Tutavuka, no turning backhili ndio wanalolifanya huku wajinga wachache wenye uchu wa madaraka tanzania wakijaribu pia kupotosha wananchi badala ya kuunga mkono na kutoa saport katka majimbo yao kusaidia kuinua uchumi kila nyanjaaa, hapa ndio utaona wenye kujielewa huita wengne nyumb.....
Post sent using JamiiForums mobile app
This is an annual ritual in Kenya, which hole did you crawl from? Head to google and you will have tons on that happening in KenyaKutokana na serikali ya Magufuli kuhimiza kulipa kodi kwa sasa huku Tanzania watu wanapigana kupanga foleni iliwalipe kodi zao na kuomba muda wakulipa kodi waongezewe. Jambo kamahili nauwakika Kenya halijawahi tokea. Kwa sasa kila Mtanzania analipa kodi.View attachment 542487
Kaka hiyo kauli ya JPM ya kutokusomesha watu waliopata mimba mi naunga mkono ila hao wanaopinga wengi wao wamezoea kupinga kila kitu ,kwa sasa serikali inajitahidi kutoa elimu bure na gharama sana kufanya hivyo .. Sasa unakuta mtu unamsomesha bure lakini still anajihusisha na vitendo vya ngono katika umri mdogo au unakuta jitu zima linafanya mapenzi na mtoto mdogo...Haha jamaa amekataa kuwasomesha wazazi eti ndio anaona amefanya jambo la busara! Dah ujingaaa uswahilin utakoleaaa