MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Kama yule Mmoja wa Kigoma ndiyo nimemdharau hakuna mfano japo anajifanya ( anajimwambafai ) kuwa ni bonge la Msomi na ana Akili sana katika Mambo ya Uchumi, Siasa na Utawala wa Umma.Wapinzani wanawaza matumbo yao mkuu, hawawezi hata kujenga hoja siku hizi.
Idiot.Unahangaika na thread zako!!!...unadhani ikulu gesti,uingie tu!?
Idiot wewe unayedhani ikulu unaenda kwa wingi wa kuraIdiot.
Kama yule Mmoja wa Kigoma ndiyo nimemdharau hakuna mfano japo anajifanya ( anajimwambafai ) kuwa ni bonge la Msomi na ana Akili sana katika Mambo ya Uchumi, Siasa na Utawala wa Umma.
Hvi wameongezewa ngapi.maana wafanyakazi wa serikalini wanamkubali bimkubwa wanadai anaupiga mwingi[emoji2957][emoji2957][emoji2957]Yaani Matapeli ( wa Vyeti Feki ) wanapewa Vipaumbele kisha Wafanyakazi kila mwaka wanafanywa tu Mazuzu na bahati nzuri hata na Wao wamekubali kuwa Mazuzu kwa Gharama za Kuwaweka Wanasiasa Waigiza Filamu Madarakani.
Kuna Bomu Kubwa tumeshalitengeneza ndani ya Watendaji wa Serikalini kutokana na kuwa na Hasiyza kila mwaka za Kudanganywa kuhusu Kupandishiwa Mishahara na kufanywa Mazuzu na likilipuka kuna Mtu Yeye na Chama chake hatoamini nini kimetokea na huenda ikaathiri hata Utendaji wake na akaamua tu kurejea zake Kisiwani kula Tende na Urojo.
Tanzania hakuna wapinzani kuna mafisadi waliokosa fursa.
Wapinzani wanawaza matumbo yao mkuu, hawawezi hata kujenga hoja siku hizi.
Performance ya kazi kwa Watanzania wengi si tu hairuhusu wapandishiwe mishahara, hairuhusu wawepo makazini. Nahisi upinzani ungekuwa makini ungekazania 90% ya wafanyao kazi hivi sasa waachishwe.Yaani Matapeli ( wa Vyeti Feki ) wanapewa Vipaumbele kisha Wafanyakazi kila mwaka wanafanywa tu Mazuzu na bahati nzuri hata na Wao wamekubali kuwa Mazuzu kwa Gharama za Kuwaweka Wanasiasa Waigiza Filamu Madarakani.
Kuna Bomu Kubwa tumeshalitengeneza ndani ya Watendaji wa Serikalini kutokana na kuwa na Hasiyza kila mwaka za Kudanganywa kuhusu Kupandishiwa Mishahara na kufanywa Mazuzu na likilipuka kuna Mtu Yeye na Chama chake hatoamini nini kimetokea na huenda ikaathiri hata Utendaji wake na akaamua tu kurejea zake Kisiwani kula Tende na Urojo.
Kawatosa.Hvi wameongezewa ngapi.maana wafanyakazi wa serikalini wanamkubali bimkubwa wanadai anaupiga mwingi[emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Kwelii..inahitajika retrenchment, ili tuwe na watu wachache and very efficient /productive. Mfano Dereva wa mkuu wa mkoa akishamfikisha..anakula tu A/C..kwa nini asiwe pia messenger? Driver cum messenger. Massa zaidi ya sita hazalishi!!Performance ya kazi kwa Watanzania wengi si tu hairuhusu wapandishiwe mishahara, hairuhusu wawepo makazini. Nahisi upinzani ungekuwa makini ungekazania 90% ya wafanyao kazi hivi sasa waachishwe.
Ndo uone jinsi watanzania tulivo wa ajabu.Yaani Matapeli ( wa Vyeti Feki ) wanapewa Vipaumbele kisha Wafanyakazi kila mwaka wanafanywa tu Mazuzu na bahati nzuri hata na Wao wamekubali kuwa Mazuzu kwa Gharama za Kuwaweka Wanasiasa Waigiza Filamu Madarakani.
Kuna Bomu Kubwa tumeshalitengeneza ndani ya Watendaji wa Serikalini kutokana na kuwa na Hasiyza kila mwaka za Kudanganywa kuhusu Kupandishiwa Mishahara na kufanywa Mazuzu na likilipuka kuna Mtu Yeye na Chama chake hatoamini nini kimetokea na huenda ikaathiri hata Utendaji wake na akaamua tu kurejea zake Kisiwani kula Tende na Urojo.
Wewe utakuwa labda Moscow!! Wapinzani walionyimwa platforms za kufanyia siasa zao. Wakajengee hoja hizo wapi ?! Ikiwa wafanyakazi (police) hao hao wanahakikisha hawafanyi siasa ?!Yaani Matapeli ( wa Vyeti Feki ) wanapewa Vipaumbele kisha Wafanyakazi kila mwaka wanafanywa tu Mazuzu na bahati nzuri hata na Wao wamekubali kuwa Mazuzu kwa Gharama za Kuwaweka Wanasiasa Waigiza Filamu Madarakani.
Kuna Bomu Kubwa tumeshalitengeneza ndani ya Watendaji wa Serikalini kutokana na kuwa na Hasiyza kila mwaka za Kudanganywa kuhusu Kupandishiwa Mishahara na kufanywa Mazuzu na likilipuka kuna Mtu Yeye na Chama chake hatoamini nini kimetokea na huenda ikaathiri hata Utendaji wake na akaamua tu kurejea zake Kisiwani kula Tende na Urojo.
Tena sio tu messenger, anaweza kuwa na kazi nyingine yoyote hapo hapo ofisini au nyumbani kwa boss wake.Kwelii..inahitajika retrenchment, ili tuwe na watu wachache and very efficient /productive. Mfano Dereva wa mkuu wa mkoa akishamfikisha..anakula tu A/C..kwa nini asiwe pia messenger? Driver cum messenger. Massa zaidi ya sita hazalishi!!