Sembinga
JF-Expert Member
- Jul 10, 2014
- 393
- 344
Mbona kiingereza ni lugha ya kawaida sana kama Kiswahili tuUnajifanya unajua kiingereza kumbe hauna lolote lile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona kiingereza ni lugha ya kawaida sana kama Kiswahili tuUnajifanya unajua kiingereza kumbe hauna lolote lile
Hata mimi huwa ninawashangaa sana watu wanaokifanya kiingereza kuwa kama lugha ya Mungu kumbe kawaida saaaana.Mbona kiingereza ni lugha ya kawaida sana kama Kiswahili tu
Kiswahili kitamu sana mdomoni kuzidi kiingerezaMbona kiingereza ni lugha ya kawaida sana kama Kiswahili tu
Safari zimesshasitishwa mkuu!Hivi Twiga wetu bado anaenda huko! Ni vema safari zikasitishwa, ni hatari kuendelea kwenda huko kwa hali ilivyohuko India
Ila mademu wa Uingereza wana K laini niliwahi kumla mtalii wao mmoja kule Ngorongoro wee acha tu.Mbona kiingereza ni lugha ya kawaida sana kama Kiswahili tu
India na umasikini ule inatia sana hurumaSafari zimesshasitishwa mkuu!
Tumefunga mlango wa kutoka kwenda huko; Lakini je, wanaotoka huko hatutawafungulia mlango waingie? 🤔 🤔
Unafanya kazi ATCL au JKNIA?Safari zimesshasitishwa mkuu!
Tumefunga mlango wa kutoka kwenda huko; Lakini je, wanaotoka huko hatutawafungulia mlango waingie? 🤔 🤔
Ila hawa wahindi wa hapa bongo wanavyojisikia kana kwamba kwao hakuna umasikini wa kutisha.Safari zimesshasitishwa mkuu!
Tumefunga mlango wa kutoka kwenda huko; Lakini je, wanaotoka huko hatutawafungulia mlango waingie? 🤔 🤔
Anabangaiza tu huyo hana CV ya kufanya kazi ATCLUnafanya kazi ATCL au JKNIA?
JKNIA ndio wapi huko?Unafanya kazi ATCL au JKNIA?
Kiingereza ndio lugha ya kutafutia pesaKiswahili kitamu sana mdomoni kuzidi kiingereza
Mkuu, inawezekana China inaendeleza ile falsafa ya adui yako muombee njaa
Ni nani amekurudisha katika ujamaa? Are you okay upstairs?Tupo kwenye Capitalism halafu unaturudisha kwenye ujamaa
Ni nani amekurudisha katika ujamaa? Are you okay upstairs?
mhhhMjini msaada ni salama tu. Hivyo vingine ni pesa.
Tangu ulipokosa kazi, umegeuka kuwa mshauri mkuu.
Watoto wetu wajue vyote kiingereza pamoja na KiswahiliKiingereza ndio lugha ya kutafutia pesa
Kwani wanaofanya kazi ATCL ni malaika. Acha kumdharau mwenzako wee jamaa weweAnabangaiza tu huyo hana CV ya kufanya kazi ATCL
Utakalia nyama na kuliwa kiboga mtoto wa kiume wewe. Mbona unamchokoza Soja? Amekufanya nini huyo jamaa?Mjini msaada ni salama tu. Hivyo vingine ni pesa.
Tangu ulipokosa kazi, umegeuka kuwa mshauri mkuu. Unashauri mambo mengine hayana hata maana. Siku hizi unatoa thread za utopolo sana. Sijui TANESCO wakopeshe umeme.
Wewe mwenyewe umekopesha pesa na umedhulumiwa.
Utakalia nyama na kuliwa kiboga mtoto wa kiume wewe. Mbona unamchokoza Soja? Amekufanya nini huyo jamaa?
India wamefanikiwa sana katika hiliWatoto wetu wajue vyote kiingereza pamoja na Kiswahili