...Sasa sijui unataka sema nini hapa?
 
Nicho
Babaako alikuhadithia alivyofanya ukapatikana wewe?
Au hukumwamini babaako?
Mama je alisemaje?

-Kwani akinihadithia inakuuma nini?Mama alijisikiaje? kwani unajua ktk niliyoyasema unajua baba alichagua option gani?Mbona unahitimisha usichokijua?Huo ndio ujuaji wenu wa kila kila mahali unaowaponza na kuwaacha miserable.
 
-Kwani akinihadithia inakuuma nini?Mama alijisikiaje? kwani unajua ktk niliyoyasema unajua baba alichagua option gani?Mbona unahitimisha usichokijua?Huo ndio ujuaji wenu wa kila kila mahali unaowaponza na kuwaacha miserable.

Ni vizuri ukiweka bayana hapa Jf kama vile ulivyoleta mfano wa baba na mama katika mchango wako ambao haukuhitaji hadithi ya kifamilia.

Nimehitimisha nini mkuu? Hitimisho lipi hilo uliloliona wewe?

Hiyo nyekundu, nafikiri inakugusa na wewe pia.

Unaona Nicholas, unapotoka nje ya hoja, unaanza kujadili watu na kutaka kuugeuza mjadala uhusu "mimi,wewe,babako, mamako, ninyi, ujuaji wenu, unawaponza, mnakuwa miserable"

Unaona utamu huo? Unaona unauelekeza wapi mjadala?

Hatuhitaji kwenda huko, Mkuu.
 

Haina shida....unaonaje tukirudi ktk mada..
 

Msome Mchungaji huyu ana hadithia, Jee, na yeye humuamini?

Did people live in fear during the Nyerere era?
We experienced a very strange way of living because of the terror campaign with the security officers trained in the communist block. It was terrible. People did not trust anyone, even in the families. Wives would not trust their husbands and vice versa because it was a very severe terror campaign. People would disappear silently and no one would be allowed to think about them because if you are suspected to be thinking treason, then you also disappear. We lived under that repressive regime, I mean, all these years until this guy retired after the failure of Ujama, because we did not achieve all these things. We were made to think about things which were not there and believe they are there. To say otherwise was to say treason. This is the terror campaign which subdued us to the level of livestock, which always live in fear of slaughter anytime.

Source: Heaven on Earth . The Film: Reverend Christopher Mtikila Interview | PBS
 
....

Mimi napendekeza turudishe Tanganyika ili liendane na lile ziwa Tanganyika.
Mara nyingi Mkuu huwa tunakubaliana mambo mengi lakini kwa hili kwa heshima kubwa kabisa sina budi kutokukubalia hili

Hiki(Tanganyika) ni kimojawapo ya mambo makuu yanayonifanya kukataa kutumia tena jina La Tanganyika. Tanganyika limekaa katika mtindo wa kutugawa...umeona mwenye unasema linalandana na ziwa Tanganyika...hiyo maaana yake nini...kwamba na Kilimanjaro watataka wasikie jina lenye uhusiano na walipo, Songea hivyo hivyo mto Ruvuma, Dodoma na Bwawa lao maarufu Mtera...nakadhalika nakadhalika.

Faida chache za kubaki na jina Tanzania
1. Jina hili litatufanya watanzania (ambao wewe unataka tuitwe watanganyika) tuendelea kushikamana bila kutofautishana kwa misingi mingine.

2. Jina hili litaweka kumbukumbu sawa kuwa tuliwahi kuunga na nchi nyingine.

3. Jina hili litakuwa fimbo nzuri ya kuwatandika wale wenzetu waliotutenga(God forbid)-kama Wazanzibar watakubaliana na viongozi wao wanaowashawishi na kuwalazimisha kutubagua sisi watu wata Tanzania.

4. Jina hili litaendelea kutupa faraja na kujenga uimara wetu katika kuendeleza nia njema ya kuunganishwa waafrika kama wasisi wetu walivyokuwa wamefikiria hapo awali.

5. Jina hili litaonyesha ukarimu wetu kwa waafrika wenzetu.

6....
7.....
8..
Zipo nyingi faida za kuwaendelea kutumia jina la Tanzania.
 

Mkuu
Umeona USSR au Yugoslavia hazikubaki kuwa hivyo baada ya Muungano kuvunjika?

Tanzania ni hatimiliki ya Muungano. Bila Muungano hakuna Tanzania.

Link Tanganyika

Kwa kweli hata kesho Nchi za Afrika ya Mashariki zikiamua kuungana, na Tanzania ikawa ni mshiriki, naamini kuwa ni rahisi zaidi kushirikisha Tanzania yenye Serikali Mbili - ya Zanzibar na ya Tanganyika - kuliko Tanzania yenye Serikali Mbili, ya Tanzania na ya Zanzibar.Uk 11 Uongozi Wetu Na Hatma Ya Tanzania (by Nyerere)

Tukitumia jina Tanzania wakati muungano utakapokoma,dunia itatuona sisi ni watu wa ajabu!
 
Hoja zimekushinda unanivaa mimi? wewe ni peusi?


Ndugu yangu hili ndio tatizo la kutofikiri. Jaribu kurejea kwanini nimesema hivyo halafu uone kuwa nilikukukusudia wewe. Hivyo kauli ya tatu kwenye mazungumzo huijuwi? Na kwa hili la hoja mbona hoja za huyu jamaa ni kifu yangu kabisa na ndio maana huwa kila wakati anaenda nje ya pointi tunayojadiliana mimi na wewe. Kama nilikukwaza pole na jee haitopshi basi si tabu tupo hapa na mitizamo tofauti unaweza kuamuwa mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…