Tanzania - India Relations: Hakuna msaada wowote tunaweza kuwapa rafiki zetu wa India? Hata kama ni salamu za pole pekee zinatosha sana

Kisukari na magonjwa ya moyo ni mengi sana India kutokana na genetics zao changanya na life style.
Kisukari kinatisha sana. Kuna mzee mmoja alikuwa jirani yetu zamani alikatwa vidole vyooote vya miguuni kisha diabetes
 
Wingi wao pia nadhani unachangia sana, labda social distance inakua vigumu sana kulingana na mazingira na familia zao kuishi kwa wingi wingi.
Indians ni wengi sana. Obama alikuwa anapenda kusema India ndio World Largest Democratic Nation ingawa China ni highly populated kuliko India
 
Harafu kuna wabumbafu humu walikuwa wakisema serikali ya Jpm ilikuwa inaficha vifo vya corona.tanzania haijawai kupatwa na corona,kama ingepatwa tungelikuwa zaidi ya India,tumshukuru Mungu kwa kutuponya.
Amen. Hakika Mungu ni mwema
 
Kisukari kinatisha sana. Kuna mzee mmoja alikuwa jirani yetu zamani alikatwa vidole vyooote vya miguuni kisha diabetes
Ukiwa na kisukari inatakiwa uishi kwa displine ya hali ya juu. Mazoezi, vyakula na dawa.

Mjomba wangu alikua na kisukari, mke wake alikua anaongea na madaktari na manesi anajua vyakula vya kumpikia. Hakumruhusu kunywa pombe. Alianza kumuita mkewe head mistress!

Akienda kwenye party anakula vyote vile head mistress anavyomkataza😂
 
Sema wahindi wanaendekeza kula sana inayopelekea watu wengi kuwa na miili mikubwa( wanene) ukizingatia sio watu wa mazoezi, kwahiyo wakikutana na Corona lazima iwe tatizo
Umenichekesha sana mkuu eti wanaendekeza kula. Mkuu unasema India sio watu wa michezo wakati mafundi wa mchezo wa cricket wapo huko?
 
Mkuu, hizo chanjo zenyewe bado zina changamoto lukuki na nchi zinazoweza kumudu gharama za lockdown ni zile zenye uchumi wa hali ya juu sana kama USA na EU countries...
 
Mbona tunawasaidia kila siku. Rejea waingereza walivyotuletea raia wake kutunyonya na hata baada ya waliowaleta kuondoka tumewabikiza wakiendelea kuneemeka. Rejea kashfa kubwa zilizowahi kutokea Tanzania zilivyowahusisha baadhi ya raia hawa. Rejea Tanzanite yetu ilivyokuwa ikotoroshwa na madini mengine hata mitaji kwenda India. Kimsingi, Tanzania na Afrika zimechangia kikubwa kujenga uchumi wa India.
 
Napendekeza tuwape gunia kadhaa za Mchele na mahindi na pia tuwaangalizie dagaa kidogo na nyama ya ngombe kilo kadhaa
Mwenyezi Mungu ametujalia chakula kwahiyo tulichonacho ndicho tuwapacho
Zaidi ya yote tunawapa pole sana kwa madhira hayo ya C 19
 
Hakika Mungu awape wepesi wahindi. Ninadhani chanjo nazo ni gharama sana mkuu. Just imagine watu wote wale kuwapiga chanjo hizo hela zitakazotoka sio za kitoto mzee baba.
 
Nitawasaidia ushauri. Wache dhambi yao ya kuabudu ng'ombe, khalafu wampokea Bwana Yesu awe Bwana na Mwokozi wa maisha yao kwa Kumkiri, Watubu na Wabatizwe ili wakamilishe tendo la kuzaliwa kwao. Wawe wamezaliwa kwa mwili na kwa Roho.
Dini ya ukristo ililetwa na wazungu. Kabla ya wazungu na waarabu kuja Afrika, sisi tulikuwa na dini zetu ingawa Mungu ni huyo huyo mmoja...
 
Shetani ni kiumbe mmoja mbaya sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…