youngsharo
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 2,491
- 500
Tanzania ikiwa inaangaliwa kimataifa kupitia timu zake za vilabu kwenye mashindano ya klabu bingwa na shirikisho, tayari Yanga Na Azam wanajiandaa na michezo yao ya raundi ya kwanza itakayochezwa mwishoni mwa wiki,
Kiujumla Timu hizi bado zipo katika perfomance nzuri, ukiziangalia katika msimamo wa ligi ndizo timu zinazoongoza Yanga ikiwa nafasi ya kwanza na Azam wakiwa nyuma kwa nafasi moja, kwa maana ya kwamba wapo nafasi ya pili kwenye ligi.
Tatito linakuja kwamba katika miaka yote au kihistoria timu za Tanzania zimekuwa hazifanyi vizuri kimataifa zaidi ya kuishia kwenye hatua ya mtoano jambo ambalo uongozi wa soka la Tanzania umeshindwa kulipatia ufumbuzi.
mashindano ya mwaka huu kwa upande wangu natupa jicho zaidi kwa Azam ambaye atakaa kuiwakilisha Tanzania kama "Bingwa" tofauti na tulivyozoea akiwa anaiwakilisha kwenye shirikisho.
Upande wa Yanga si sisemi lolote, coz siiamini sana labda tu kudra za mwenyezi mungu ndo zinahitajika.
MUNGU IBARIKI TANZANIA,
MUNGU IBARIKI YANGA,
MUNGU IBARIKI AZAM.
Kiujumla Timu hizi bado zipo katika perfomance nzuri, ukiziangalia katika msimamo wa ligi ndizo timu zinazoongoza Yanga ikiwa nafasi ya kwanza na Azam wakiwa nyuma kwa nafasi moja, kwa maana ya kwamba wapo nafasi ya pili kwenye ligi.
Tatito linakuja kwamba katika miaka yote au kihistoria timu za Tanzania zimekuwa hazifanyi vizuri kimataifa zaidi ya kuishia kwenye hatua ya mtoano jambo ambalo uongozi wa soka la Tanzania umeshindwa kulipatia ufumbuzi.
mashindano ya mwaka huu kwa upande wangu natupa jicho zaidi kwa Azam ambaye atakaa kuiwakilisha Tanzania kama "Bingwa" tofauti na tulivyozoea akiwa anaiwakilisha kwenye shirikisho.
Upande wa Yanga si sisemi lolote, coz siiamini sana labda tu kudra za mwenyezi mungu ndo zinahitajika.
MUNGU IBARIKI TANZANIA,
MUNGU IBARIKI YANGA,
MUNGU IBARIKI AZAM.