Tanzania inflation rises on food, fuel prices, heading to double digits?

Tanzania inflation rises on food, fuel prices, heading to double digits?

Wakati wa mramba gesi 15kg sh 18 000 sasa sh 44 000,mafuta ya kula ilikua sh 23 000 lita 20 sasa sh 50 000
 
Kuchagua CCM ni maafa. Acha tupigike! Aah nilisahau kumbe haikuchaguliwa ili ilchaguliwa na NEC
 
Nyama ya Ng'ombe ikikuwa 2000 mpaka 2500 sasa ni 5500 do hii ni ajabu kabisa.
 
acha blah blah na uvivu wa kusoma! nenda kasome consumers price index utafafahamu tu au fuatilia oil crisis ambayo no universal crisis, ndio utafahamu kwanini tuna hali hiyo

Kalagabaho,hata wewe hyo consumer haijakutoa matongotongo,kaa kimya,unajfanya umesoma kumbe ulikariri,wataalam wa economics wameshasema,tabia za kutembeza BAKULI LA KUOMBAOMBA NDO ZME2LETA HAPA,NA PIA KUTOKUA NA WATU AMBAO WAPO KOMITED KUFANYA KAZI,HASA HAO WAKUSANYA MAPATO-MREJELEE DR.SEMBOJA,PALE DPT OF ECONOMICS,udsm.ala
 
Kalagha bao, nadhani huyu mwenzetu anayetetea kuwa eti inflation kuwa 8%-9% ni sahihi labda yeye mwenyewe haelewi nini maana ya consumer price index,
Lazima afahamu kuwa price index inahusisha utafutaji sahihi(research) ya manunuzi ya consumers katika eneo husika ndio unapata matokeo sahihi, sasa kama reseach itafanywa hovyohovyo basi hakuna ukweli wowote utakao fikiwa zaidi ya ripoti za uongo kwenye mambo yasiyotaka longolongo!
Inabidi usome tena price index!
 
What can we do to correct this misleading information..? coz hata wawe wanatumia vigezo gani haiwezekani iwe inapingana na hali halisi kwa kiasi kikubwa hivyo..
 
Wakuu wiki hii naona vitu vya maajabu, sijui kama ni mimi tu naona vifaa vya unejzi vinapanda bei ghafla vingi nimeona kama vimepada bei kwa asilimia zaidi ya 20. Sijui kama ni mimi tu au wote tunaona hali hii.

Lalamiko kubwa ni kuwa kukatika kwa umeme kunaongeza gharama za uzalishaji.

Mpaka dakika hii sijasikia kauli yoyote ya wahusika.
 
Mimi ni good shoper so nipo updated sana na bei za bidhaa of various types ranging from market items to boutique items to electronic items. nilichokipata katika miezi hii 6 ya mwisho ni kwamba hakuna bei ya bidhaa inayosimama kwa mwezi mmoja bila kupanda. naposema hakuna namaanisha zipo ambazo bei zake zinakuwa stable kwa kipindi hicho ila idadi yake ni insignificant. Pia namaanisha zile bidhaa muhimu kwa matumizi ya kila siku ya mtanzania wa kawaida. Bob Marley alisema 'a hungry man is an angry man' so katika trend hii ya uncontrolled inflation ambapo kila kukicha watu wana-cut even 'neccesary expenditure' kama kula, hasira za watu dhidi ya serikali inaongezeka.

huwa nabahatika ku-interact na maafisa waandamizi wa serikali ambao baadhi yao ni makada waandamizi wa CCM pia, nilicho-notice ni kwamba zaidi ya nusu yao wanakiri CCM ipo off-road nikizungumza nao personally japo publicly wana-pretend kuipigia debe CCM. Kwa maantiki hii nina hakika hata Tambwe Hizza moyoni anakiri CCM wamechemsha kuiongoza nchi ila for her stomach sake anapiga propaganda.

In conclusion, usalama wa taifa hawafanyi kazi yao ipasavyo maana hata ugumu wa maisha unaoendelea kuongezeka kwa watanzania greatly kutokana na poor performance ya serikali ni hatarishi kwa usalama wa Taifa so they need to pressurize the govt to control it otherwise mambo yanatibuka soon!!
 
Tanga kwetu nimekupata! hali ilivyo ni mbaya sana bei ziko juu,mfumko wa bei (inflation) kwenye vyakula uko juu sana,kwa lugha rahisi bei ziko juu kuliko wanavyoreport inflation rate.

Kumbuka walichakachua fomula ya kukokotoa inflation, walihama kutoka wanayoita wholesale price index (WPI) kwenda kwenye Consumer price index (CPI) kama ambavyo mataifa mengi yaliyoendelea na africa yanafanya. Lakini uchakachuaji umekuja kwenye uzito (weight) vyakula (food inflation) unabeba katika hiyo inflation rate, wameweka weight ndogo kuliko tunavyolipa bei halisi,na kwa maana hiyo wakati bei ziko juu kwa food na non food commodities bado wao wanainflation rate ndogo sana.

Hii haina maana hata kidogo, wanafurahia namba imekuwa ndogo wakati watu wanapata tabu huko mitaani. Mi sijasoma uchumi lakini naweza kutambua upuuzi huu, badilisheni weight ili tupate inflation rate sahihi,period.
 
We unashangaa nn sasa, a corrupt government cooks everything. Wakati wa uchaguzi waziri wa fedha alikuwa na inflation rate tofauti na aliyotaja Governor Ndullu na ikawa tofauti na aliyotaja JK. Yaani nchi hii vuru vuru mwanzo hadi mwisho.......
 
Na mwezi Januari serikali ilitoa taarifa kwamba makusanyo ya kodi kwa mwaka 2010 yamepita makadirio. Na akiba ya fedha za kigeni ni kubwa kiasi ambacho hakijawahi kufikiwa katika nchi hii. Cha ajabu Katibu wizara ya Fedha, anatembeza bakuli la kuomba misaada kwa balozi za kigeni hapa nchini. Eti kuna upungufu wa fedha na chakula hivyo saidia masikini. Hivi mbona serikali hii haina ukweli kwa kila jambo? Hivi hizi wizara haziwasiliani ili kujua nani atoe taarifa gani?

Kila siku madudu madudu. Kila waziri anasema lwake. Ili mradi mwisho wa siku ni kuwadanganya watanzania.
 
UtAkuta sasa hivi wanatumia data za mwaka 2008 kwa kujua watz hawapekui.. ha ha haaa!
Usicheze na corrupt government mkuu...Kila watakachoongea ukikipindua utapata shock!
 
Walibadilisha upimaji wa inflation na vitu vilivyotumika kudetermine inflation hivyo sasa hivi inasimama 5.6%
 
Ufisadi wa DOWANS, mgao wa umeme unaendelea kuvuruga uchumi wa nchi. Kagame wa Rwanda ameweza kushusha inflation mpaka -6.52% (a negative inflation rate or deflation). Huku Bongo bei ya sukari, petroli, umeme, sembe, maharage, ada za shule, zinapanda kila kucha. Haya ndiyo Maisha Bora kwa kila Mtanzania Kikwete aliyoahidi kutuletea?

Tanzania 2011 inflation seen returning to double-digits

Tue Feb 15, 2011

By Fumbuka Ng'wanakilala

DAR ES SALAAM (Reuters) - Rising food and fuel prices coupled with a chronic energy shortage are expected to push Tanzania's inflation rate back to double-digit levels in 2011, analysts said on Tuesday.

The east African country's year-on-year inflation rate was up for the third successive month to 6.4 percent in January from 5.6 percent in December, the National Bureau of Statistics (NBS) said.

"We will very soon hit a double-digit inflation rate this year because of energy shortages at the domestic level and the rise of crude oil prices at the world market," said leading Tanzanian economist Haji Semboja.

"Starting in mid February to March and onwards, we will see a full swing increase of the inflation rate."

Tanzania's full-year 2010 inflation rate fell to 5.5 percent from 12.1 percent in 2009.

Analysts said last month they expected Tanzania's inflation rate to also creep higher in 2011 due to the impact on food prices of dry weather and higher production costs.

Inflation rates in east Africa often depend on weather because food carries significant weights in consumer price baskets. The region relies heavily on rain-fed agriculture and drought in the past few years has hit its economies badly.

Food and non-alcoholic beverages have a 47.8 percent weight in Tanzania's basket of goods used to measure inflation. It was cut from 55.9 percent in October in an overhaul of the calculation methodology.

Higher fuel and food prices have also contributed to rising inflation rates this year in other countries in the east African region such as Kenya, Uganda, Mauritius and Ethiopia.

ENERGY CRISIS

The year-on-year inflation rate for housing, water, electricity, gas and other fuel -- which has a weight of 9.2 percent -- leapt to 17.7 percent in January from 12.1 percent in December.

The price of food and non-alcoholic beverages in January was 7.1 percent higher than a year earlier, down from 7.3 percent in December. Bread and cereal, meat, fish, vegetables and sugar prices all rose, the NBS said.

The monthly headline inflation rate for January rose by 2.4 percent, largely due to an increase in food and non-food prices.

Tanzania's state-run power firm raised tariffs by 18.5 percent in January amid chronic outages in the country.

Blackouts imposed in Christmas by the Tanzania Electric Supply Company have continued into 2011.

"Apart from the scarcity of electricity, tariffs were also raised this year. The energy crisis has pushed up the costs of doing business in Tanzania and will ultimately affect the inflation rate," Humphrey Moshi, professor of economics at the University of Dar es Salaam, told Reuters.

"The trend is that the inflation rate will continue to rise throughout the year. There will be a lot of speculation because of the ongoing energy crisis and rising fuel prices caused by political turmoil in oil-producing Arab countries."
 
Ufisadi wa DOWANS, mgao wa umeme unaoendelea kuendelea kuvuruga uchumi wa nchi. Kagame wa Rwanda ameweza kushusha inflation mpaka -6.52% (a negative inflation rate or deflation). Huku bei ya sukari, petroli, umeme, sembe, maharage, ada za shule, zinapanda kila kucha. Haya ndiyo Maisha Bora kwa kila Mtanzania Kikwete aliyoahidi kutuletea?

Nilisema nikabezwa na sasa yaleyaleeeee! Nyerere alijenga Mwinyi akabomoa, Mkapa akarebisha mambo angalau yalianza kukaa kwenye mstari Kikwete amekuja anaendelea kubomoa tena kwa kasi kuliko hata ilivyokuwa wakati wa Mwinyi. Kwa speed anayoenda nayo mkwere tutafika 2015 na inflation rate yenye THREE DIGITS.
 
TUNATAKA MCHAKATO WA KATIBA MPYA NA TUME HURU
YA UCHAGUZI BUNGENI SASA HIVI!!!


Enyi Ndugu Waheshimiwa viongozi wetu

akina Kikwete, Dr Slaa, Prof Lipumba, Mbowe, Julius Mtatiro, Zitto Kabwe, Mbatia, Dr Mvungi, Prof Baregu, Prof Mukandala, Dr Bana, Dr Azaveli, Mama Nkya, Ndg Mgaya, Makwaia wa Kuhenga, Jenerali Ulimwengu, Reginald Mengi, Pius Msekwa, Fredrick Sumaye Fredrick Msuya, John Malecela, Mama Anna Makinda, Sheik Issa Bin Simba, Mhe Iddi Simba, Maaskofu na Wachungaji wote nchini, Denis Mwamnyange, Said Mwema, The Othma's, Tundu Lissu, Sitta, Mwakyembe, Mzee Mkapa, Mzee Salim Ahmed Salim, Mzee Sinde Warioba, Mzee Butiku, Prof Sarungi, Selasini, Ole Sendeka, Tido Mhando, Mama Maria Nyerere, Mama Karume, Selelii, Prof Bangu, Dr Matumaini, Bashe, Celina Kombani, Kafulila, Hamad Rashid, Regia, Lukuvi, Mama Maghimbi,Mama Anna Abdala, Pombe Magufuli, Mstaarabu wa Siasa Tanzania - Dr Mohammed Shein, Salmin Amour, Godbless Lema, Mzee Mwanakijiji, Maxence Melo, Candid Scope, Fareed, Mwakalebela, Mnyika, Halima Mdee, viongozi wote wa serikali za wanafunzi vyuoni ... na wengine wengi wengi wengi tu, sisi kama vijana wa nchi hii sasa hivi tunawaulizeni nyote kwa pamoja kwamba ...

... suala letu la michakato wa kujiandikia KATIBA MPYA na kuunda Tume Huru ya Uchaguzi ZINAANZA LINI BUNGENI???
 
Back
Top Bottom