It is commingStory za abunuwasi.
Kama kisemavyo kichwa cha habari Tanzania inaingia kwenye zama mpya yafuatayo ni matukio yatakayo tokea kama njia ya Tanzania kuachana na zama zilizopita na kuingia zama mpya
Marais waliofariki
Kuna jambo la kushangaza litatokea kwa marais waliofariki tayari
Chama flani cha siasa
Kuna jambo au tukio la kustaajabisha litakikumba chama flani cha siasa tukio hilo sio usaliti au mauti bali litastaajabisha sana
nuru ya taifa itazimika ghafla na itatumika nguvu kubwa kuiwasha tena ila haitawezekana tena sababu zama zake zimepita tayari
Mlima ulioko Tanzania
Tukio la mwisho litatokea Tanzania sio tu litastaajabisha Tanzania bali dunia nzima itabaki inahamaki inawezekanaje
Kumbuka Tanzania ipo kwenye process ya kuingia kwenye ukurasa mpya
Sio mabaya hataMkuu ungeandika tu kichwa cha habari "NAICHULIA TANZANIA MABAYA YAFUATAYO"
Hakuna mtu atakayefariki na haina lengo la kuwatisha watuWatu mnaokaa mabindeni hameni
MDA utasemaHakuna ukurasa mpya wala nini bali ni muendelezo wa kuiba tu
Yaani hata miaka 100 ijayo hatutabadilika maana kuna watoto wamewekwa kwenye pipe wale chipukizi wanaosoma Feza
Wameingia kwenye pay roll nyie kaeni mkiota tu
Visungura vimehalalishwa na serikali kwa makusudi.Kama kisemavyo kichwa cha habari Tanzania inaingia kwenye zama mpya yafuatayo ni matukio yatakayo tokea kama njia ya Tanzania kuachana na zama zilizopita na kuingia zama mpya
Marais waliofariki
Kuna jambo la kushangaza litatokea kwa marais waliofariki tayari
Chama flani cha siasa
Kuna jambo au tukio la kustaajabisha litakikumba chama flani cha siasa tukio hilo sio usaliti au mauti bali litastaajabisha sana
nuru ya taifa itazimika ghafla na itatumika nguvu kubwa kuiwasha tena ila haitawezekana tena sababu zama zake zimepita tayari
Mlima ulioko Tanzania
Tukio la mwisho litatokea Tanzania sio tu litastaajabisha Tanzania bali dunia nzima itabaki inahamaki inawezekanaje
Kumbuka Tanzania ipo kwenye process ya kuingia kwenye ukurasa mpya
NB:- kwenye hayo matukio hakuna hata mtu mmoja atakayefariki lengo lake sio kuwatisha watu
Mda utaongeaVisungura vimehalalishwa na serikali kwa makusudi.
Huu ni mwandiko wa askofu ‘mwanamapinduzi’🙂Kama kisemavyo kichwa cha habari Tanzania inaingia kwenye zama mpya yafuatayo ni matukio yatakayo tokea kama njia ya Tanzania kuachana na zama zilizopita na kuingia zama mpya
Marais waliofariki
Kuna jambo la kushangaza litatokea kwa marais waliofariki tayari
Chama flani cha siasa
Kuna jambo au tukio la kustaajabisha litakikumba chama flani cha siasa tukio hilo sio usaliti au mauti bali litastaajabisha sana
nuru ya taifa itazimika ghafla na itatumika nguvu kubwa kuiwasha tena ila haitawezekana tena sababu zama zake zimepita tayari
Mlima ulioko Tanzania
Tukio la mwisho litatokea Tanzania sio tu litastaajabisha Tanzania bali dunia nzima itabaki inahamaki inawezekanaje
Kumbuka Tanzania ipo kwenye process ya kuingia kwenye ukurasa mpya
NB:- kwenye hayo matukio hakuna hata mtu mmoja atakayefariki lengo lake sio kuwatisha watu