Tanzania IQ ranking - amongst world's lowest but over Rwanda, Cuba, Ethiopia, Malawi etc

Tanzania IQ ranking - amongst world's lowest but over Rwanda, Cuba, Ethiopia, Malawi etc

Na wewe ni mtaalamu wa mambo ya IQ kuzidi FaziaFoxy aka "Pedagogist at Heart"? Dr. Mo. Please! Au na wewe ni wale madoctor wa mambo ya Nyota?
Hivi watu wengine huwa mnasoma mnachoandika kweli..?!
 
Nakubali utafiti huu kwa asilimia nyingi kwa sababu wabongo wengi wapo kimzaha zaidi na kufuatilia walipovuruga watu fulan ili wapate ya kujadili.. Nashauri ni bora kujenga hoja kuliko kuchambua hoja za wengne ili upate udhaifu halafu ndio nawe uwe kipa umbele wa kuongea
 
Kuna ukweli wa wazi katika report hii. Uwezo wa kureason,argue kwa facts na data kwa zama zetu unazidi kupungua sana. Mimi naisapoti report hii kwa experience yangu binafsi katika field hii ya elimu. Miaka ya nyuma tulipokuwa shule Debate zilikuwa za kisomi na nzuri sana. Kama mwalimu/mwanafunzi huchoki kusikiliza kwani watu wanajenga hoja, wanacritisize palepale tena kwahoja nzuri sana lakini kizazi hiki cha kuanzia mwaka wa 2005 kuna mbele ni tofauti na kinatia kinyaa. Si wanafunzi wa secondary au vyuoni ukiwasikiliza mijadala yao utashangaa sana na kupatwa na maswali mengi sana. Ukija kupima pia uwezo wa wanafunzi wetu wa kufaulu,kujituma katika kusoma kwa uvivu na mambo mengine kwa ngazi zote vyuo vikuu mpaka chini utakubaliana na report hii. Kuna mifano mingi sana lakini hawa viongozi wetu wa siasa pia wanaweza kuwa sample nzuri. Nisichokikubali katika report hii ni jinsi wanavyoresearch yao na mfumo wa hizo test. Kwanza sijui ni kina nani wamewafanyia interview na pia katika hiyo interview wamewahoji relevant questions au ndio zilezile waliset huko Amerika? Ukipitia syllabus ya elimu ya CAMBRIGE ukaona mode of assessment na pia mambo wanayoyasoma tena ukafananisha na mfumo wetu wa elimu unaomlimbikizia mwanafunzi mizigo mingi ya masomo hapo pia unapata picha vipi inaathiri IQ yake. Mwanafunzi anaespecialize katika masomo mawili au matatu from the bottom mpaka anapohitimu elimu yake ya juu ni ufahamu wake katika field yake lazima utakuwa mzuri sana kuliko anaebebeshwa masomo kumi O level, manne au matano Advanced level na mawili au moja katika specialization yake jumlisha na mengine matato/matano ya jumla university. Kwahali hii lazima kuwepo tofauti.
mbona wanaccm wengi hawawezi kujenga hoja zaidi ya mipasho? hata dr kikwete alikwepa/alikimbia mdahalo!tehe tehe tehe, na wao wamezaliwa mwaka gani?
 
Methodology used?????????

""Wameangalia hotuba ya JK,LUKUVI,PAUL MAKONDA,KOMBA,ASHA BAKARI n.k lakini watanzania wako kimya bila kupaza sauti za kukemea huku wakikemea kisichopaswa kukemewa i.e kilichokemewa na MTETEMELA hakikupaswa kukemewa bila kuwakemea hao hapo juu pia!""
 
Mimi napinga utafiti huu. Iweje sampling waitumie kwa kuwapima Mwigulu, Lusinde, Komba & the like? Walitakiwa wachanganye changanye bwana! Sasa ona matokeo yake yamekuwaje? Siku nyingine wasifanye hivyo wallah patachimbika.


Sent from my iPad using JamiiForums

!
!
na lukuvi na lusinde
 
Kwa vigezo vya "IQ", mtu mwenye "IQ" ya 72 atakuwa ni significantly mentally retarded hata kuvaa shati na suruali itakuwa ni shida, achilia mbali uwezo wa kutembea kwa miguu miwili na kula chakula kutumia mkono wake mwenyewe. Hata mbwa ana IQ level ya 73.

Pesa zilizo tumika Dodoma na kuadhimisha miaka 50 ya muungano tungetengeneza madawati mangapi?
 
mbona wanaccm wengi hawawezi kujenga hoja zaidi ya mipasho? hata dr kikwete alikwepa/alikimbia mdahalo!tehe tehe tehe, na wao wamezaliwa mwaka gani?

Kwenye report umeambiwa thinking capacity inapungua kila siku zinavyoenda mbele. Possibly kama ndivyo usemayo basi nao umepungua uwezo wao.
 
Mi sipo, wanaoropoka kwenye bunge maalumu la katiba ndo hao wahusika wengine tupo vizuri.
 
What is intelligence?

One can't talk about and measure intelligence if one can't define it.

Is an Oblomovian drunk who chooses to avoid work and live by using welfare to sustain his stupor intelligent or not?
 
It is quite unfortunate that this is a cheap trick to make Africans feel inferior in front of the whites! This is actually stupid and unrealistic. Who is reporting about the IQ of Africans? How was the sampling of the persons tested done? Who set the IQ test questions? Are the questions asked based on African environment? Unless I get satisfactory answers to these questions I will consider this report as a rubbish that need to be thrown into the dust bin!
 
Partly the finding convices me based on the recent constitutional parliment members' argument. What such a nation is this! If IQ is born then we are unluke, if it is born and need nurturing we are seriously in danger as the environment is filty and corruptive beyond repair. For those who believe in God like me though there still mercy and grace from our Lord.
 
what makes Kenya miss this list while here in the study Kenya has IQ of 72 just like Tanzania? :bounce:
lawmaina78
Haha!! is that a defense for your lower IQ level. Instead of obsessing why Kenya is not listed, try to improve your society and may be you can rank better in two years time. For a starter, begin with improving literacy, productivity, education, rule of law, corruption, crime, poverty, innovation in terms of patents, Nobel Prizes or Fields Medals, health care, quality of life etc
 
kweli kabisa kwa haya ya CCM na CHADEMA, that 72 is relatively high, 33 is our best score
 
Back
Top Bottom