future lawyer
JF-Expert Member
- Jan 28, 2020
- 419
- 423
kambona alikuwa against azimo la arusha ambalo lililenga sera ya ujamaa na kama ujuavyo ujamaa hai_promote democracy , kosa la pili kutaka kuchukua nafasi ya urasi hayo ni makosa aliyoyafanyaNadhani kulikuwa na unafiki mkubwa sana, Lakini Kambona popote alipo anatuhurumia kwa sababu, aliyoyapendekeza yaliopuuzwa na kushtakiwa kwa kutaka kuipindua serikali! Hili nalo ni la kinafki maana Kambona ndiye alituliza Army Mutiny ya 1964, wakati Nyerere na Kawawa walijificha vichakani! Mbona Kambona hakuidhinisha maasi ya Jeshi kama alikuwa na njama, kama walivyodai Nyerere? Tunahoji.
Sent using Jamii Forums mobile app