Tanzania: Investors' Optimism diminishes As President Magufuli Proves Unpredictable

Tanzania: Investors' Optimism diminishes As President Magufuli Proves Unpredictable

hili ndio wanalolifanya huku wajinga wachache wenye uchu wa madaraka tanzania wakijaribu pia kupotosha wananchi badala ya kuunga mkono na kutoa saport katka majimbo yao kusaidia kuinua uchumi kila nyanjaaa, hapa ndio utaona wenye kujielewa huita wengne nyumb.....

Post sent using JamiiForums mobile app
Tutavuka, no turning back

A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
 
Wale wazee wa siasa za kutafuta makosa badala ya sera zao wanahangaika kwelikweki.
Mmeshikwa pabaya kwelikweli.
Poleni

Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
 
Asante mulisaaa nafikiri amepata ukweli wa mambo acacia yenyewe wamekubali kuongeza loyalties kuendana na sheria mpya
07bff678db0e130f7370f7f775c93881.jpg
 
Kutokana na serikali ya Magufuli kuhimiza kulipa kodi kwa sasa huku Tanzania watu wanapigana kupanga foleni iliwalipe kodi zao na kuomba muda wakulipa kodi waongezewe. Jambo kamahili nauwakika Kenya halijawahi tokea. Kwa sasa kila Mtanzania analipa kodi.View attachment 542487
This is an annual ritual in Kenya, which hole did you crawl from? Head to google and you will have tons on that happening in Kenya
 
I predicted this shyt. Like Tupacalypse.

Sent from my Kimulimuli
 
Haha jamaa amekataa kuwasomesha wazazi eti ndio anaona amefanya jambo la busara! Dah ujingaaa uswahilin utakoleaaa
Kaka hiyo kauli ya JPM ya kutokusomesha watu waliopata mimba mi naunga mkono ila hao wanaopinga wengi wao wamezoea kupinga kila kitu ,kwa sasa serikali inajitahidi kutoa elimu bure na gharama sana kufanya hivyo .. Sasa unakuta mtu unamsomesha bure lakini still anajihusisha na vitendo vya ngono katika umri mdogo au unakuta jitu zima linafanya mapenzi na mtoto mdogo...
Sasa hii tena mtu apigwe mimba alaff uje umsomeshe bure this is not good kama ukipewa mimba haki yako ya elimu utaipata kwa gharama katika private school na serikali itachukua jukumu la kuhakikisha unajifungu Bure ktk hospital za umma..
Serikali ilipitisha sheria Kali za kifungo cha miaka 30 jera kwa ataempa mimba mwanafunzi lakini ilifikia wakati serikali inakula gharama kubwa za kushughurikia kesi hizo lakini unakuta wazazi wanakutana wanaongea wanapeana pesa kidogo alaff hawahudhurii mahakamani na inakua kama unatwanga maji kwenye kinu alaff baadae mtu huyu huyu anataka umsomeshe Bure kwa gharama zingine ,naona ni vyema akasomeshwa kwa hela ambazo wazazi wake walilipwa na huyo aliempatia mimba mtoto wako and not a government its very hard to deal with illiterate people...
Wengine watasema wamebakwa wakapata mimba kubakwa na kupata mimba incidence yake ni very layer 1katika 100 ata ivyo ukibakwa na ukawahi HOSPITALI kuna emergence contraceptive zinazoweza kuzuia mimba ndani ya 72 hrs ... Katika kesi kama hizo most of the time familia zenyewe zinashirikiana kuizunguka serikali na kesi kama hizi familia za mbakaji na mbakwaji zinapeana chochote kitu kupoteza ushahidi...
Nakuhakikishia kua kauli hii ya rais itawapa uoga wanafunzi na wazazi watakua makini kuwafuatilia watoto wao na miaka miwili ijayo tatizo la mimba mashule zitapungua kama sio kuisha kabisa asante

sent from my iPhone 7 using jamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom